The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Naomba kwamba kuwapa heshima wanawake wote mnaosoma hili bandiko.
Naomba kukiri kwamba wanawake ni viumbe wema sana, sana. Sehemu kubwa sana ya matatizo ambayo wanawake wanasemekana wanayo yanatoka kwa sisi wanaume.
Binafsi toka nimewajua wanawake, naishi maisha ya furaha sana. Wanawake ukiishi ama ukiwaelewa vizuri, kukutunuku uchi wala sio shida kabisa kwao, watakutunuku hadi utakimbia uchi.
Wanawake nawatakia mfanikiwe kwa kila mnachofanya mama zangu. Nyie ni viumbe wema sana hapa Duniani.
SawaNaomba kwamba kuwapa heshima wanawake wote mnaosoma hili bandiko.
Naomba kukiri kwamba wanawake ni viumbe wema sana, sana. Sehemu kubwa sana ya matatizo ambayo wanawake wanasemekana wanayo yanatoka kwa sisi wanaume.
Binafsi toka nimewajua wanawake, naishi maisha ya furaha sana. Wanawake ukiishi ama ukiwaelewa vizuri, kukutunuku uchi wala sio shida kabisa kwao, watakutunuku hadi utakimbia uchi.
Wanawake nawatakia mfanikiwe kwa kila mnachofanya mama zangu. Nyie ni viumbe wema sana hapa Duniani.
Nimekupata mkuu ila nadhani unamaanisha kuwa tuishi na wanawake kinafiki coz malengo ya mwanaume anayajua mwenyewe kama ni papuchi or anything....Naomba kwamba kuwapa heshima wanawake wote mnaosoma hili bandiko.
Naomba kukiri kwamba wanawake ni viumbe wema sana, sana. Sehemu kubwa sana ya matatizo ambayo wanawake wanasemekana wanayo yanatoka kwa sisi wanaume.
Binafsi toka nimewajua wanawake, naishi maisha ya furaha sana. Wanawake ukiishi ama ukiwaelewa vizuri, kukutunuku uchi wala sio shida kabisa kwao, watakutunuku hadi utakimbia uchi.
Wanawake nawatakia mfanikiwe kwa kila mnachofanya mama zangu. Nyie ni viumbe wema sana hapa Duniani.
RIP in advance.Binafsi toka nimewajua wanawake,
Amekosa yeye amekosa sana😅😅😅Umeanza vizuri Sana
Tatizo limeanzia hapo kwenye uchi ,
Unahitaji kusaidiwa.[emoji276]
Siku ukifirisika pia uje utuambie wema wa wanawake.Naomba kwamba kuwapa heshima wanawake wote mnaosoma hili bandiko.
Naomba kukiri kwamba wanawake ni viumbe wema sana, sana. Sehemu kubwa sana ya matatizo ambayo wanawake wanasemekana wanayo yanatoka kwa sisi wanaume.
Binafsi toka nimewajua wanawake, naishi maisha ya furaha sana. Wanawake ukiishi ama ukiwaelewa vizuri, kukutunuku uchi wala sio shida kabisa kwao, watakutunuku hadi utakimbia uchi.
Wanawake nawatakia mfanikiwe kwa kila mnachofanya mama zangu. Nyie ni viumbe wema sana hapa Duniani.
Kutunukiwa uchi tu na frida ndio umeona unawajua wanawake wote?Naomba kwamba kuwapa heshima wanawake wote mnaosoma hili bandiko.
Naomba kukiri kwamba wanawake ni viumbe wema sana, sana. Sehemu kubwa sana ya matatizo ambayo wanawake wanasemekana wanayo yanatoka kwa sisi wanaume.
Binafsi toka nimewajua wanawake, naishi maisha ya furaha sana. Wanawake ukiishi ama ukiwaelewa vizuri, kukutunuku uchi wala sio shida kabisa kwao, watakutunuku hadi utakimbia uchi.
Wanawake nawatakia mfanikiwe kwa kila mnachofanya mama zangu. Nyie ni viumbe wema sana hapa Duniani.
Mwanamke ambae sio ndugu yako anaweza kukupa kitu gani kingine? Ama nje ya uchi mwanamke anaweza kutoa kitu gani kingine cha ziada?kumbe wema ni kutoa uchi.....daah!!!
huu mwaka uishe
Mwanamke nje ya uchi anaweza kutoa nini cha ziada mkuu?Haya buana
Kumbe uchi ndio kila kitu eeeeh
Haya, ngoja mama zako tukushukuru tuu kwa kututakia mafanikio. Nawe barikiwa
Ulitaka niseme nini? Nje ya uchi kwa mwanamke ambae sio ndugu yako atakupa nini? Hakuna.Umeanza vizuri Sana
Tatizo limeanzia hapo kwenye uchi ,
Unahitaji kusaidiwa.[emoji276]
Nipe wema wako salt..😂kumbe wema ni kutoa uchi.....daah!!!
huu mwaka uishe
Kuweni waelewa sisi tupo simple sana jamaa ameeleza tunataka chi tu..😁Umeanza vizuri Sana
Tatizo limeanzia hapo kwenye uchi ,
Unahitaji kusaidiwa.[emoji276]