Wanaume tujifunze kushukuru Wake zetu baada ya tendo la ndoa na baada ya chakula

Shukurani yetu ni motoo utakautoaa, kama ni kidogo kuliko hitaji ni bora ulipe maana umepoteza muda buree
Hata upeleke moto vipi, wanawake wanao kubali asante kavu hisio ambatana na fedha ni wachache kwenye kumi hawazidi watatu. Ndio maana hata wale wenye pumzi na mbavu nene,wanakuja kugongewa na vibabu wenye vitambi na fedha zao,hawana mambo mengi kimoja chali.
 
Haya basi Asante...
 
Hii umesema kitu muhimu sana,mimi nakifanya kila siku,kwanza ni lazima nikionja tu msosi ni lazima nimsifie kuwa chakula ni kitamu sana,na napomaliza kula kile chakula kitanda,namshukuru lakini ni lazima nibusu papuchi na vikolombwezo vyake vyote
 
Hao wakwako mkuu ndio ukichomoa wanakimbilia bafuni moja kwa moja. Sasa jiulize kwanini wanakimbilia bafuni badala ya kupumzika🤣🤣🤣🤣
mmoja kati yenu ,alidondoka bafuni nashanga harudi ...kufungua mlango kalala kafungua maji yanamwagikia K... wengine Siri Yao
 
Kwaiyo chief miaka yote unadabhangura tu ukishamaliza haja zako mwendo unauanza kucaa ama kulala😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…