Wanaume tuliopo chuo, wenye sura mbaya na hatuna hela CHAPUTA ni mkombozi wetu

Vjana ktk harakat za kusaka zinaa[emoji23][emoji23][emoji23]uko pm mtakuja yakuta msiyoyatarajia
 
Sijawahi muelewa kabisa ila huyu ni wale tu wakupakuliwa ndio maana hua cjihusishi sana na namna anavyocomment wala nn nachukulia kama sehemu ya kutoa stress zangu ila hapa tumemkosa jamaa
We dogo cocastic vipi mbona watu hawakuelewi asee eti Mjep huyu si demu au nimechanganya ma file somewhere niliwahi ona mnabebishana πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Kasumba yenu ya kudhania kula mbususu mpaka uwe na hela au muonekano mzuri ndo inawafelisha, na mtapiga nyeto mpaka mkojoe damu mbwa nyie. Tena kama wewe ndo bwege kabisa, yani upo chuo unashindwa kula tunda kimasihara?
 
Kasumba yenu ya kudhania kula mbususu mpaka uwe na hela au muonekano mzuri ndo inawafelisha, na mtapiga nyeto mpaka mkojoe damu mbwa nyie. Tena kama wewe ndo bwege kabisa, yani upo chuo unashindwa kula tunda kimasihara?
😁😁😁😁 Teach me your ways
 
Kabla sijajiunga humu nimeona tuhuma zake nyingi ila nilizipotezea sasa sijui lipi ni lipi
Tatzo watu humu wanakurupuka sana, huu mtandao ni risk sana kutanguliza hisia za mapenzi kwa mtu usiemjua, kuna wengi humu huweka Picha za ndugu zao wa kike ama wengine ID zenye mionekano ya kike, sasa papara la vijana kuzama PM bila kujithibitishia jinsia ya wanaemfuata inbox malalamiko ndio hayo.

Ningeshaur tuache lawama kwa watu tusiowajua badala ake kama mtu anataka mahusiano atafute mtaan kwake ama platform zngne zenye uhalisia wa watu, humu mtaishia kulaumu sana, na hiv wengine wanatapeliwa mpaka pesa za nauli na hizo ID zenye mikanganyiko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Acha tu mkuuu acha na jf haina siri sikuizi unajua kabisa kuwa nanilii analiwa na naniliii, nanilii anadanga kwa naniliii, naniliii ni singo maza anaishi naniliii


Yaani full tafran ila nimewasoma watu wengi humu najua nani ni nani 😁
 
Niamini mm haya mambo hayana kanuni unaweza kushangaaa pisii kali inadata kwa mwamba wa kawaida kabisa
Embu toa mfano maana hayo ni maneno ya kujifariji tu hayanaga uhalisia wowote ule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…