EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Nenda UDSM pale COET HUKOSI!!!Nipo private ma lecturer wote ni madume huku asee
Mmmmmh acha zako ww mi najua hata nikipata hela π°π°π°π° nita attract malaya tu mkuuuWewe kwanza soma pata pesa.
Wanaume wafupi sura private ndo wanaongoza kuoa wanawake warefu na warembo.
Unaweza uka - support kitu ambacho kinakukataa? Unakutana na mwanamke anakuambia sitaki uniharibie kazazi changu, nataka watoto wangu waoe na kuolewa[emoji23].Sasa unakataa ndoa wakati we mwenyewe unakataliwa [emoji1787][emoji1787]
Daaah asee nitoke upanga mpaka udsm kwa ajili ya kumtongoza mtu nisiyemjua na nina uhakika nitapigwa cha mbavuNenda UDSM pale COET HUKOSI!!!
π πππ Kwa kweli umenenaUnaweza uka - support kitu ambacho kinakukataa? Unakutana na mwanamke anakuambia sitaki uniharibie kazazi changu, nataka watoto wangu waoe na kuolewa[emoji23].
Dawa ni jino kwa jino, ingawa tunafahamu kwanini tunakataa ndoa.
Huyu aendelee kuto..mba mkono tuπ€£nataka watoto wangu waoe na kuolewa.
Ndio maana unakosa huko Upanga unatongoza WAHINDI AUπ€£π€£π€£Daaah asee nitoke upanga mpaka udsm kwa ajili ya kumtongoza mtu nisiyemjua na nina uhakika nitapigwa cha mbavu
HUO NI KUJIDHALILISHA MKUUU
No naishi mikocheniNdio maana unakosa huko Upanganunatongoza WAHINDI AUπ€£π€£π€£
hahaha, kuna vitu tunafanya sio kwa kupenda ni kwasababu tumekosa opportunity.Huyu aendelee kuto..mba mkono tu[emoji1787]
Hamia kwa mtogole kama utakataliwa niite ManunuπππNo naishi mikocheni
Nasoma upanga lakini πππ ishu ni gundu langu kwanzia shule ya msingi mkuu
Mbaya zaidi hata wale manzi wabovu nao wanasema hivyo[emoji23][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa kweli umenena
Mtogole ni wapi tena hukoHamia kwa mtogole kama utakataliwa niite Manunuπππ
Daaah hizi sura hizi achana nazo aseeMbaya zaidi hata wale manzi wabovu nao wanasema hivyo[emoji23]
Sasa endelea na mkono siku ukipata demu inagoma kusimama ndio hapo utakapoanza malalamiko mapyahahaha, kuna vitu tunafanya sio kwa kupenda ni kwasababu tumekosa opportunity.
Acha ufala tatizo sio sura KUJIAMINI TUDaaah hizi sura hizi achana nazo asee
Ni full tafrani tupu πππ nishawahi kumchekea mtoto mdogo akaanza kulia mkuuu just imagine
π π π
Uliza Boda atakupelekaMtogole ni wapi tena huko
[emoji23][emoji23][emoji23] mtoto alikuwa anafikiria amevamiwa na nyani nini?Daaah hizi sura hizi achana nazo asee
Ni full tafrani tupu [emoji281][emoji281][emoji281] nishawahi kumchekea mtoto mdogo akaanza kulia mkuuu just imagine
[emoji28][emoji28][emoji28]
Isijekuwa ni danguro asee huko sifiki sina hela mkuuuu ππUliza Boda atakupeleka
[emoji23][emoji23][emoji23] mtoto alikuwa anafikiria amevamiwa na nyani nini?
Nimeona watu wanasema tujikubali, sijuhi wanataka tujikubali kivipi?
Nafahamu by mere factor ya kujitambua sis sura zetu ni mbaya, tumeshakubali hali yetu.
Huyo demu nitampatia wapi bro?? Hivyo ni vitu vya kusadikika na kama akitokea nitamkataa.Sasa endelea na mkono siku ukipata demu inagoma kusimama ndio hapo utakapoanza malalamiko mapya