Wanaume tuliopo chuo, wenye sura mbaya na hatuna hela CHAPUTA ni mkombozi wetu

Wanaume tuliopo chuo, wenye sura mbaya na hatuna hela CHAPUTA ni mkombozi wetu

Jitoe kafara siku chukua nusu ya buum lako 250k alafu zama telegram kajaribu bahat yako kwa watoto classic utoe gundu ndipo tuone shida ni nini huenda huko kijijin kwen ndugu zako wanakuombea uwe PADRI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
umempa ushauri wa maana akitena 250 nyingi, akiwa na laki na nusu tu kuna mida mademu mule Telegram wanasemaga wapo wawili na room yao, bei maelewano

awape hyo 150 awakule mpaka kesho, hapa nyota itang'aa
 
Kila dem anakukataa kiaje?? Ujue mi sielewagi nyie mnaolalamika eti mnakataliwa na kila demu, eti hata wa kuoa hamuwapati.

Nyie huwa mnawaongelea madem hawahawa au wepi hao wanaowakataeni?? Au saundi zenu zikoje mpaka kila umfatae anakukataa??

Wengine wanakwepa ndoa na haohao wanawake nyie ndo wanawakataa.
Sura mbaya + umasikini nani akukubalie sasa 😁😁😁
 
umempa ushauri wa maana akitena 250 nyingi, akiwa na laki na nusu tu kuna mida mademu mule Telegram wanasemaga wapo wawili na room yao, bei maelewano

awape hyo 150 awakule mpaka kesho, hapa nyota itang'aa
Hivi 150k unazani ina okotwa tu mkuuu we haya 😁😥
 
Basi labda + hujui kutongoza ila huwezi kosa kila manzi kisa huna pesa mzee.
Na Sura je anyway kwa kasi ya usaliti iliyopo nimeamua kuachana na mapenzi asante kwa ushauri 👇👇👇👇👇👇

Screenshot_20230413-165847~2.png
 
Si aende vyuo vinginee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo ni hela, wala sio u personal wake.

Ajaribu kuchukua 30k afu amkamate mdada wa chuo aone km atakataliwa, huyu ni bakhilii.
Akienda kwa stress atajikuta ameangukia hapa
FB_IMG_1681394466384.jpg
 
Huko chuo mnaenda kusoma, au kutafuta wapenzii? Watoto wa siku hizi bhanaa, khaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kusoma koment yako flani kila nikikuona nacheeka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom