Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Wanaume tuliowahi kupata gono tukutane hapa

Nakumbuka hapo mlandizi nikiwa nawakula dogo dogo mitaa fulani nyuma ya (kauli ya bibi bar) nililikwaa Gono kwa kadem flani kadogodogo,keupe,kazuri,chuchu mchongoma....haukadhanii kabisa aisee...

Kwenda kwa dokta akaniandikia madawa kibaao bili ikaja 51,000 huyu dokta tulikuwa tukikutana nae saana kauli ya bibi kwenye kumwagilia moyo vile vitu vyetu....

Alinichukulia nna hela saana...... nikamwambia dokta, labda ukae na leseni yangu I'll pay you end of the month...but for now I have only 11,000 only! in my pocket...

Nikashangaa anachenchi karatasi na kuandika andika madawa anayoyajua akanipa....

Madokta wa kisasa wa siku hizi Bwana unakadiriwa bei ya dawa kulingana na muonekano wako! wanajua wakuandikie dawa za kiasi gani, wanajua hautaruka! ...ukikaza! wanajifanya wanabadili dawa kumbe ni dawa zilezile...

All in all nilipona Gono within 2 days...
 
Aisee nashukuru kuna dem mmoja nilikula siku za nyuma. Aisee nilichomeka ukuni piga tako mbili tako la tatu nashangaa ukuni unatoka na dam. Hapo hapo stimu zikakata nikavua ndom haraka nikanawa kwa sabuni. Nikamuuliza kama alikua anakaribia bleed akasema hapana. Kilichofuata ni kulala mzungu wa nne mpaka asubuhi. Sikujua hata ni ugonjwa gani ule.
 
AMINA KIJORA ANILIPA U.T.I SUGU ILE YA KUCHOMWA SINDANDO

MAMY ZE BOSS ALINIPA GONO
SIKUVAA BOKSA MIEZI 6 NILIKUWA NATEMBEA KAMA NINA BUSHA
KUKOJOA KAMA NIMEPIGWA SHOTI
NILIKUWA NALALIA MGONGO TU MAANA UKILALIA TUMBO KICHWA CHA UUME KINAPIGA SHOTI MUDA WOTE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Aisee nashukuru kuna dem mmoja nilikula siku za nyuma. Aisee nilichomeka ukuni piga tako mbili tako la tatu nashangaa ukuni unatoka na dam. Hapo hapo stimu zikakata nikavua ndom haraka nikanawa kwa sabuni. Nikamuuliza kama alikua anakaribia bleed akasema hapana. Kilichofuata ni kulala mzungu wa nne mpaka asubuhi. Sikujua hata ni ugonjwa gani ule.
Ulishindwaje kutambua na ww ni dr shayo 😂
 
2010 tulipiga mande masela 10 tukijua tumemkomoa yule malaya doh!!!
Maajabu ni kwamba kuna walioumwa gono,kaswende na uti mpaka nikajiuliza huyu demu ana juju au veep...

Nikajuta na zile pushapu nilizokua napiga..(nilikua na tabia ya kupiga pushapu wakati nasubiri foleni ili damu ichanganye..)
😂😂 Umetisha Sana mkuu
 
Hiyo kitu mi niliipata zamani sana.kuna kitoto kilikuwa kinaitwa mwajei kiko bomba hata vinyonyo hamna!kwa miaka hiyo niko chalii sikujua hata kana miaka mingapi.niliingiza tuu chap na wazungu hao sikupiga hata tako 3.

Kesho yake mchana naona chupi inanata kwnye ndonga.nikajua lbd ni vishaawa tuu.jioni unajua ndo magonjwa mengi yanaanza kufumuka.nikaanza kuliskia sasa mzeeiyaa..nikamwambia tu bro.

Akanipeleka kwa nesi fulani hapo tulipitia famasi tukanunua gentamycine(sio popoma)ile ya vimaji na sindano 2.

Nikapigwa tako zote hapo nikaenda kulala.nikapona kabisa.
Eti sio popoma 😂😂😂
 
Mungu anisaidie nisiuguee gono manaake ni karaha na ni aibu.ila nilishawahi ugua chylamidia ni kama gono ila lenyewe haliumi ila utachafua boxer sana na ute ute kama bao vilee ila sio usaha..na huu ugonjwa naona ndio umeingia sana siku hizi huku mtaani alinipa demu ambaye huwezu mzania msafi mzurii kaajiliwa aani ana sifa zote za uanamke .ndomu muhimu wakuu
mkuu imenipata wiki iliyopita. Ni Noma. sipati maumivu lakini kichwa kinatema usaa kama dragon.
 
Mungu anisaidie nisiuguee gono manaake ni karaha na ni aibu.ila nilishawahi ugua chylamidia ni kama gono ila lenyewe haliumi ila utachafua boxer sana na ute ute kama bao vilee ila sio usaha..na huu ugonjwa naona ndio umeingia sana siku hizi huku mtaani alinipa demu ambaye huwezu mzania msafi mzurii kaajiliwa aani ana sifa zote za uanamke .ndomu
Chylamidia ni rahisi sana kuipata,sema unatibika kirahisi pia.
 
Back
Top Bottom