Wanaume tuliowahi kutongozwa tujuane

Mara nyingi.

Inayostand out hii hapa.

Dogo ana tako (Namcheki FB natuma picha)

Yuko la saba nipo form five akaniandikia barua.

Sikuijibu.

Majirani wa eneo wakajua. Ikawa ni komedi ya mtaani.

Namaliza chuo nakuta binti kazalishwa.

Tukikutana zinakua zile za kama kutakana zaidi ya miaka miwili tukawa tunaleteana hizi komedi.

Baada ya miaka yote juzi ndiyo tumeshonana.

Edit: Nimeipata picha

 
Nilitongozwa na mke wa rafikiangu kipenzi, nilipo kwenda kumtembelea kibaha mail moja daah, ananiambia alipambana mbaka akapata nambayangu kwenye Cm ya mumewake.

Tulikuwa tukiongea na mshkaji ananipa wife wake naongea nae lakini alikuwa hajawahi kuniona.
Nilipo watembelea kwao ndio tukaonana kwa mara ya kwanza, hapa ninavyo andika mbaka nywele zinasimama jamaa tumeshibana ni mwanangu sana sana sana.

Demu anaendaresi mbaka nawaza ametumwa anipime ama vipi daah.

Wanawake Allah anawaona.
 
Watu mnafaidi sana aisee. Mimi ninafeli wapi mbona sikutani na hizo angle.
 
Umefanana na baba au mama?? Body je ikoje?? Kichwani nako unatema points au ndio ilimradi sauti unayo maneno yatakuja tu yenyewe???
Aisee1 Balaa sana, kwamba ni kuwa na sauti maneno yatakuja yenyewe.
on serious note, kwa hiyo Mkuu Body inapaswa iweje? Six Packs? kwenda GYM kutafaa.
Suala la kutema pointi mkuu hapa si kudevelop tabia ya kusoma vitabu sio?
 
Mke/demu wa rafiki haliwi ni kama mama ako tu, ila kama jamaa ni mshikaji we peleka moto mzee
Daah sijafikia uchizi kama huu mkuu namuheshimu sana mshkaji nawaza akijua daah naona atalia sana sitakikuwa sababu ya matatizo kwenye familia yake.
 
woyooooooooo... na mm nina kisa cha doctor MD..hospital ya mkoa...ntarudi kuleta kisa...Japo ninavyo vingi sana[emoji39]
 
Wakati fulani nilifanya interview ya kazi kupitia zoom conference (connection ya x wangu) then nikatakiwa kufika Tanga. Nimefika nikareport then nikakabidhiwa kwa team leader wangu pale ofisini ni lijidada fulani hivi la nguvu kiufup limekamilika kila IDARA. Akaniambia welcome Mr. ...... nafurahi kukutana nawe. Napenda wanaume wenye sura ya kiume na bla.....bla nyingi next weekend akanialika dinner Tanga beach hotel. Then ikaisha hiyo......mm
 
Usije ukatembea naye jamaa atajua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…