Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Parefu mkuu😂 walau buku5 naamini itatosha kabisa....hata laki 2 tu ya nauli inakushinda?
😥😥😥Huo ni ukatiliparefu mkuu😂 walau buku5 naamini itatosha kabisa....
Maua yenye miba. Elewa unapohonga laki 2 kuna mambo 2 aidha kuna msela anapewa bure ama kuna mwingine anatoa zaidi yako.Wale ni maua mkuu, ukimhonga utakula mema ya nchi
Bila shaka hauyajui maisha mdogo wangu😥😥😥Huo ni ukatili
Itakuwa KE huyu😆[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa bhana
Toa pesa ufaidi, kuna ka mchezo kao fulani anaifinyia ndani, haya na mengine mengi huwezi pata ikiwa ana stress.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa bhana
Mimi ni ME mwenye huruma, namhuru mia sana mwanamke anayepanda boda kwasababu ya ugumu wa maisha, bora apande kama sehemu ya utalii wa ndani.Itakuwa KE huyu😆
Kwahiyo mpanda boda huyuhuyu ndo unayempa nauli ya laki 2 au mi sijaelewa mkuu!Mimi ni ME mwenye huruma, namhuru mia sana mwanamke anayepanda boda kwasababu ya ugumu wa maisha, bora apande kama sehemu ya utalii wa ndani.
Usijifanye great thinker, toa hela kwa mpenzi wako, hili halina mjadala.We jamaa ukapimwe akili, kwanza utakuta huna hata hela hapo ulipo, kujitutumua tu ili mademu wa JF wakuone eti una hela
Soma vizuriKwahiyo mpanda boda huyuhuyu ndo unayempa nauli ya laki 2 au mi sijaelewa mkuu!
TayariSoma vizuri
Kwa elfu 20 tu ukiingia Telegram unakutana na wataalam sio kukufinyia tu wanainyuka kwa ndani kabisa. Na mkimaliza hakuombi pesa ya kusuka wala gas zaidi ya pauni yake tu.Toa pesa ufaidi, kuna ka mchezo kao fulani anaifinyia ndani, haya na mengine mengi huwezi pata ikiwa ana stress.
Wanajiuza kwasababu hawapati pesa ya kutosha toka kwa wapenzi wao.Kwa elfu 20 tu ukiingia Telegram unakutana na wataalam sio kukufinyia tu wanainyuka kwa ndani kabisa. Na mkimaliza hakuombi pesa ya kusuka wala gas zaidi ya pauni yake tu.