Wanaume Tusijiaibishe: Eti kuna mchongo unausikilizia hebu toa Pesa

Wanaume Tusijiaibishe: Eti kuna mchongo unausikilizia hebu toa Pesa

Najua nimekuambia ukweli unauma Pole, upo cheap SANA fukara wewe, muombe MUNGU na FANYA KAZI KWA bidii
Mpe pesa demu wako apendeze wewe, acha kukwepa majukumu yako toa pesa upewe raha kama huwezi, toa namba usaidiwe.
 
Nauli laki 2, anapanda ndege kutoka huko alikotoka na ikiwa wote mpo mkoa mmoja?

Kukutana kimwili ni starehe yetu sote. Kama vile anapohisi katumiwa basi yeye anamtumia mwanaume vile vile maana kama ni mikito basi mwanaume anatumia nguvu zaidi.

Ikiwa kila mnapokutana inabidi alipwe basi huyo sio mpenzi wako. Ni mfanyabiashara ambae pasipokuwa na kujamiiana hapaswi kupewa pesa.

Wanadai wanataka haki sawa, huo usawa uwe mpaka kwenye kujihudumia na kuhudumia wapenzi wao pia.
Demu anatarajia birthday yake umpe iphone14, birthday yako anakupa boxer na vest kwa pesa aliyokuomba wewe mwenyewe.
Me nashangaa sana sex ni starehe kwa wote mwanamke na mwanaume lkn inaonekana kwa wanaume ndo starehe af wakiitwa chombo cha starehe wanakasirika
 
Mpe pesa demu wako apendeze wewe, acha kukwepa majukumu yako toa pesa upewe raha kama huwezi, toa namba usaidiwe.
Shida wanaosaidia huwa hawana maneno sasa mbwa mbwa kama wewe unashinda ndani bando shida, kula YAKO shida, ona vijana kama scott pizza wadogo mno wanatembelea marange tunaona wanaenda maldives vacation huna PESA siyo mbaya kubali tu, saidia kwanza familia iondokane na umaskini MUNGU atakubariki,
 
Hongera ila hao wanaume hawapo wapo hao wanaosema nasikilizia mchongo
 
Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.

Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?

Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.
Mkuu bado unatoa pesa kupata penzi?????? Mimi nakushauri uoe
 
Afadhali nimpe tapeli hata millioni kumi kuliko kununua mbususu , na hamna mwanaume anayechana mkwanja mrefu anaweza jitangaza hadharani , endekeza tundu ,siku ya kuzikwa kwako tutapata hata nyumba huna , hata njia ya kwenda getini ni ya baiskeli tu , tutakula pilau tukucheke na tusepe
 
Shida wanaosaidia huwa hawana maneno sasa mbwa mbwa kama wewe unashinda ndani bando shida, kula YAKO shida, ona vijana kama scott pizza wadogo mno wanatembelea marange tunaona wanaenda maldives vacation huna PESA siyo mbaya kubali tu, saidia kwanza familia iondokane na umaskini MUNGU atakubariki,
ila we jamaa dah😃😃😃😃muonee huruma japo kidogo mwenzio,,,, sio kwa ukweli huo mchungu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
ila we jamaa dah😃😃😃😃muonee huruma japo kidogo mwenzio,,,, sio kwa ukweli huo mchungu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Shida anajiitutumua halafu angalia vitu vyake anavyopenda kucomment vimejaa ngono, halafu lilivyo kubwa jinga linasema liaonga gari, nyumb

Nenda insta mserach huyu jamaa anaitwa mareek_berry anamnunulia mpenzi wake saa ya gold pure pure kabisa wale ndo wenye PESA 😂😂😂
 
Shida anajiitutumua halafu angalia vitu vyake anavyopenda kucomment vimejaa ngono, halafu lilivyo kubwa jinga linasema liaonga gari, nyumb

Nenda insta mserach huyu jamaa anaitwa mareek_berry anamnunulia mpenzi wake saa ya gold pure pure kabisa wale ndo wenye PESA 😂😂😂
aisee 😂😂😂😂🙌
 
Back
Top Bottom