Wanaume Tusijiaibishe: Eti kuna mchongo unausikilizia hebu toa Pesa

Wanaume Tusijiaibishe: Eti kuna mchongo unausikilizia hebu toa Pesa

Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.

Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?

Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.
Lipia Tangazo mkuu.
 
Kama huna pesa kaungane na wavulana wenzako mkuu, watu tunahonga nyumba mpya, msgari tutashindwa kutoa laki 5 kwa wiki kumsupport hata mafuta tu
Huna pesa narudia hili waangalie vijana wenye pesa bongo na wenye kujua kutafuta maisha kama wanashinda mitandaoni kama wewe jobless, ona kina sirjeff, reign, ona diamond, ona alikiba, ona waanzilish wa jf kama Wana muda wakukijibizana huna PESA tafuta pesa, una utoto umwingi sana ety nina pesa
Wenye pesa hawajitangazi unaonga gari unashinda mitandaoni na bando la jero shame on you
 
Sitaki hela zake mie naogopa hela za watu zishanitokea puani
Madam hana pesa huenda anapitia wakati mgumu either kukosa mapenzi KWA muda mrefu hivyo stress zimezid, kama wewe mwanamke ushadate na me mwenye PESA utakubali maneno yangu hawana huu upuuzi, dunia imeharibika utapeli ni mwingi
 
Hiyo laki mbili unampatia kama mshahara au kama kitu gani?? Kama unauwezo wa kumpatia hiyo laki 2 na yeye ana utimamu wa akili kwann asije sehemu ulipo muishi pamoja.
 
Swali; je ukikwama kwenye utafutaji wako, atakuja kukusaidia ata hela ya sukari?
 
Wewe huna hela. Kisaikolojia umeshajiumbua... wenye ela awasemagi hataa
Yaaani halioni hata aibu halafu BADO anaendelea kujidharirisha eti naonaga gari, nyumba huyo naye mwanaume sasa, wenye pesa huwa wanaonyesha vitendo, halafu hawana Mda wa kujibizana na maskini huyu mtu kakosa mapenzi anapitia wakati mgumu sana
 
Huna pesa narudia hili waangalie vijana wenye pesa bongo na wenye kujua kutafuta maisha kama wanashinda mitandaoni kama wewe jobless, ona kina sirjeff, reign, ona diamond, ona alikiba, ona waanzilish wa jf kama Wana muda wakukijibizana huna PESA tafuta pesa, una utoto umwingi sana ety nina pesa
Wenye pesa hawajitangazi unaonga gari unashinda mitandaoni na bando la jero shame on you
Hahahaa, mpe pesa demu wako wewe, halafu mwanaume mzima unatumiaje id ya kike?
 
😂😂😂Ni kweli ILA punyeto ina athari kubwa sana, toka ndani ACHA kujifungia jichanganye na watu wenye pesa hawana muda wa kujibizana na majobless,
Mpe pesa demu wako wewe, mtoto wa watu anapigwa na jua sababu ya uzembe wako
 
Mpe pesa demu wako wewe, mtoto wa watu anapigwa na jua sababu ya uzembe wako
Bora umenihakikishia nachati na jobless mwenzang na kujipamba kote watoto wakike wanaendelea kuangalia kumbe jamaa lilishachoka kupiga punyeto sasa nguvu huna, saikolojia ishaharibika, uwezi approach kilichobaki ni kuandika upumbavu pole jobless🤣🤣🤣 ety naonga gari daaah nimescreshut comment YAKO ukiendekeza punyeto huna hata confidence ya kusimama kutongoza unabaki kusema naonga nyumba na gari aya rudi ndani uendelee
 
Bora umenihakikishia nachati na jobless mwenzang na kujipamba kote watoto wakike wanaendelea kuangalia kumbe jamaa lilishachoka kupiga punyeto sasa nguvu huna, saikolojia ishaharibika, uwezi approach kilichobaki ni kuandika upumbavu pole jobless🤣🤣🤣 ety naonga gari daaah nimescreshut comment YAKO ukiendekeza punyeto huna hata confidence ya kusimama kutongoza unabaki kusema naonga nyumba na gari aya rudi ndani uendelee
Nipe nmba ya demu wako nikufundishe mwanaume anavyopaswa kuhonga.
 
Back
Top Bottom