Wanaume Tusijiaibishe: Eti kuna mchongo unausikilizia hebu toa Pesa

Wanaume Tusijiaibishe: Eti kuna mchongo unausikilizia hebu toa Pesa

Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.

Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?

Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.
Nauli ya kutoka Mbeya mpaka Dar es salaam ni 45,000.
Nauli ya kutoka bariadi-Maswa mpaka Dar es salaam ni 65,000
Nauli ya kutoka Dar es salaam mpaka Mtwara ni 25,000 hali kadhalika na Moshi- Kilimanjaro.

Hiyo 200,000/= ni nauli ya kwenda wapi?
Au anapanda Ndege ?
 
Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.

Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?

Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.
Poleni nyie
 
Back
Top Bottom