Wanaume Tusijiaibishe: Eti kuna mchongo unausikilizia hebu toa Pesa

Wanaume Tusijiaibishe: Eti kuna mchongo unausikilizia hebu toa Pesa

We jamaa ukapimwe akili, kwanza utakuta huna hata hela hapo ulipo, kujitutumua tu ili mademu wa JF wakuone eti una hela
Na atapata malaya wa ovyo tu hakuna mwanaume mwenye PESA anafanya Huu ujinga either ni kaanza mapenzi hivi karibuni au ni umaskini anajaribu kutoa stress hapa
 
Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.

Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?

Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.

-Straight Talk.
-Free Education.
-Facts.
 
Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.

Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?

Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋
🤗🤗🤗🤗🤗
 
Na atapata malaya wa ovyo tu hakuna mwanaume mwenye PESA anafanya Huu ujinga either ni kaanza mapenzi hivi karibuni au ni umaskini anajaribu kutoa stress hapa
Kama huna pesa kaungane na wavulana wenzako mkuu, watu tunahonga nyumba mpya, msgari tutashindwa kutoa laki 5 kwa wiki kumsupport hata mafuta tu
 
Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.

Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?

Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.
Laki mbili kisa utelezi!?

Duh
 
Nauli laki 2, anapanda ndege kutoka huko alikotoka na ikiwa wote mpo mkoa mmoja?

Kukutana kimwili ni starehe yetu sote. Kama vile anapohisi katumiwa basi yeye anamtumia mwanaume vile vile maana kama ni mikito basi mwanaume anatumia nguvu zaidi.

Ikiwa kila mnapokutana inabidi alipwe basi huyo sio mpenzi wako. Ni mfanyabiashara ambae pasipokuwa na kujamiiana hapaswi kupewa pesa.

Wanadai wanataka haki sawa, huo usawa uwe mpaka kwenye kujihudumia na kuhudumia wapenzi wao pia.
Demu anatarajia birthday yake umpe iphone14, birthday yako anakupa boxer na vest kwa pesa aliyokuomba wewe mwenyewe.
Wagense sana ila mbususu zao tamu. Ila bora nipige nyeto lakini sio kuhonga iphone14
 
Hizo hela zenyewe wanazo ? Maana hawawezi kujikakamua kutoa laki 2 ikiwa mfukoni ana afu tatu
 
Back
Top Bottom