Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Dah dharau zenu ndio maana watu wanafake Maisha🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo mpanda boda huyuhuyu ndo unayempa nauli ya laki 2 au mi sijaelewa mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah dharau zenu ndio maana watu wanafake Maisha🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo mpanda boda huyuhuyu ndo unayempa nauli ya laki 2 au mi sijaelewa mkuu!
Hakuna mwanaume mwenye PESA anayeshinda kwenye mitandao kutoa ushauri onga toa PESA bila kuombwa HAJAWAHI KUWEPO, tunaifahamu hii njia, ACHA watu waendelee kutoa stress wanayoyapitia nyuma ya hapa ni MUNGU tu ndo anajuabila shaka hauyajui maisha mdogo wangu
Na atapata malaya wa ovyo tu hakuna mwanaume mwenye PESA anafanya Huu ujinga either ni kaanza mapenzi hivi karibuni au ni umaskini anajaribu kutoa stress hapaWe jamaa ukapimwe akili, kwanza utakuta huna hata hela hapo ulipo, kujitutumua tu ili mademu wa JF wakuone eti una hela
Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.
Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?
Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.
Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?
Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.
🤣🤣🤣🤣🤣👋Usijifanye great thinker, toa hela kwa mpenzi wako, hili halina mjadala.
Eb nenda nae PM mkapeane hzo hela anazotumia kununua hisia😂😂😂umeanza ukorofi
Kama huna pesa kaungane na wavulana wenzako mkuu, watu tunahonga nyumba mpya, msgari tutashindwa kutoa laki 5 kwa wiki kumsupport hata mafuta tuNa atapata malaya wa ovyo tu hakuna mwanaume mwenye PESA anafanya Huu ujinga either ni kaanza mapenzi hivi karibuni au ni umaskini anajaribu kutoa stress hapa
Laki mbili kisa utelezi!?Hivi unajisikiaje kumtumia mtoto wa watu siku nzima halafu unashindwa hata kumpa hela kidogo hata laki 2 tu ya nauli inakushinda? Akikuomba masikini unamjibu eti kuna mchongo unasikilizia. Hii inatuaibisha jamani.
Kwanza inakuwaje mpaka inafikia unaombwa pesa? Hujui kuwa wewe ni mwanaume na ulipaswa kumpa kabla hata hujaombwa? Kama hukuwa tayari kuanza mahusiano si ungetulia tu?
Poleni sana wadada kwa mnayo pitia. Wanaume hebu tujisikie fahari kuhonga mtoto anukie noti mpaka mtu akitaka kumsogelea anajiuliza mara mbili mbili. Tabia za kusikilizia michongo isiyotiki tuwaachie watoto wadogo.
Ukikosa lakimbili kopa umpe hata laki 3Laki mbili kisa utelezi!?
Duh
Wagense sana ila mbususu zao tamu. Ila bora nipige nyeto lakini sio kuhonga iphone14Nauli laki 2, anapanda ndege kutoka huko alikotoka na ikiwa wote mpo mkoa mmoja?
Kukutana kimwili ni starehe yetu sote. Kama vile anapohisi katumiwa basi yeye anamtumia mwanaume vile vile maana kama ni mikito basi mwanaume anatumia nguvu zaidi.
Ikiwa kila mnapokutana inabidi alipwe basi huyo sio mpenzi wako. Ni mfanyabiashara ambae pasipokuwa na kujamiiana hapaswi kupewa pesa.
Wanadai wanataka haki sawa, huo usawa uwe mpaka kwenye kujihudumia na kuhudumia wapenzi wao pia.
Demu anatarajia birthday yake umpe iphone14, birthday yako anakupa boxer na vest kwa pesa aliyokuomba wewe mwenyewe.
Hatari na kwambia. Hawa wanawake wmegeuza mbususu zao kitega uchumiLaki mbili kisa utelezi!?
Duh
Wanaume tunajiendekeza sanaHatari na kwambia. Hawa wanawake wmegeuza mbususu zao kitega uchumi
Utamu kaka utamu wee ile kitu ukute imetuna alafu imelowana vilivyo...yaani full utelezii acha kabisaaaaaWanaume tunajiendekeza sana
AahaaaaaaaaUtamu kaka utamu wee ile kitu ukute imetuna alafu imelowana vilivyo...yaani full utelezii acha kabisaaaaa
Sitaki hela zake mie naogopa hela za watu zishanitokea puaniEb nenda nae PM mkapeane hzo hela anazotumia kununua hisia