Wanaume Tusijiaibishe: Eti kuna mchongo unausikilizia hebu toa Pesa

Najua nimekuambia ukweli unauma Pole, upo cheap SANA fukara wewe, muombe MUNGU na FANYA KAZI KWA bidii
Mpe pesa demu wako apendeze wewe, acha kukwepa majukumu yako toa pesa upewe raha kama huwezi, toa namba usaidiwe.
 
Me nashangaa sana sex ni starehe kwa wote mwanamke na mwanaume lkn inaonekana kwa wanaume ndo starehe af wakiitwa chombo cha starehe wanakasirika
 
Mpe pesa demu wako apendeze wewe, acha kukwepa majukumu yako toa pesa upewe raha kama huwezi, toa namba usaidiwe.
Shida wanaosaidia huwa hawana maneno sasa mbwa mbwa kama wewe unashinda ndani bando shida, kula YAKO shida, ona vijana kama scott pizza wadogo mno wanatembelea marange tunaona wanaenda maldives vacation huna PESA siyo mbaya kubali tu, saidia kwanza familia iondokane na umaskini MUNGU atakubariki,
 
Hongera ila hao wanaume hawapo wapo hao wanaosema nasikilizia mchongo
 
Mkuu bado unatoa pesa kupata penzi?????? Mimi nakushauri uoe
 
Afadhali nimpe tapeli hata millioni kumi kuliko kununua mbususu , na hamna mwanaume anayechana mkwanja mrefu anaweza jitangaza hadharani , endekeza tundu ,siku ya kuzikwa kwako tutapata hata nyumba huna , hata njia ya kwenda getini ni ya baiskeli tu , tutakula pilau tukucheke na tusepe
 
ila we jamaa dahπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒmuonee huruma japo kidogo mwenzio,,,, sio kwa ukweli huo mchungu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ila we jamaa dahπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒmuonee huruma japo kidogo mwenzio,,,, sio kwa ukweli huo mchungu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Shida anajiitutumua halafu angalia vitu vyake anavyopenda kucomment vimejaa ngono, halafu lilivyo kubwa jinga linasema liaonga gari, nyumb

Nenda insta mserach huyu jamaa anaitwa mareek_berry anamnunulia mpenzi wake saa ya gold pure pure kabisa wale ndo wenye PESA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
aisee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…