Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
AFRICA MY CONTINENT π€£π€£π€£π€£π€£.Kiufupi Tu Aliyeleta Mapenzi Duniani Alileta Vita,
Yani Kutafuta Mpenzi ni Vita, ukimpata Inabidi umpambanie Asikuache nayo ni vita maan hapa ndo Utaanz Kupaka Mavumbi ya Wakongoman Nk ... Plus Pesa za hap na Pale,
Mkiachana Ndo Vita Kamili sasa, mkitaka Kujua Mapenzi ni Vita siku Mkoa mmoja tu wa Tanzania wapewe Ofa na Serikali kwa Wanaume wote Wapime Watoto wao DNA,
Aisee Vita vitakavyoibuka kwenye Huo Mkoa Hata Ukraine na Urusi itabidi Wasimamishe Vita ili wajifunze Kitu katika Vita itakayotokea kwenye Mkoa huo.
Endelea kusema maisha magumu π
8 wachache sana kama chakula kipo uwezo upo tunakula tunashiba ni kula na kufyatua tu hakuna namna π!!Ukitupatia 8 utakuwa umefanya vizuri, kama kazi hawezi mjulishe tumsaidie π
Ni kweli, kwa sasa nikuiachia yote tu, mtuletee vitoto muijaze dunia; usiwe kama huyu anayejiita Cut... π , bado anakula ujana
Umeona eeeehhh Watoto ni baraka!
Santo sana!
Muda wake ukifika nae hatakua na budi!!
Na hawaringi simu moja mtoto huyu hapa.
Nikikuamulia utatulia tuNa nakula kweli sio utani, sitaki hekaheka za ndoa mie [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
NAKAZIA,
ma slay queen tusiwape dyudyu tena ili wajue umuhimu wetu
Hebuu mfanye wepesi mzae mapema mmalize hekaheka mapema uduguuu π€ !Namsubiri shem wako anitulize [emoji23][emoji23][emoji23]
Njoo uniambie tukiwa wawili tu somewhere π8 wachache sana kama chakula kipo uwezo upo tunakula tunashiba ni kula na kufyatua tu hakuna namna π!!
Wee uduguuu akee yupo vizureee!!
Kama wale wa rwanda π maisha kwao mteremkoKo ukiwa na sura nzuri, maisha mepesi?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikikuamulia utatulia tu
Hujazeeka bado, we bado wa motoooHebuu mfanye wepesi mzae mapema mmalize hekaheka mapema uduguuu π€ !
Au mnasubiria mpaka mzeeke kama shangazi yenu hapa???ππππ
njoo ghetto uoneπKwa dyudyu gani mlizonazo kwanza?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π π π[emoji23][emoji23][emoji23] Me sijaona wa kunituliza, nitatulia mwenyewe nikichoka
π€ π€ π€ π€ π€£π€£π€£π€£π€£!Lakini waambie ERoni anatosha madam π€£π€£
Hebuu mfanye wepesi mzae mapema mmalize hekaheka mapema uduguuu [emoji1783]!
Au mnasubiria mpaka mzeeke kama shangazi yenu hapa???[emoji4][emoji4][emoji16][emoji16]
Mfyuuu! Nitake radhi mie Mileage inasoma kilomitazzz zakutroshaaa!!πππHujazeeka bado, we bado wa motooo
njoo ghetto uone[emoji23]