Wanaume tusio na pesa tukiungana tutaheshimiwa

AFRICA MY CONTINENT 🀣🀣🀣🀣🀣.
DUUUH HAYA BANA
 
Ukitupatia 8 utakuwa umefanya vizuri, kama kazi hawezi mjulishe tumsaidie πŸ˜€
8 wachache sana kama chakula kipo uwezo upo tunakula tunashiba ni kula na kufyatua tu hakuna namna 😊!!

Wee uduguuu akee yupo vizureee!!
 
Ni kweli, kwa sasa nikuiachia yote tu, mtuletee vitoto muijaze dunia; usiwe kama huyu anayejiita Cut... πŸ˜€ , bado anakula ujana

Na nakula kweli sio utani, sitaki hekaheka za ndoa mie [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Namsubiri shem wako anitulize [emoji23][emoji23][emoji23]
Hebuu mfanye wepesi mzae mapema mmalize hekaheka mapema uduguuu 🀠!
Au mnasubiria mpaka mzeeke kama shangazi yenu hapa???😊😊😁😁
 
8 wachache sana kama chakula kipo uwezo upo tunakula tunashiba ni kula na kufyatua tu hakuna namna 😊!!

Wee uduguuu akee yupo vizureee!!
Njoo uniambie tukiwa wawili tu somewhere πŸ˜€
 
Lakini waambie ERoni anatosha madam 🀣🀣
🀠🀠🀠🀠🀣🀣🀣🀣🀣!
Humu haya ni Majina makubwa wa vipaji ukianzisha uzi kuhusu Mahondaw/ Antonnia sijui naninani huko lazima huo Uzi ujaeee!!🀠🀠🀣!!
Au hata ukikoment tyuuu lazima visokorokwinyooo wotreee watoke walipojificha bwahahahahahahahahah!!!

Jf sihamiiiiii πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ•ΊπŸ•Ί!!
 
Hebuu mfanye wepesi mzae mapema mmalize hekaheka mapema uduguuu [emoji1783]!
Au mnasubiria mpaka mzeeke kama shangazi yenu hapa???[emoji4][emoji4][emoji16][emoji16]

Wa kuzaa nao wako wapi?? Ni kutafuta kushinda ustawi wa jamii kudai child support na kupigana vikumbo uduguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngoja niendelee kutafuta pesa nikiamua kuzaa, nilee mtoto wangu kwa raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…