Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452
Mimi naweza kufafanya kitu kibaya kabisa kwa majibu ya chooni kama haya.

Sina maneno mengi ila inasikitisha sana kwa hali ilivyo siku hizi hawa wanawake watatuuwa tukiwa bado vijana wadogo kabisa.

Pia tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa wanaume.

 
kilimanjaro au chuga
Lafudhi ni ya kichaga lakini inatoa picha ya uongo. Wanawake wa kichaga hawakosi heshima hivyo kwa waume zao. Infact niseme wanawake wa kichaga kwenye kuhudumia waume zao wako vizuri sana kwa sababu ni moja ya tamaduni za kichaga. Wanawake wenye tabia kama hizi ni wanawake wa uswazi, uswahilini huko.
 
Lafudhi ni ya kichaga lakini inatoa picha ya uongo. Wanawake wa kichaga hawakosi heshima hivyo kwa waume zao. Infact niseme wanawake wa kichaga kwenye kuhudumia waume zao wako vizuri sana kwa sababu ni moja ya tamaduni za kichaga. Wanawake wenye tabia kama hizi ni wanawake wa uswazi, uswahilini huko.
Acha kugeneralise hivyo mkuu, tena hilo kabila ukikutana naye wa hivyo nyumba inakuwa ya moto.
 
Magoma ya kaskazini hayo ni ya kukaa nayo mbali kwa usalama wako wanaume.
Watu mna chuki na watu wa kaskazini. Sikiliza. Kwenye makabila kama wakurya, wasukuma, wachaga, wamasai kuna mfumo dume mbaya sana tangu miaka ya zamani. Hili limefanya wanawake wao kuwa watii kwa waume zao. Mikoa yenye wanawake jeuri ni mikoa ya Pwani kwani wanaume wa huko siyo wakali. Na ndiyo wenye wanawake midomo michafu kweli kweli
 
Watu mna chuki na watu wa kaskazini. Sikiliza. Kwenye makabila kama wakurya, wasukuma, wachaga, wamasai kuna mfumo dume mbaya sana tangu miaka ya zamani. Hili limefanya wanawake wao kuwa watii kwa waume zao. Mikoa yenye wanawake jeuri ni mikoa ya Pwani kwani wanaume wa huko siyo wakali. Na ndiyo wenye wanawake midomo michafu kweli kweli
Siyo kweli uchagani hakuna ukarimu
wanawake wa huko ukijichanganya lazma uwe mwanafalsa.
 
Watu mna chuki na watu wa kaskazini. Sikiliza. Kwenye makabila kama wakurya, wasukuma, wachaga, wamasai kuna mfumo dume mbaya sana tangu miaka ya zamani. Hili limefanya wanawake wao kuwa watii kwa waume zao. Mikoa yenye wanawake jeuri ni mikoa ya Pwani kwani wanaume wa huko siyo wakali. Na ndiyo wenye wanawake midomo michafu kweli kweli
Mmmmmmhmn kwa wanawake wa kaskazini akitulia labda aone una mtonyo na mambo yanakwenda. Na hapo anakuwa anakulia timing awe anakuibia na kujenga kwao kisiri, huwa hawana amani hadi ajue aidha ana nyumba yake au ile mliojenga ipo kwenye umiliki wake.

Wapo very obsessed na kumiliki mali na pesa zake personal tabia ambayo ni mbaya sana kwenye mahusiano na ndicho chanzo cha migogoro.

Mwanamke akishakuwa na falsafa ya kumiliki mali yake ndani ya ndoa tayari anakuwa amembolea utengano kati yenu na huwezi muamini wala kumpa nafasi ile ya nusu yako au msiri wako maana utamuamini vipi mtu ambaye anajitafutia mali zake katika mali zenu.

Na hii sio kwa wanawake tu hata wanaume. Nina shangazi yangu alifunga ndoa na mwanaume wa kichagga jamaa alikuwa akimpa hela mfano 50,000 ,laki, anahesabu kamkopesha na huwa anaidai maana hachukulii kuwa yule ni mke na kumpatia ni kama amejipa mwenyewe yeye anaidai na anakomaa alipwe.

Ila yeye alikuwa akiomba pesa anakausha kulipa sasa huu ni ubinafsi ambao unatakiwa kukemewa sana kwenye mahusiano na ndoa ama sivyo nyingi zitafika mwisho. Kwani kuna ubaya gani ukishare pesa na mali na mwenzako na mkaweka mbali ndugu zenu ambao wanazishobokea?

Kwann sifike mahali watu wakaheshimu na kuyatunza mahusiano kuliko kitu chochote wanapokuwa pamoja.
 
Mmmmmmhmn kwa wanawake wa kaskazini akitulia labda aone una mtonyo na mambo yanakwenda. Na hapo anakuwa anakulia timing awe anakuibia na kujenga kwao kisiri, huwa hawana amani hadi ajue aidha ana nyumba yake au ile mliojenga ipo kwenye umiliki wake.

Wapo very obsessed na kumiliki mali na pesa zake personal tabia ambayo ni mbaya sana kwenye mahusiano na ndicho chanzo cha migogoro.

Mwanamke akishakuwa na falsafa ya kumiliki mali yake ndani ya ndoa tayari anakuwa amembolea utengano kati yenu na huwezi muamini wala kumpa nafasi ile ya nusu yako au msiri wako maana utamuamini vipi mtu ambaye anajitafutia mali zake katika mali zenu.

Na hii sio kwa wanawake tu hata wanaume. Nina shangazi yangu alifunga ndoa na mwanaume wa kichagga jamaa alikuwa akimpa hela mfano 50,000 ,laki, anahesabu kamkopesha na huwa anaidai maana hachukulii kuwa yule ni mke na kumpatia ni kama amejipa mwenyewe yeye anaidai na anakomaa alipwe.

Ila yeye alikuwa akiomba pesa anakausha kulipa sasa huu ni ubinafsi ambao unatakiwa kukemewa sana kwenye mahusiano na ndoa ama sivyo nyingi zitafika mwisho. Kwani kuna ubaya gani ukishare pesa na mali na mwenzako na mkaweka mbali ndugu zenu ambao wanazishobokea?

Kwann sifike mahali watu wakaheshimu na kuyatunza mahusiano kuliko kitu chochote wanapokuwa pamoja.
Wanawake wa huko ni wachapakazi. Hayo mengine ni wivu ambao umekuwepo siku nyingi kwa sababu za kihistoria.
 
Wanawake wa huko ni wachapakazi. Hayo mengine ni wivu ambao umekuwepo siku nyingi kwa sababu za kihistoria.
Mzee tumeishi nao na watu wetu wa karibu wameishi nao. Ukiona jambo linasemwa na wengi jua lipo kwenye uhalisia.

Kuna tabia ambazo hazipendezi kuwa nazo kimahusiano sasa hawa dada zetu wa pande zile wamezionyesha sana. Ukisema sifa ya utafutaji kwa zamani sawa ila kwasasa haitakuwa sahihi kusema wao pekee yao ni wapambanaji sababu kwasasa wanawake wengi wanalazimika kutafuta pesa bila kujali asili ya mkoa gani.

But tunaongelea ile tabia ya kuchukulia umiliki wa mali very serious hadi upo tayari kuweka roho rehani au kutoa uhai wa mtu ambaye ni mwenza wako ili kubakia na mali yaani mtu hana hisia za kibinadamu yupo kama roboti au cyborg.

Hajali utu wala kujali hisia. Sio wote but wengi wapo hivi. Utu zero craving for money is the life for them. Not good at all.
 
Mzee tumeishi nao na watu wetu wa karibu wameishi nao. Ukiona jambo linasemwa na wengi jua lipo kwenye uhalisia.

Kuna tabia ambazo hazipendezi kuwa nazo kimahusiano sasa hawa dada zetu wa pande zile wamezionyesha sana. Ukisema sifa ya utafutaji kwa zamani sawa ila kwasasa haitakuwa sahihi kusema wao pekee yao ni wapambanaji sababu kwasasa wanawake wengi wanalazimika kutafuta pesa bila kujali asili ya mkoa gani.

But tunaongelea ile tabia ya kuchukulia umiliki wa mali very serious hadi upo tayari kuweka roho rehani au kutoa uhai wa mtu ambaye ni mwenza wako ili kubakia na mali yaani mtu hana hisia za kibinadamu yupo kama roboti au cyborg.

Hajali utu wala kujali hisia. Sio wote but wengi wapo hivi. Utu zero craving for money is the life for them. Not good at all.
Mazee hizi tuhuma unazotoa siyo mpya. Kama nilivyokuambia hii ni stereotype ambayo imejijenga siku nyingi na kama unajua maana ya stereotype utajua kuwa kuna uposhaji mkubwa. Angalau kama kuna mtu angekuwa amefanya research na akaja na conclusion kama hizi nisingekuwa nabisha. Mimi kwa bahati nzuri nimetembea sehemu nyingi na nina experince ya maisha. Kama ni kupenda fedha binadamu wote wanapenda fedha ila wewe sema makabila mengine yalichelewa ''kuamka''.
 
Back
Top Bottom