Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

Mwanamke wa kichaga anaweza akakuona unakufa hivi na akabaki anakutazama.

Kufanya kitu ili kukukomoa wewe mwanaume kwake sio shida kabisa. Mali yake ni mali yake tu na wala sio yenu hata kama mmechangia kwa namna gani, na ukitaka ugombane nae, basi gusa kwenye kitu anachomiliki yeye.

Ukiwa na cha kwako atatamani kiwe chake, kila kitu kizuri atakitamani kiwe chini yake. Hapo sijazungumzia kiburi, hasira n.k

Wanawake wa huko kuoa sishauri kabisa kwa mtu yeyote yule, nasema hivi kutokana na uzoefu ambao mimi mwenyewe nimepitia.
Dah mchumba wangu ni mchaga, unanitisha mkuu.
 
Lafudhi ni ya kichaga lakini inatoa picha ya uongo. Wanawake w kichaga hawakosi heshima hivyo kwa waume zao. Infact niseme wanawake wa kichaga kwenye kuhudumia waume zao wako vizuri sana kwa sababu ni moja ya tamaduni za kichaga. Wanawake wenye tabia kama hizi ni wanawake wa uswazi, uswahilini huko.
Wanawake waswahili hawana huu upuuzi...kwanza hawana hii lafudhi. Mademu wagumu na mijeuri wanapatika kwenu huko.
 
Wapare hawafai kuolewa! Waoane wenyewe kwa wenyewe! Yaani hao watu ni wabinafsi? Ving'ang'anizi na wachoyo na malaya waliopitiliza! Ili kabila ni konyo.
 
Mazee hizi tuhuma unazotoa siyo mpya. Kama nilivyokuambia hii ni stereotype ambayo imejijenga siku nyingi na kama unajua maana ya stereotype utajua kuwa kuna uposhaji mkubwa. Angalau kama kuna mtu angekuwa amefanya research na akaja na conclusion kama hizi nisingekuwa nabisha. Mimi kwa bahati nzuri nimetembea sehemu nyingi na nina experince ya maisha. Kama ni kupenda fedha binadamu wote wanapenda fedha ila wewe sema makabila mengine yalichelewa ''kuamka''.
Ila sio wegi wanapenda pesa kiasi cha kua tayari hata kutoa maisha ya mwenza wake, hii character kwa asilimia kubwa wanayo wanawake wa kaskazini
 
Mimi naweza kufafanya kitu kibaya kabisa kwa majibu ya chooni kama haya.

Sina maneno mengi ila inasikitisha sana kwa hali ilivyo siku hizi hawa wanawake watatuuwa tukiwa bado vijana wadogo kabisa.

Pia tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa wanaume.

View attachment 2985405
Mchaga
Wapare hawafai kuolewa! Waoane wenyewe kwa wenyewe! Yaani hao watu ni wabinafsi? Ving'ang'anizi na wachoyo na malaya waliopitiliza! Ili kabila ni konyo.
Kaoe mchaga ni malaika
 
Ila sio wegi wanapenda pesa kiasi cha kua tayari hata kutoa maisha ya mwenza wake, hii character kwa asilimia kubwa wanayo wanawake wa kaskazini
Waacheni basi waoane wenyewe kwa wenyewe. Kuna mtu anawashikia bunduki ili muwaoe? Ujinga mtupu!
 
Wenyewe mnawakimbia sahv mnakimbilia kuoa kanda ya ziwa mnawaacha wanawake wenu,,,maana mnajua iziraeli mda wowote anakutembelea
Basi waache ''waoze'' bila kuolewa. Au na hili nalo linakukera? Au muwaambia wanawake wa kanda ya Ziwa wasikubali kuolewa na wa Kaskazini.
 
Lafudhi ni ya kichaga lakini inatoa picha ya uongo. Wanawake wa kichaga hawakosi heshima hivyo kwa waume zao. Infact niseme wanawake wa kichaga kwenye kuhudumia waume zao wako vizuri sana kwa sababu ni moja ya tamaduni za kichaga. Wanawake wenye tabia kama hizi ni wanawake wa uswazi, uswahilini huko.
Kwanini asilimia kubwa ya wamama wa Moshi na mchane ni wajane?
 
Mimi naweza kufafanya kitu kibaya kabisa kwa majibu ya chooni kama haya.

Sina maneno mengi ila inasikitisha sana kwa hali ilivyo siku hizi hawa wanawake watatuuwa tukiwa bado vijana wadogo kabisa.

Pia tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa wanaume.

View attachment 2985405
No hard feelings hapo, namwonyesha mlango wa kutokea, nabadilisha vitasa.

Biashara ya ndoa inaisha kwa amani kabisa, sirushi neno wala mkono, gentleman way.
 
Back
Top Bottom