Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

Wanaume tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa

Mimi naweza kupewa kufafanya kitu kibaya kabisa hapa.

Sina maneno mengi ila inasikitisha sana kwa hali ilivyo siku hizi hawa wanawake watatuuwa tukiwa bado vijana wadogo kabisa.

Pia tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa wanaume.

View attachment 2985405
Counter attack Ni kumpandisha daraja housegirl kua mother house 😊😊

Binafsi huwa siwezi kuvumilia DHARAU najua watoto wangeteseka kwa kukosa mapenziiiiiii na malezi ya pande mbili

Najua sisi wanaume tuna unya ng'au wetu mwingi TU Ila hupaswi kuvumilia mwanamke mpumbavu na mshenzi mwenye DHARAU ya kiwango Cha SGR
 
Lafudhi ni ya kichaga lakini inatoa picha ya uongo. Wanawake wa kichaga hawakosi heshima hivyo kwa waume zao. Infact niseme wanawake wa kichaga kwenye kuhudumia waume zao wako vizuri sana kwa sababu ni moja ya tamaduni za kichaga. Wanawake wenye tabia kama hizi ni wanawake wa uswazi, uswahilini huko.
Video ya mda ni acting
 
Watu mna chuki na watu wa kaskazini. Sikiliza. Kwenye makabila kama wakurya, wasukuma, wachaga, wamasai kuna mfumo dume mbaya sana tangu miaka ya zamani. Hili limefanya wanawake wao kuwa watii kwa waume zao. Mikoa yenye wanawake jeuri ni mikoa ya Pwani kwani wanaume wa huko siyo wakali. Na ndiyo wenye wanawake midomo michafu kweli kweli
Babu tunawajua hao acha kuwapamba Sana mafaili yao tunayo Mimi mmojawapo nishakutana na hicho kisanga cha hayo maeneo usiguse
 
Mzee tumeishi nao na watu wetu wa karibu wameishi nao. Ukiona jambo linasemwa na wengi jua lipo kwenye uhalisia.

Kuna tabia ambazo hazipendezi kuwa nazo kimahusiano sasa hawa dada zetu wa pande zile wamezionyesha sana. Ukisema sifa ya utafutaji kwa zamani sawa ila kwasasa haitakuwa sahihi kusema wao pekee yao ni wapambanaji sababu kwasasa wanawake wengi wanalazimika kutafuta pesa bila kujali asili ya mkoa gani.

But tunaongelea ile tabia ya kuchukulia umiliki wa mali very serious hadi upo tayari kuweka roho rehani au kutoa uhai wa mtu ambaye ni mwenza wako ili kubakia na mali yaani mtu hana hisia za kibinadamu yupo kama roboti au cyborg.

Hajali utu wala kujali hisia. Sio wote but wengi wapo hivi. Utu zero craving for money is the life for them. Not good at all.
Nikiona watu wanapinga hili huwa nabaki kushangaa. Mimi ni miongoni mwa wahanga wakubwa
 
Mazee hizi tuhuma unazotoa siyo mpya. Kama nilivyokuambia hii ni stereotype ambayo imejijenga siku nyingi na kama unajua maana ya stereotype utajua kuwa kuna uposhaji mkubwa. Angalau kama kuna mtu angekuwa amefanya research na akaja na conclusion kama hizi nisingekuwa nabisha. Mimi kwa bahati nzuri nimetembea sehemu nyingi na nina experince ya maisha. Kama ni kupenda fedha binadamu wote wanapenda fedha ila wewe sema makabila mengine yalichelewa ''kuamka''.
Bro kuna stereotype na kuna rekodi ya kitabia. Hivi nikikwambia wazaramo wanapenda sana shughuli yaani mdundiko au zile sherehe zao wanawake za kuvaa sare sijui kumtoa mtoto sijui nini wamakwenda kuweka kambi wiki na marafiki nitakuwa nawasingizia?

Au nikisema wanawake wa kinyakyusa wanapenda sana kupanda kichwani wanaume zao nitakuwa nafanya stereotyping?

Si kwamba tunasema wote wapo hivyo ila majority wapo hivyo na mimi personally siongei vitu vya kuhadithiwa tu nimeshuhudia tabia na baadhi nimekaa nao nimewasikia kabisa wakitamka fikra zao kuhusu mahusiano na wanayachukuliaje wanakwambia kabisa kuwa wao shida ya kuwa na mwanaume ni kutafuta pesa nae ila baada ya hapo hawana haja ya mahusiano nae sababu hawana shida ya life companionship.

Yeye anataka awe mwenyewe na watoto wake tu ndio anakuwa comfortable. Ni kama wanazaliwa wakiwa misandrist sababu ya makuzi na sumu za mama zao tokea utotoni.

Fuatilia mzee mimi situngi story hizi.
 
Watu mna chuki na watu wa kaskazini. Sikiliza. Kwenye makabila kama wakurya, wasukuma, wachaga, wamasai kuna mfumo dume mbaya sana tangu miaka ya zamani. Hili limefanya wanawake wao kuwa watii kwa waume zao. Mikoa yenye wanawake jeuri ni mikoa ya Pwani kwani wanaume wa huko siyo wakali. Na ndiyo wenye wanawake midomo michafu kweli kweli
Una miaka mingapi mkuu? Naona bado hujapevuka ipasavyo.
 
Mmmmmmhmn kwa wanawake wa kaskazini akitulia labda aone una mtonyo na mambo yanakwenda. Na hapo anakuwa anakulia timing awe anakuibia na kujenga kwao kisiri, huwa hawana amani hadi ajue aidha ana nyumba yake au ile mliojenga ipo kwenye umiliki wake.

Wapo very obsessed na kumiliki mali na pesa zake personal tabia ambayo ni mbaya sana kwenye mahusiano na ndicho chanzo cha migogoro.

Mwanamke akishakuwa na falsafa ya kumiliki mali yake ndani ya ndoa tayari anakuwa amembolea utengano kati yenu na huwezi muamini wala kumpa nafasi ile ya nusu yako au msiri wako maana utamuamini vipi mtu ambaye anajitafutia mali zake katika mali zenu.

Na hii sio kwa wanawake tu hata wanaume. Nina shangazi yangu alifunga ndoa na mwanaume wa kichagga jamaa alikuwa akimpa hela mfano 50,000 ,laki, anahesabu kamkopesha na huwa anaidai maana hachukulii kuwa yule ni mke na kumpatia ni kama amejipa mwenyewe yeye anaidai na anakomaa alipwe.

Ila yeye alikuwa akiomba pesa anakausha kulipa sasa huu ni ubinafsi ambao unatakiwa kukemewa sana kwenye mahusiano na ndoa ama sivyo nyingi zitafika mwisho. Kwani kuna ubaya gani ukishare pesa na mali na mwenzako na mkaweka mbali ndugu zenu ambao wanazishobokea?

Kwann sifike mahali watu wakaheshimu na kuyatunza mahusiano kuliko kitu chochote wanapokuwa pamoja.
Mkuu huyo kijana anaonekana bado hajakua, hayajui makabila ya kaskazni. Wanawake wa kule wana kila aina ya tamaa ya kumiliki mali, na hata akimiliki kamwe hatotosheka endapo akaona kuna namna ya kumiliki mali zingine.

Kama wewe ni mume unamhudumia kwa kumpa laki 5 kwa mwezi ndani ya ndoa, ikatokea kuna mwanaume anaweza akampa laki 7 au 8, moyo wake wote atauweka hapo kwa mwanaume mwingine.

Linapokuja suala la mali na fedha, wapo tayari kufanya lolote lile ili wamiliki na wakishamiliki tu kuna namna watatamani wawe single ili wawe na uhuru zaidi.

Yanayosemwa kuhusu wanawake wa huko Kibosho, Machame n.k ni sahihi kabisa kwa zaidi ya 95%.
 
Mzee tumeishi nao na watu wetu wa karibu wameishi nao. Ukiona jambo linasemwa na wengi jua lipo kwenye uhalisia.

Kuna tabia ambazo hazipendezi kuwa nazo kimahusiano sasa hawa dada zetu wa pande zile wamezionyesha sana. Ukisema sifa ya utafutaji kwa zamani sawa ila kwasasa haitakuwa sahihi kusema wao pekee yao ni wapambanaji sababu kwasasa wanawake wengi wanalazimika kutafuta pesa bila kujali asili ya mkoa gani.

But tunaongelea ile tabia ya kuchukulia umiliki wa mali very serious hadi upo tayari kuweka roho rehani au kutoa uhai wa mtu ambaye ni mwenza wako ili kubakia na mali yaani mtu hana hisia za kibinadamu yupo kama roboti au cyborg.

Hajali utu wala kujali hisia. Sio wote but wengi wapo hivi. Utu zero craving for money is the life for them. Not good at all.
Mwanamke wa kichaga anaweza akakuona unakufa hivi na akabaki anakutazama.

Kufanya kitu ili kukukomoa wewe mwanaume kwake sio shida kabisa. Mali yake ni mali yake tu na wala sio yenu hata kama mmechangia kwa namna gani, na ukitaka ugombane nae, basi gusa kwenye kitu anachomiliki yeye.

Ukiwa na cha kwako atatamani kiwe chake, kila kitu kizuri atakitamani kiwe chini yake. Hapo sijazungumzia kiburi, hasira n.k

Wanawake wa huko kuoa sishauri kabisa kwa mtu yeyote yule, nasema hivi kutokana na uzoefu ambao mimi mwenyewe nimepitia.
 
Back
Top Bottom