Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Counter attack Ni kumpandisha daraja housegirl kua mother house 😊😊Mimi naweza kupewa kufafanya kitu kibaya kabisa hapa.
Sina maneno mengi ila inasikitisha sana kwa hali ilivyo siku hizi hawa wanawake watatuuwa tukiwa bado vijana wadogo kabisa.
Pia tuwe makini na sehemu tunazotaka kuoa wanaume.
View attachment 2985405
Kwa ujumla wasukuma ni ma slow learner kwahiyo ni rahisi kushikwa akili na tatizo hawabadiliki kwa haraka akimeza kitu anakishikilia hicho hichoHata mimi nilivyokuwa mtoto nilijua hivyo lakini wanawake wa kisukuma ni chupi mkononi tembelea mwanza,sengerema ,Geita uone single mother walivyo jaa na kusaza
Video ya mda ni actingLafudhi ni ya kichaga lakini inatoa picha ya uongo. Wanawake wa kichaga hawakosi heshima hivyo kwa waume zao. Infact niseme wanawake wa kichaga kwenye kuhudumia waume zao wako vizuri sana kwa sababu ni moja ya tamaduni za kichaga. Wanawake wenye tabia kama hizi ni wanawake wa uswazi, uswahilini huko.
Ndiyo mkuu hata mimi nilijua ni acting ila kuna wanawake wako hivyo kweli. Hilo zaidi i malezi na siyo kabila la mtu.Video ya mda ni acting
Wanaigiza hao, ndio maana unaona wameweza kurecord.Hii ni serious
Babu tunawajua hao acha kuwapamba Sana mafaili yao tunayo Mimi mmojawapo nishakutana na hicho kisanga cha hayo maeneo usiguseWatu mna chuki na watu wa kaskazini. Sikiliza. Kwenye makabila kama wakurya, wasukuma, wachaga, wamasai kuna mfumo dume mbaya sana tangu miaka ya zamani. Hili limefanya wanawake wao kuwa watii kwa waume zao. Mikoa yenye wanawake jeuri ni mikoa ya Pwani kwani wanaume wa huko siyo wakali. Na ndiyo wenye wanawake midomo michafu kweli kweli
Hakuna maigizo wala maagizo hapo HIO imeenda viral kategeshewa CameraHao ni waigizaji.ikitokea akakufanyia hivo mke wako inatakiwa uoneshe uanaume kamili.piga ngumu za kutosha,makofi na mateke halafu mnaachana.mwanaume usikubali kushindwa na mwanamme.
Sio maigizo wala maagizoWanaigiza hao, ndio maana unaona wameweza kurecord.
🚮Sio maigizo wala maagizo
Nikiona watu wanapinga hili huwa nabaki kushangaa. Mimi ni miongoni mwa wahanga wakubwaMzee tumeishi nao na watu wetu wa karibu wameishi nao. Ukiona jambo linasemwa na wengi jua lipo kwenye uhalisia.
Kuna tabia ambazo hazipendezi kuwa nazo kimahusiano sasa hawa dada zetu wa pande zile wamezionyesha sana. Ukisema sifa ya utafutaji kwa zamani sawa ila kwasasa haitakuwa sahihi kusema wao pekee yao ni wapambanaji sababu kwasasa wanawake wengi wanalazimika kutafuta pesa bila kujali asili ya mkoa gani.
But tunaongelea ile tabia ya kuchukulia umiliki wa mali very serious hadi upo tayari kuweka roho rehani au kutoa uhai wa mtu ambaye ni mwenza wako ili kubakia na mali yaani mtu hana hisia za kibinadamu yupo kama roboti au cyborg.
Hajali utu wala kujali hisia. Sio wote but wengi wapo hivi. Utu zero craving for money is the life for them. Not good at all.
Yaan miaka 10 haumjui?miaka kumi
Na bado!!una weza mjua hivi kumbe ana nyongeza!Yaan miaka 10 haumjui?
Bro kuna stereotype na kuna rekodi ya kitabia. Hivi nikikwambia wazaramo wanapenda sana shughuli yaani mdundiko au zile sherehe zao wanawake za kuvaa sare sijui kumtoa mtoto sijui nini wamakwenda kuweka kambi wiki na marafiki nitakuwa nawasingizia?Mazee hizi tuhuma unazotoa siyo mpya. Kama nilivyokuambia hii ni stereotype ambayo imejijenga siku nyingi na kama unajua maana ya stereotype utajua kuwa kuna uposhaji mkubwa. Angalau kama kuna mtu angekuwa amefanya research na akaja na conclusion kama hizi nisingekuwa nabisha. Mimi kwa bahati nzuri nimetembea sehemu nyingi na nina experince ya maisha. Kama ni kupenda fedha binadamu wote wanapenda fedha ila wewe sema makabila mengine yalichelewa ''kuamka''.
Una miaka mingapi mkuu? Naona bado hujapevuka ipasavyo.Watu mna chuki na watu wa kaskazini. Sikiliza. Kwenye makabila kama wakurya, wasukuma, wachaga, wamasai kuna mfumo dume mbaya sana tangu miaka ya zamani. Hili limefanya wanawake wao kuwa watii kwa waume zao. Mikoa yenye wanawake jeuri ni mikoa ya Pwani kwani wanaume wa huko siyo wakali. Na ndiyo wenye wanawake midomo michafu kweli kweli
Mkuu huyo kijana anaonekana bado hajakua, hayajui makabila ya kaskazni. Wanawake wa kule wana kila aina ya tamaa ya kumiliki mali, na hata akimiliki kamwe hatotosheka endapo akaona kuna namna ya kumiliki mali zingine.Mmmmmmhmn kwa wanawake wa kaskazini akitulia labda aone una mtonyo na mambo yanakwenda. Na hapo anakuwa anakulia timing awe anakuibia na kujenga kwao kisiri, huwa hawana amani hadi ajue aidha ana nyumba yake au ile mliojenga ipo kwenye umiliki wake.
Wapo very obsessed na kumiliki mali na pesa zake personal tabia ambayo ni mbaya sana kwenye mahusiano na ndicho chanzo cha migogoro.
Mwanamke akishakuwa na falsafa ya kumiliki mali yake ndani ya ndoa tayari anakuwa amembolea utengano kati yenu na huwezi muamini wala kumpa nafasi ile ya nusu yako au msiri wako maana utamuamini vipi mtu ambaye anajitafutia mali zake katika mali zenu.
Na hii sio kwa wanawake tu hata wanaume. Nina shangazi yangu alifunga ndoa na mwanaume wa kichagga jamaa alikuwa akimpa hela mfano 50,000 ,laki, anahesabu kamkopesha na huwa anaidai maana hachukulii kuwa yule ni mke na kumpatia ni kama amejipa mwenyewe yeye anaidai na anakomaa alipwe.
Ila yeye alikuwa akiomba pesa anakausha kulipa sasa huu ni ubinafsi ambao unatakiwa kukemewa sana kwenye mahusiano na ndoa ama sivyo nyingi zitafika mwisho. Kwani kuna ubaya gani ukishare pesa na mali na mwenzako na mkaweka mbali ndugu zenu ambao wanazishobokea?
Kwann sifike mahali watu wakaheshimu na kuyatunza mahusiano kuliko kitu chochote wanapokuwa pamoja.
Mwanamke wa kichaga anaweza akakuona unakufa hivi na akabaki anakutazama.Mzee tumeishi nao na watu wetu wa karibu wameishi nao. Ukiona jambo linasemwa na wengi jua lipo kwenye uhalisia.
Kuna tabia ambazo hazipendezi kuwa nazo kimahusiano sasa hawa dada zetu wa pande zile wamezionyesha sana. Ukisema sifa ya utafutaji kwa zamani sawa ila kwasasa haitakuwa sahihi kusema wao pekee yao ni wapambanaji sababu kwasasa wanawake wengi wanalazimika kutafuta pesa bila kujali asili ya mkoa gani.
But tunaongelea ile tabia ya kuchukulia umiliki wa mali very serious hadi upo tayari kuweka roho rehani au kutoa uhai wa mtu ambaye ni mwenza wako ili kubakia na mali yaani mtu hana hisia za kibinadamu yupo kama roboti au cyborg.
Hajali utu wala kujali hisia. Sio wote but wengi wapo hivi. Utu zero craving for money is the life for them. Not good at all.
Mimi naona mwanamke bora ni msukuma tu
Ha ha ha nimecheka sana.Kwa ujumla wasukuma ni ma slow learner kwahiyo ni rahisi kushikwa akili na tatizo hawabadiliki kwa haraka akimeza kitu anakishikilia hicho hicho