WANAUME: Umewahi kukutana na mwanamke mzuri anayejiuza barabarani mpaka ukajiuliza pamoja na uzuri wote kakosaje mwanaume wa kumhudumia?

Kuna lishangazi moja around 45 nlikutana nalo linajiuza likiwa limeegamia Prado yake. Nliwaza sana Kama anaweza miliki Prado kwa nini auze BAO moja 15000
 
Yeah pale kahumba kulikuwa na demu mzuri afu mtamu kichizi nilikuwa najiuliza maswali mengi sana yaani ukimuangalia ni demu mkali haswaa daah sijui alipoteleaga wapi
 
Point sana hii mkuu
 
Vijana wanaoa wife materials lkn wanachepuka kwa wanawake wa ndogo zao.ambao ni wazuri kupitiliza
 
Utakuwa umezoea kuchukua uchafu wa barabarani na low quality aisee. Ukienda kule Instagram utajiuliza kwanini hawa hawajaolewa na mabilionea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…