WANAUME: Umewahi kukutana na mwanamke mzuri anayejiuza barabarani mpaka ukajiuliza pamoja na uzuri wote kakosaje mwanaume wa kumhudumia?

you can not judge the book by it's cover,wewe kuangalia uzuri wake hukutaka hata kujiuliza amebeba nini kwenye ubongo wake?yani unafikiri watu hawaoni huo uzuri,inawezekana kila anayejaribu kuishi naye anagundua ana matatizo yake ambayo hayavumiliki,ndio maana hata ulipomuuliza akakwambia hana boyfriend.Juzi kati hapa nilikuwa naangalia ministry moja,mdada ni mzuri hatari,alikuwa anaelezea yeye kila mwanaume aliyekuwa anatembea naye alikuwa anakufa,au wengine walikuwa wanapata magonjwa hawaponi,na wengine walikuwa wanafilisika,sasa my friend hivi vitu ukienda kichwa kichwa lazima ulie......
 
Hao ndio wale wanaojiita Independent woman, hawatakagi kuolewa... Kazi yao ni umalaya na kutafuta mabwana... Utakuta wanaishi maisha mazuri lakini hawana kazi halali...

Huyo haoleki, wanakwambia ndoa ni kifungo
 
Malaya awez acha tabia yake ukiwa nae ana act decent sana yeye ana focus maokoto tu.
 
Wadangaji refer mastaz wetu kina Irene uwoya,gigy, kajala....
Hao ndio wale wanaojiita Independent woman, hawatakagi kuolewa... Kazi yao ni umalaya na kutafuta mabwana... Utakuta wanaishi maisha mazuri lakini hawana kazi halali...

Huyo haoleki, wanakwambia ndoa ni kifungo
 
Nilishawahi sio siri yule dada alikua kama malaika.

Nikamwita akajua mteja nkamwambia Nataka tukalale Hadi asubuhi akanipa DAU.

Tukaenda Mboo haisimami mawazo yangu sio nimle ila nilitaka kupata nae mazingira ya kuongea uso kwa jicho hadi kieleweke.

Kufika Room dada anasaula nikamwambia Tulia Tulia Taratbuuu tupige vinywaji kwanzaa, akataka Ma vilevi nikamwambia NOOO hapa agiza juice au kitu kisicho na kilevi Akakubali.

Sijawahi ona MALAYA wakujiuza akirudisha Hela kwa kuntupia,

Ile nimeingiza tu Topic nataka uwe mpenzi wangu, akabadilika akaniacha nimalizie.. Nikajua anaelewa somo si unajua pgo za wadada Oooh My Goodness....

Bwana nilivyomaliza nikampa maiki aanze kujibu ya moyoni mwake akaniuliza We Kaka Umemaliza?

Nikamwambia NDIO akasema hela zako hizo hapo sina muda mchafu wa kusikiliza unayoyaongea akaniacha akatoka.

ile siku nilipata LOSS kulipia ROOM halafu hamna wakulala nae.

Nikawa namfata daily akiniona anakunja kona ananikwepa

Ki ufupi yule dada alishanletea noma ile sehemu nikatolewa nnje na mabausa na nkapigwa red card nisionekane pale

Wanangu nawambia ukweli angenkubaliaga mimi ningekua na mke aliewahi jiuza Na wala nisingejali ile mwanamke ilikua ni mwanamke na nusu.
 
Hawa malaya wanabeba maroho machafu,mikosi na laana.sio vzr kununua changu.
 
Duh unaleta story kazini mzee.
Malaya ana focus na hela tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…