Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Wanaume, ushawahi pewa sharti la "no sex hadi ndoa" na mdada? Uli-deal nalo vipi, na matokeo yalikuaje?

Sasa mkuu kila anekutongoza umkubali kulala nae si litakuwa bwawa.. mahusiano yenyewe hayaeleweki siku mbili mmeachana

Ndio maana tunaseMa no sex
When it comes to women, body counts are matters
Bwawa kivip akat hiyo ni kama mpira inarud katika hali yake after 1 hour?
 
Kuna jamaa yangu alinyimwa mzgo et mpaka ndoa, ebhana ee kumbe kuna mwamba hua anakachua taratibu bila shart

No Money and basic needs till marriage.
 
Kuna mmoja aliniletea hizo swaga me nkakubali vizuri kabisa, Haikupita hata week eti ananiambia Gas imeisha, nkamwambia asijali tutanunua tukifunga ndoa, Mpaka leo hajanicheki tena
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Kuna mtoto wa kigogo mmoja ( Waziri ) alimpa hii condition tukakaa kwenye mahusiano miaka mitatu bila sex.

Mwaka jana September akaniambia niende kwao nkajitambulishe nimuoe nkachomoa eti bado umri, ujana na bla bla kibao. Nkampotezea miezi miwili akinitafuta simjibu ghafla January mwaka huu naona status ameolewa.

Now nmegundua nmepoteza mwanamke aliyenipenda kwa dhati juzi nmemtafuta akawa analia tu eti ooh nmeolewa na mtu ambaye sikua na future nae uliumiza hisia zangu na nilijua ulikua uninicheat na friend zangu ila nkawa nakaa kimya

NB Kiukweli nmetembea na more than five friends wa huyu mwanamke. All in all sijajipanga kuoa at this time
 
Mi nilivumilia miaka 4 alafu ule wa 5 nikakakuwa siwesi oa mwanamke ambae sijaona uchi wake.basi akalia tukanunuana kama wiki 1 hivi (wakati huo ndugu zake walishaninua maana nilikua naenda hadi kwao.)basi nikanunuaa na yeyee kanunuaa kama wiki hizi siku akapiga sim mwenyewe anauliza (sikuelewi)mi nikamwambia siwwzi uziwa mbuzi kwenye gunia)basi akasema "umeviliaika yote hiyo alafu hapa mwishoni mdio nanashindwa?"nikamwambia pote la mbali ukipata mtu ulewa nimekuruhisu,basi mda huo huo akapiva simu "uko wapi"nikamwambia niko gheto nafanya usafi na mda si mrefu nitatoka,akasema nakuja,kimoyomoyo nikasema leo ni leo .kweli bana baada ya muda mtoto wa watu huyo akaja na ndizi na pande kuku. Ooo nimekuletea zawadi ikammjibu sitaki zawadi hiyo ,akasema unataka ipi!nikamwambia iyo hapo kati patamu !akasema njoo nionyeshe .sikuchelewesha baada ya dakika 45 tukajikuta !!!°
!!!!!!!
Ngoja nikapupute mchanga kwenye gari kwanza ........
Nasubir muendelezo
 
Wewe ndio mji
Kuna dem aliwah niambia hvyo,nikawa nakutana nae tunapiga story na kumshika shika tu makalio,nikawa nimepotezana nae mwaka mmoja nikamkuta ni singo mama,nilibak kushangaa tu

Kumbe wakat mimi naishia kushika makalio kuna mjinga alikuwa anaipiga,afu alivyomjinga analeta mazoea tena kwangu anataka niwe nae
nga
 
Wanawake wanacontrol sex men Money & attention weka vikwazo vya kiuchumi atanyioka tu
 
Nilifanyiwa hivyo na mtu wa ndoto yangu, nikashindwa uvumilivu nikaruka ukuta, nilipodondokea likamea zao, nikalazimishwa kuvuna nilete ghalani ndiye huyo ananipa kichaa kila kukicha
Anakupaje kichaa?
 
Akimjibu bikra anayo vipi atamuoa bila kuomba sex??
Wengine hudanganya kuwa ni bikra, mwanaume anasubiri ndoa, kumbe huku wahuni wanampakua tu. Ukioa unakuta bwawa la Mwl Nyerere.
 
Kuna mtoto wa kigogo mmoja ( Waziri ) alimpa hii condition tukakaa kwenye mahusiano miaka mitatu bila sex.

Mwaka jana September akaniambia niende kwao nkajitambulishe nimuoe nkachomoa eti bado umri, ujana na bla bla kibao. Nkampotezea miezi miwili akinitafuta simjibu ghafla January mwaka huu naona status ameolewa.

Now nmegundua nmepoteza mwanamke aliyenipenda kwa dhati juzi nmemtafuta akawa analia tu eti ooh nmeolewa na mtu ambaye sikua na future nae uliumiza hisia zangu na nilijua ulikua uninicheat na friend zangu ila nkawa nakaa kimya

NB Kiukweli nmetembea na more than five friends wa huyu mwanamke. All in all sijajipanga kuoa at this time
Duuh
 
Kuna mtoto wa kigogo mmoja ( Waziri ) alimpa hii condition tukakaa kwenye mahusiano miaka mitatu bila sex.

Mwaka jana September akaniambia niende kwao nkajitambulishe nimuoe nkachomoa eti bado umri, ujana na bla bla kibao. Nkampotezea miezi miwili akinitafuta simjibu ghafla January mwaka huu naona status ameolewa.

Now nmegundua nmepoteza mwanamke aliyenipenda kwa dhati juzi nmemtafuta akawa analia tu eti ooh nmeolewa na mtu ambaye sikua na future nae uliumiza hisia zangu na nilijua ulikua uninicheat na friend zangu ila nkawa nakaa kimya

NB Kiukweli nmetembea na more than five friends wa huyu mwanamke. All in all sijajipanga kuoa at this time
Duuh kisa chako kizuri sana mkuu huyo mtoto wa waziri ulikutana nae wapi!?
Je ni mzuri (tako plus titi)?

Na ni kweli ulidate naye 3 years bila kumtafuna?
 
Habarini,

Wanaume, katika harakati za kutongoza unakutana na mdada, unamtongoza, anaonesha kuwa kakubali, ila mkiwa kwenye story ukigusia swala la mzigo anakwambia sex ni hadi ndoa..au atakuuliza unaonaje swala la no sex till marriage (aki hint kwamba ukitaka u-sex nae ni hadi umuoe).. wadada wengi tu sahivi nikiwatongoza wananipa majibu haya sijui wananionaje..

No sex till marriage, ni idea nzuri kidini lakini wakuu is it worth waiting..

Kwa wadada, ni kila mwanaume anaewatongoza mkamkubali mnamwambiaga hakuna sex hadi ndoa, au kuna baadhi ya wanaume mnawaambiaga hivyo.

Melancholic Lamomy mzabzab Natafuta Ajira Xi Jinping Zemanda Chakorii To yeye Zuleykha Miss Natafuta Madame B Strong and Fearless The redemeer Mwachiluwi Poor Brain DeepPond cocastic Mzee wa kupambania ephen_ GENTAMYCINE
Mkuu, huyo ana pressure tu na ndoa.
 
Akishakwambia hivyo hiyo ni nusu ya ushindi...usikatae utaichakata kabla ya ndoa.
 
Back
Top Bottom