Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Kwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.

Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..

Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.

Wanaume wa Dar wasaidiwe.
Mitaa gani hiyo

Iliyotekwa na kupigwa pini

Ova
 
Rorya sehemu kubwa ya watu wanaendesha maisha yao kwa kutumia nguvu

Dsm sehemu kubwa ya watu wanaendesha maisha yao kwa kutumia akili

kuliko kwenda kupambana na panya road na kuhatarisha maisha yako Bora umuache abebe hizo TV sijui simu kwa kuwa hajaiba wala kujeruhi akili yako una uhakika wa kuvipata tena

hivi upambane kuokoa simu ya laki 6 kwa gharama ya bisibisi ya kwenye jicho?

Huko rorya mna haki ya kupambana kwa sababu mapambano hata ya kupata ugali wa siku asilimia 96% ni manguvu na 4% ni akili …sie huku ni kinyume chake
(mtaniwia radhi watani zangu wa kijita na kijaluo)

wenzenu hulu hata mambo ya ugomvi ugomvi wa kupigana yalishaisha…mtu akikuzingua hata kama una mmudu unamtaftia elf 50 unapeleka Polisi post unawapa hilo jukumu hii ikimaanisha hata kumpiga adui yako unaagiza na kuamuru Chombo cha dola


Alafu ni watoto wa miaka 8-12 ndy wanawajambisha watu wazima eti!!

Waje huku Rorya wafanye Kama wanajaribu Tu km hawakujikuta wameaamkia Kwa MUNGU Baba

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Wanaume wa Dar maneno meengi🤣🤣
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Tuwaonee huruma tu wanaume wa Dar na marais wao Steve Nyerere na Ben Kinyaiya
 
Kipindi cha MH-JPM hatukusikiaga hizi mambo washaanza kuwachekea tena.
Hivi watz tuna kumbukumbu fupi hivi?
Hawa Panya road walisumbua sana kipindi cha jpm hadi kuna thread humu watu wanapeana taarifa wawahi nyumbani na kufunga maduka. Tena walikuwa wanaambizana kuwa wanaenda kwa kikosi kuanzia saa 12 jioni. Baada ya hapo kabla ya uchaguzi nadhani ndo wakathibitiwa.
 
Dar inategemea na maeneo,kuna maeneo hao panya Road hawawezi kukanyaga maana wanajua watachinjwa.maeneo kama Ukonga,Kitunda, kimara na kivule hawawezi kutia miguu yao.wanajua mziki wa wanaume wa huko.
Wakazi wengi wa maeneo hayo ni watu jamii ya kanda ya ziwa,hakuna wanaume walegevu huko
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Bwana acha mbwembwe haya makundi hata mkoani yapo, mwanza lilikuwepo linaitwa nyamirizo kahama lilikuwepo wanajiita sijui jeshi la nini.
Tena huko kote wanaishi wasukuma wakakamavu. Na wote hao walikuwa watoto wadogo tu wanatembea na visu, wembe, mapanga.
Mwaka 2009 nikiwa A level pale mwanza, kuna dogo shuleni kwetu sijui alikuwa kamchukua demu wa mojawao. Siku ya disco pale shule si wakatimba eti kunsaka huyo dogo.
Aisee, kipigo walichopewa na wanafunzi hawatokaa wasahau maisha yao yote.
Yani eti watu 18 wanataka kuteka shule ya boys watupu kuanzia form 1 mpaka 6.
Washukuru hakuna aliyeuawa waalim waliwaokoa
 
Back
Top Bottom