Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Just imagine kundi la vijana 30_50 linatia timu mtaani kwako

Mkiwa hamjajipanga kwa lolote Tena usiku

Halafu mpuuzi mmoja anakuambia tunawaogopa
Mkiwa na umoja ni lzm muwe na mipango ya matazamio mnajipanga ikitangazwa tu speaker KILA mtu anakaba angle yake mwenye bomu,mwenye manati,upinde,kombeo nk
 
Mbona vibaka wa unga ltd hamjawathibiti mkuu?
Si ndio hapo sasa mkuu! Kule Ngarenaro na Ngalimi karibu kila mtaa kuna vibaka wanatembea na mabeto ila wanashindwa kuwadhibiti, ndiyo kwanza wanaambiana ukitaka wasikukabe ishi nao vizuri kuwa rafiki yao, na uwe unawapa hizi mia mbili mia mbili na jero jero za fegi ili uishi kwa amani!
 
Si ndio hapo sasa mkuu! Kule Ngarenaro na Ngalimi karibu kila mtaa kuna vibaka wanatembea na mabeto ila wanashindwa kuwadhibiti, ndiyo kwanza wanaambiana ukitaka wasikukabe ishi nao vizuri kuwa rafiki yao, na uwe unawapa hizi mia mbili mia mbili na jero jero za fegi ili uishi kwa amani!
Arusha wana ka ushamba inshort katika hii nchi sijaona washamba wa kirimbukeni kama Arusha
 
Acheni uoga wa kipuuzi, hizo bisbis, visu, mapanga na marungu nyie hamjui namna ya kuvipata??? shikisheni adabu hao watoto la sivyo watawapanda kichwani. Punguzeni kunywa michuzi ya pweza, kunyweni uji wa mtama.
 
Halafu ukiwaona panya road wenyewe ni vile vitoto vya bangi kutwa vinashindia mhindi wa kuchoma. Ni dhaifu usipime. Vimekuzwa jina hatari.
Panya road wenyewe walikua KIGOGO ndio wanaofanya kila wahuni waitwe panya road
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Usiombe yakukute
 
Katiba mpya
Kwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.

Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..

Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.

Wanaume wa Dar wasaidiwe.
 
Waje Arusha hao.... Yaani ni kina mama tuu ndo watapambana nao wawatie adaby
Arusha na nyie kama Dar tu, teleza anawaweka roho juu wanabaka wake zenu na nyie mpo usikute na nyie marinda nina mashaka kama bado mnayo [emoji23][emoji1787]
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Hivi haiwezekani kweli kwa sisi Wanaume wa Mikoani kutengeneza kikosi kazi cha kwenda kuwasaidia mafunzo ya ukakamavu hawa jamaa zetu wanaume wa Dar, ili kuepukana na haya manyanyaso yasiyoisha kutoka kwa hao Panya road na wale popobawa?

Wanaume wa Dar, mnakosea wapi? Punguzeni uoga bhana!
 
Kwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.

Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..

Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.

Wanaume wa Dar wasaidiwe.
Mikoani huko unaweza kukuta kijiji kizima hakuna mwenye bastola lakini hawa '' gupanya'' kama alivyowaita peter_intelligent hawawezi kuleta fyoko. Mapanga sha sha tu yanawatosha. Tuseme tu ukweli Dar watu wamelegea!
 
Back
Top Bottom