Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wakija hivyo ni mabhangi kichwani ndo yanawaongoza yaani kukupasua sehemu haoni shida , hapo we usiye na chochote utakaa tu ushindane nao ili mwisho wa siku usifiwe ni mwanaume wa Dar umepambana. Lol.Watu wanakuja kuja tu kuanzisha uzi. Watu kumi wako na mapanga hata john cena hafui dafu.
Keyboard warriors wa mchongo
Utoto wa Hali ya Juu,afu hao watoto Wana mapanga tuuMitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Uliwaonea wapi hao watoto Mkuu? 😅Halafu ukiwaona panya road wenyewe ni vile vitoto vya bangi kutwa vinashindia mhindi wa kuchoma. Ni dhaifu usipime. Vimekuzwa jina hatari.
Panga anacheza na manatiUtoto wa Hali ya Juu,afu hao watoto Wana mapanga tuu
Urojo rojoRorya sehemu kubwa ya watu wanaendesha maisha yao kwa kutumia nguvu
Dsm sehemu kubwa ya watu wanaendesha maisha yao kwa kutumia akili
kuliko kwenda kupambana na panya road na kuhatarisha maisha yako Bora umuache abebe hizo TV sijui simu kwa kuwa hajaiba wala kujeruhi akili yako una uhakika wa kuvipata tena
hivi upambane kuokoa simu ya laki 6 kwa gharama ya bisibisi ya kwenye jicho?
Huko rorya mna haki ya kupambana kwa sababu mapambano hata ya kupata ugali wa siku asilimia 96% ni manguvu na 4% ni akili …sie huku ni kinyume chake
(mtaniwia radhi watani zangu wa kijita na kijaluo)
wenzenu hulu hata mambo ya ugomvi ugomvi wa kupigana yalishaisha…mtu akikuzingua hata kama una mmudu unamtaftia elf 50 unapeleka Polisi post unawapa hilo jukumu hii ikimaanisha hata kumpiga adui yako unaagiza na kuamuru Chombo cha dola
Acha hayo mambo mkuu kuna rafiki yangu familia yake yote ilibakwa aisee alafu yy hakuwepo Home. mkewe na watoto wake watatu wakike wote walibakwa hawa vijana niwakuua kabisaKwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.
Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..
Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.
Wanaume wa Dar wasaidiwe.
Manati ndio unaogopa? Si mnajipanga kuwakabili?Panga anacheza na manati
Sasa huko Rorya panyaroad watakuwepo ili waibe nini? magunia ya unga wa dona au baiskeli za swala?
Nyie mnaoita vigarasa wa Dar 'wanaume wa Dar' mnafanya makosa.....wale si wanaume wa ukweli. We umeona wapi mtu/mwanaume anakbali kuongozwa na Steve Nyerere?Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Wanazuka ghafla kama magaidi wanafanya ambush mida ya saa kumi na mbili hadi saa mbili wakijua mida hio wanaume wapo makazini.wanakuwa watoto kuanzia miaka 14 hadi 30 jumla huwa ni kundi kuanzia watu 20 hadi 50 wakiwa na silaha baridi mfano wembe,bisibisi,panga,visu.Wakishambulia watu wanaokutana nao mtaani wakiwapora na kuwajeruhi, ukiona kikundi cha watoto mida hio unaweza dhambi wametoka mpirani huwa wanafujo na makelele.Wanashambulia police wakija wanatawanyika.Ni watoto wa mtaani wanaojilea wenyewe baada ya wazazi wao kufeli malezi.Kabla hamjawalaumu inatakiwa mjue hao panya road wakija huwa wanakuja vipi?
Mkuu Kuna vitu vigumu kuvipata vya mabilioni hukoKwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.
Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..
Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.
Wanaume wa Dar wasaidiwe.
Hayo maeneo uliyotaja ndiko wanakotoka hao panya roadDar inategemea na maeneo,kuna maeneo hao panya Road hawawezi kukanyaga maana wanajua watachinjwa.maeneo kama Ukonga,Kitunda, kimara na kivule hawawezi kutia miguu yao.wanajua mziki wa wanaume wa huko.
Mkiwa na manati wanaume watano tu mnawakabili.Manati ndio unaogopa? Si mnajipanga kuwakabili?
Just imagine kundi la vijana 30_50 linatia timu mtaani kwakoKabla hamjawalaumu inatakiwa mjue hao panya road wakija huwa wanakuja vipi?