kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Sio kweliHayo maeneo uliyotaja ndiko wanakotoka hao panya road
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweliHayo maeneo uliyotaja ndiko wanakotoka hao panya road
Mimi nadhani hili linatokana na culture ya eneo husika ambapo wahamiaji wamekuta ikiwaathiri. Wanaume wa maeneo ya pwani siyo ng'ang'ari na wako legelege sana. Kazi kukaa vibarazani na kucheza ngoma tu.Wanaume wa dar waanze kuvaa chupi kama dada zao
Wamewahi vamia mbagala sana tu kipindi Cha JPM 2018. Hivi hata issue ya kibiti si ikitokea kipindi Cha JPM? Au vijiji vya Mtwara kuvamiwa na waasi.Kipindi cha MH-JPM hatukusikiaga hizi mambo washaanza kuwachekea tena.
Zitto alishawapa maelekezo nyie watu wa JPMKipindi cha MH-JPM hatukusikiaga hizi mambo washaanza kuwachekea tena.
Musoma ilikua na vikundi vingi sana vya aina hii hata kuna ndugu yangu waliwahi mkata kwa mapanga kwake.Alafu ni watoto wa miaka 8-12 ndy wanawajambisha watu wazima eti!!
Waje huku Rorya wafanye Kama wanajaribu Tu km hawakujikuta wameaamkia Kwa MUNGU Baba
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Imagine ingekuwa ni masaki na mitaa Kama hiyo yani uswahilini wanatekwa je ushuani!!!, Wanaume wa Dar wachinjwe wote tupeleke mbegu mpya huko😁Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Vile vikundi havikuwahi kuteka mtaa Bali walikua ni wezi tu na vilipigana na vikundi kinzaniMusoma ilikua na vikundi vingi sana vya aina hii hata kuna ndugu yangu waliwahi mkata kwa mapanga kwake.
Huko si ndio mnaita Kanda maalum mbona makundi yalishamiri? Mikoani mnapenda kuexaggerate mambo sana
Jiwe alikuwa yeye ndiye muhalifu na muuaji akiwatumia Saambaya na BashiteIla siku zinaenda kasi sana aiseeee.......
R.i.P John
Thats reality,Wakuu wote na mtoa mada ni kwamba mfumo wa maisha kwa watu wa Dar es Salaam ndio unawafanya kudeal na hawa watu kuwa tabu.
UMOJA unakosekana kwa sababu Dar kila mtu yuko busy sana tofauti na mkoa.
Kwa mkoani watu kuwa tayari kuacha shughuli zao na kudeal hao viumbe ni rahisi sana kutokana na umoja.
Umoja, umoja, umoja, umoja.
Kijijini kwetu Mufindi miaka ya 2012 majambazi matatu yenye bunduki yaliuawa na wananchi wenye mundu na mafyekeo tu na wala hakuna mwananchi aliyedhurika tena usiku wa manane.
Tukio lilikuwa kijijini mkonge. Kwa wenyeji wa kule kama mzee N'yadikwa wanakijua.
Baada ya kuvamia kwa mzee fulani mfanyabiashara na baada ya uzembe wao wa kufyatua risasi watu walisikia basi simu zilipigwa kila mahali. Barabara za mdabulo, sawala mtwango zilifungwa kabisa ili wasiweze toka na pikipiki lao.
Huwezi amini mzee fulani alijificha pembeni ya road wakiwa ndio wanakimbia alirusha mundu yake hadi ikajipachika kwenye tairi la nyuma wakaanguka. Kilichotokea ni historia hadi leo.
Watu waliopigiwa simu toka sawala wanafika kutoa msaada na silaha za jadi ambazo mimi sijawahi hata kuziona toka nizaliwe wako kwenye mafuso wamekuja kutoa msaada.
Nb: mfumo wa Dar es Salaam watu kutojuana na kila mtu kuwa na hamsini zake na kutojuana ndio unawacost.
Umoja, umoja, umoja. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1787][emoji1787]
Karbu sana mremboJana nimewasilisha form zangu za kuomba uhamisho niende zangu Rorya,Hawa wanaume wa Dar hawako serious.
Uliza ilikuwaje,tokea hapo uliwahi tena habari za panya au Kibiti?Jpm utawala wake ulikuwa haucheki na kimaWamewahi vamia mbagala sana tu kipindi Cha JPM 2018. Hivi hata issue ya kibiti si ikitokea kipindi Cha JPM? Au vijiji vya Mtwara kuvamiwa na waasi.
Kwanini mnatengeneza picha kuwa hakukuwahi tokea uhalifu enzi zake?
[emoji1787][emoji1787]Imagine ingekuwa ni masaki na mitaa Kama hiyo yani uswahilini wanatekwa je ushuani!!!, Wanaume wa Dar wachinjwe wote tupeleke mbegu mpya huko[emoji16]
Sasa ilichukua wiki moja au Kibiti ilichukua mwezi tu? Au ulitaka malalamiko yatoke Jana Leo ujambazi uishe?Uliza ilikuwaje,tokea hapo uliwahi tena habari za panya au Kibiti?Jpm utawala wake ulikuwa haucheki na kima
Mkoa gani mbona mikoani tunaona matukio ya kukabana kama kawaida tuu huko Tabora mambo ya fatuma yapo mpaka kesho..Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Arusha ndio hakuna mwanaume kabisa kwa sasa. Bora hata ya dar. Arusha kwa sasa wote ni wanawake tuWaje Arusha hao.... Yaani ni kina mama tuu ndo watapambana nao wawatie adaby
Zitto alishawapa maelekezo nyie watu wa JPM
Dah ukimtajaga huyo mwamba moyo unashtuka sana kuna wakat hata siamini asee
Hivi watz tuna kumbukumbu fupi hivi?
Hawa Panya road walisumbua sana kipindi cha jpm hadi kuna thread humu watu wanapeana taarifa wawahi nyumbani na kufunga maduka. Tena walikuwa wanaambizana kuwa wanaenda kwa kikosi kuanzia saa 12 jioni. Baada ya hapo kabla ya uchaguzi nadhani ndo wakathibitiwa.