Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Wanaume wa dar waanze kuvaa chupi kama dada zao
Mimi nadhani hili linatokana na culture ya eneo husika ambapo wahamiaji wamekuta ikiwaathiri. Wanaume wa maeneo ya pwani siyo ng'ang'ari na wako legelege sana. Kazi kukaa vibarazani na kucheza ngoma tu.
 
Kipindi cha MH-JPM hatukusikiaga hizi mambo washaanza kuwachekea tena.
Wamewahi vamia mbagala sana tu kipindi Cha JPM 2018. Hivi hata issue ya kibiti si ikitokea kipindi Cha JPM? Au vijiji vya Mtwara kuvamiwa na waasi.

Kwanini mnatengeneza picha kuwa hakukuwahi tokea uhalifu enzi zake?
 
Alafu ni watoto wa miaka 8-12 ndy wanawajambisha watu wazima eti!!

Waje huku Rorya wafanye Kama wanajaribu Tu km hawakujikuta wameaamkia Kwa MUNGU Baba

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Musoma ilikua na vikundi vingi sana vya aina hii hata kuna ndugu yangu waliwahi mkata kwa mapanga kwake.

Huko si ndio mnaita Kanda maalum mbona makundi yalishamiri? Mikoani mnapenda kuexaggerate mambo sana
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Imagine ingekuwa ni masaki na mitaa Kama hiyo yani uswahilini wanatekwa je ushuani!!!, Wanaume wa Dar wachinjwe wote tupeleke mbegu mpya huko😁
 
Musoma ilikua na vikundi vingi sana vya aina hii hata kuna ndugu yangu waliwahi mkata kwa mapanga kwake.

Huko si ndio mnaita Kanda maalum mbona makundi yalishamiri? Mikoani mnapenda kuexaggerate mambo sana
Vile vikundi havikuwahi kuteka mtaa Bali walikua ni wezi tu na vilipigana na vikundi kinzani
 
Wakuu wote na mtoa mada ni kwamba mfumo wa maisha kwa watu wa Dar es Salaam ndio unawafanya kudeal na hawa watu kuwa tabu.
UMOJA unakosekana kwa sababu Dar kila mtu yuko busy sana tofauti na mkoa.

Kwa mkoani watu kuwa tayari kuacha shughuli zao na kudeal hao viumbe ni rahisi sana kutokana na umoja.

Umoja, umoja, umoja, umoja.

Kijijini kwetu Mufindi miaka ya 2012 majambazi matatu yenye bunduki yaliuawa na wananchi wenye mundu na mafyekeo tu na wala hakuna mwananchi aliyedhurika tena usiku wa manane.
Tukio lilikuwa kijijini mkonge. Kwa wenyeji wa kule kama mzee N'yadikwa wanakijua.

Baada ya kuvamia kwa mzee fulani mfanyabiashara na baada ya uzembe wao wa kufyatua risasi watu walisikia basi simu zilipigwa kila mahali. Barabara za mdabulo, sawala mtwango zilifungwa kabisa ili wasiweze toka na pikipiki lao.
Huwezi amini mzee fulani alijificha pembeni ya road wakiwa ndio wanakimbia alirusha mundu yake hadi ikajipachika kwenye tairi la nyuma wakaanguka. Kilichotokea ni historia hadi leo.

Watu waliopigiwa simu toka sawala wanafika kutoa msaada na silaha za jadi ambazo mimi sijawahi hata kuziona toka nizaliwe wako kwenye mafuso wamekuja kutoa msaada.

Nb: mfumo wa Dar es Salaam watu kutojuana na kila mtu kuwa na hamsini zake na kutojuana ndio unawacost.

Umoja, umoja, umoja. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji1787][emoji1787]
Thats reality,
Dar yenye watu kibao kama wanakuwa wamoja hivi vipanya ndani ya siku moja tu vyote vinaisha.
 
Panya awajawahi kutana na wanaume wanaojua kupiga pinde zenye sumu
 
Wamewahi vamia mbagala sana tu kipindi Cha JPM 2018. Hivi hata issue ya kibiti si ikitokea kipindi Cha JPM? Au vijiji vya Mtwara kuvamiwa na waasi.

Kwanini mnatengeneza picha kuwa hakukuwahi tokea uhalifu enzi zake?
Uliza ilikuwaje,tokea hapo uliwahi tena habari za panya au Kibiti?Jpm utawala wake ulikuwa haucheki na kima
 
Uliza ilikuwaje,tokea hapo uliwahi tena habari za panya au Kibiti?Jpm utawala wake ulikuwa haucheki na kima
Sasa ilichukua wiki moja au Kibiti ilichukua mwezi tu? Au ulitaka malalamiko yatoke Jana Leo ujambazi uishe?

Msimkuze JPM kihivyo
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Mkoa gani mbona mikoani tunaona matukio ya kukabana kama kawaida tuu huko Tabora mambo ya fatuma yapo mpaka kesho..
 
Hivi watz tuna kumbukumbu fupi hivi?
Hawa Panya road walisumbua sana kipindi cha jpm hadi kuna thread humu watu wanapeana taarifa wawahi nyumbani na kufunga maduka. Tena walikuwa wanaambizana kuwa wanaenda kwa kikosi kuanzia saa 12 jioni. Baada ya hapo kabla ya uchaguzi nadhani ndo wakathibitiwa.

Bro ulikuwa ukisumbua kipindi cha MH-JPM unapewa masaa tu watu wanakung’oa alaf unachofanywa siri yako mkuu.. yaani kama ukitoka mzima hauwezi rudia tena mkuu kuwa muelewa
 
Back
Top Bottom