Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Who cares, nachojua JPM hakumalizana nao ndani ya mwezi kama ambavyo mnamkosoa Samia utadhani mwezi umepita toka Hawa jamaa warudi upya!!

Then Kibiti ni one thing ila waliendelea kule kusini na Mtwara vijiji vilikua vinavamiwa latest 2020!! Sasa kama walikua hawajafutwa miaka yote hiyo 4 why Mama mnamuona amefeli kiusalama?

Tokea uhuru umewahi sikia Askari 20 wamefia kwenye peacekeeping mission mbona yalitokea kipindi Cha JPM?? Ila ingekua Samia mngesema kafeli kiusalama.

Acheni majungu, JPM alikua average tu msimkuze sana mpeni muda Mama afanye maono yake mumkosoe 2023 huko

Mkuu sio kukata kata watu mapanga vilee wamejihakikishia kwamba kila kitu safi tu
 
Kipindi cha MH-JPM hatukusikiaga hizi mambo washaanza kuwachekea tena.
Kwa hiyo JPM alikua anafanya kazi za Polisi au ?
Mbona Polisi ni wale wale na IGP ni yule yule? Au Polisi wanajua kazi yao ni kuilinda CCm ishinde Kwa kishindo. Au nao wamekua wanasiasa wa kundi la Polepole,Ndugai na Bashiru.
 
Kwa hiyo JPM alikua anafanya kazi za Polisi au ?
Mbona Polisi ni wale wale na IGP ni yule yule? Au Polisi wanajua kazi yao ni kuilinda CCm ishinde Kwa kishindo. Au nao wamekua wanasiasa wa kundi la Polepole,Ndugai na Bashiru.

Kama raisi kaenda marekani sijui uingereza kupiga story sisi tufanyaje sasa mkuu
 
Hao Vijana wanapaswa kuuawa wote mmoja baada ya mwingine . Lakini pia ni wakati Sasa wa kuangalia maslahi ya Polisi na mambo wapewe hadhi Fulani kwenye mitaa ili kila mtaa uwe na walinzi wa kushirikiana na Polisi.


Ni hatari sana kuwa na jamii na serikali yenye Polisi na serikali inayoogopa Tishirt iliyoandikwa "Tunataka Katiba Mpya " na kuzisaka mpaka uvungu lakini inashundwa kujua vikundi vya kigaidi vinavyowanyima wananchi usingizi .

Serikali Sasa iache Polisi wafanye kazi yao ya ulinzi na usalama wa watu na Mali zao.
 
Sasa ilichukua wiki moja au Kibiti ilichukua mwezi tu? Au ulitaka malalamiko yatoke Jana Leo ujambazi uishe?

Msimkuze JPM kihivyo
Kwaiyo malalamiko ya ujambazi kurudi umeanza kuyasikia leo? Samia mwenyewe aliisha wahi lalamika juu ya ujambazi kurudi kwa kasi dar,mpaka alisema kuna Askari mmoja aliamishwa dar inabidi arudishwe,eti rais nae analalamika,mnataka majambazi wateke ikuru ndipo mtachukua hatua?
 
Bwana acha mbwembwe haya makundi hata mkoani yapo, mwanza lilikuwepo linaitwa nyamirizo kahama lilikuwepo wanajiita sijui jeshi la nini.
Tena huko kote wanaishi wasukuma wakakamavu. Na wote hao walikuwa watoto wadogo tu wanatembea na visu, wembe, mapanga.
Mwaka 2009 nikiwa A level pale mwanza, kuna dogo shuleni kwetu sijui alikuwa kamchukua demu wa mojawao. Siku ya disco pale shule si wakatimba eti kunsaka huyo dogo.
Aisee, kipigo walichopewa na wanafunzi hawatokaa wasahau maisha yao yote.
Yani eti watu 18 wanataka kuteka shule ya boys watupu kuanzia form 1 mpaka 6.
Washukuru hakuna aliyeuawa waalim waliwaokoa
Umenikumbusha kauka camp, wazikuzi, manyirizu, wazabe..
2009 na tisa makundi mengi yalikuwa yamekufa..
Hii ilikuwa ni fassion kwa vijana ili uonekane hardcore na haikusika na wizi.
Haya yalikuwa sio makundi ya uporaji bali ilikuwa ni vikundi vya vijana wa
mtaa kama brother hood flani hivi na walikuwa wanatokea kwenye familia za mtaani hapo hapo
ili uwe hardcore ilikuwa lazima uwe na kundi,
asilimia kubwa walikuwa wanafunzi miaka hiyo shule ya msingi mtu anandevu na shule za kata zinachipuka sana
japo ilicombine wote hata wakishua wanaosoma private schools, miaka hiyo mtoto wa kiume kumpeleka shule
ya private ni mpaka utumie nguvu..
Karibia kila kijana wa mtaa alikuwa na kundi lake ndani ya mtaa kama si wewe basi kaka yako.
Vijana wa mtaa flani walikuwa hawezi kutoka mtaa flani kuja kuteka mtaa flani.
Ilikuwa kijana ukipita mtaa sio wako na hufahamiki na kundi hilo lazima uwe mpole na heshima.
Ila walikuwa wanaweza kutoka na kwenda kupigana na kundi flani tena kwa sababu wala hawakuhusika na wizi
japo ilikuwa kawaida mtu kuchomwa kisu ndani ya hayo makundi.
Miaka hiyo mwanafunzi wa shule flani akipigwa na mwanafunzi wa shule flani shule nzima inaenda kupigana...
Miaka hiyo mwanza mtoto akikushinda tabia unampeleka saqafa au taqwa, shule ambazo asubuhi fimbo zina
pelekwa na gari.
Nadhani hivi vitu vilichochewa sana na uhasama wa wana hiphop huko marekani kuwepo kwa makundi kama wutaang clan...
 
L
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Waomba radhii mkuu kwa kuwakosea adabu wanaume wa Dar.
 
Kwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.

Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..

Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.

Wanaume wa Dar wasaidiwe.
Bastola gani la laki 7 mkuu? Au unazungumzia Gobore?
 
Umenikumbusha kauka camp, wazikuzi, manyirizu..
2009 na tisa makundi mengi yalikuwa yamekufa..
Hii ilikuwa ni fassion kwa vijana ili uonekane hardcore na haikusika na wizi.
Haya yalikuwa sio makundi ya uporaji bali ilikuwa ni vikundi vya vijana wa
mtaa kama brother hood flani hivi na walikuwa wanatokea kwenye familia za mtaani hapo hapo
ili uwe hardcore ilikuwa lazima uwe na kundi,
asilimia kubwa walikuwa wanafunzi miaka hiyo shule ya msingi mtu anandevu na shule za kata zinachipuka sana
japo ilicombine wote hata wakishua wanaosoma private schools, miaka hiyo mtoto wa kiume kumpeleka shule
ya private ni mpaka utumie nguvu..
Karibia kila kijana wa mtaa alikuwa na kundi lake ndani ya mtaa kama si wewe basi kaka yako.
Vijana wa mtaa flani walikuwa hawezi kutoka mtaa flani kuja kuteka mtaa flani.
Ilikuwa kijana ukipita mtaa sio wako na hufahamiki na kundi hilo lazima uwe mpole na heshima.
Ila walikuwa wanaweza kutoka na kwenda kupigana na kundi flani tena kwa sababu wala hawakuhusika na wizi
japo ilikuwa kawaida mtu kuchomwa kisu ndani ya hayo makundi.
Miaka hiyo mwanafunzi wa shule flani akipigwa na mwanafunzi wa shule flani shule nzima inaenda kupigana...
Miaka hiyo mwanza mtoto akikushinda tabia unampeleka saqafa au taqwa, shule ambazo asubuhi fimbo zina
pelekwa na gari.
Nadhani hivi vitu vilichochewa sana na uhasama wa wana hiphop huko marekani kuwepo kwa makundi kama wutaang clan...
Walikuwa wanadundana wakikutana CCM Kirumba, kahama walikuwepo watoto wa mbwa
 
Walikuwa wanadundana wakikutana CCM Kirumba, kahama walikuwepo watoto wa mbwa
Na kwenye madisco siku za sherehe..
Kulikuwa kuna watu wameshindikana.
Sababu ya lake kuzuia mwanafunzi kwenda na gari wanafunzi walikuwa
wanashindana kwenda na gari na walimu.
Mwanafunzi mmoja akaenda na tipa madaftaria(counter) ameweka unapowekwa mchanga
yeye anaendesha amefika shuleni akabinua tipa kushusha madaftari akamaliza akaokota madaftari yake akaingia
class.
 
Na kwenye madisco siku za sherehe..
Kulikuwa kuna watu wameshindikana.
Sababu ya lake kuzuia mwanafunzi kwenda na gari wanafunzi walikuwa
wanashindana kwenda na gari na walimu.
Mwanafunzi mmoja akaenda na tipa madaftaria(counter) ameweka unapowekwa mchanga
yeye anaendesha amefika shuleni akabinua tipa kushusha madaftari akamaliza akaokota madaftari yake akaingia
class.
Noma sana watu wamepinda sana. Lazima walimu wamaindi
 
Dar kunyanyaswa na vitoto ni halali yao kabisa, watu wamelegea kama mlenda ,unakuta mtu yuko na gari ,kwenye hiyo gari hana hata panga achilia mbali shoka na rungu,
sisi huku kwetu kutembea na silaha kama shoka,rungu ,panga ,mkuki kwenye magari ni kawaida tu, ili wale wanaojifanya wanajua kuvizia wanapata dozi yao safi
 
Kwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.

Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..

Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.

Wanaume wa Dar wasaidiwe.
Mmmm yametokea hayo mpaka kubaka?
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Ungesema tu wanaume wa chanika!
 
Huko mikoani kila siku mnauana vifo vingine vya aibu,ati baba nae anakuja kulala ulipo lala wewe na mke wako halafu kakumbatia
Haa haa haa naye anaenda kufanya majaribio kama bado yupo kwenye chart, halafu analaumiwa kijana kwa kuua Baba , eti mbona alilala tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom