Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Mimi ni kauzu ila kuna mahali unafika hatua unasanda.

Ujue watu wengi wanaposikia neno panya road picture inayowajia kichwani ni kwamba ni vitoto fulani hivi vina mapanga na dis pisi basi.

Lakini hawajui kuwa hawa watoto wanafadhiliwa na matajiri kwa kuwapa silaha za moto

Yani kiongozi wa kundi la panya road hakosi mguu wa kuku.

Wote sisi ni wamkoani tuko huku kimitikasi tu ila kufanya attempt ya kiboya kama hiyo kwa dhana ya kuogopwa kuitwa mwanaume wa dar itakuwa ni uboya zaidi.

Mimi Scars namheshimu sana mtu mwenye gun na natumaini ni hivyo hivyo hata kwako wewe unayesoma hii

Kama mapolisi zaidi ya 5 wenye mafunzo waliweza kumuogopa Hamza mmoja unanishawishije mimi Scars unarmed nijitusu kwenye bunch of rats afu wana gun pia?

Mimi nilishawahi koswa na risasi ule mlio uliopita karibu na mwili wangu mpaka leo bado unaishi masikioni mwangu

Tena nikiwa huko huko mkoani kwenye wanaume halisi, lakini uanaume wao ni kwenye mbio tu ndo naweza kuwa sifu

Mtu akishika bunduki na ukiwa una hakika kuwa sio toy, bro msikilize anasemaje na umpe ushirikiano

Paragraph ya pili kutoka mwisho izingatie sana
 
Hao Vijana wanapaswa kuuawa wote mmoja baada ya mwingine . Lakini pia ni wakati Sasa wa kuangalia maslahi ya Polisi na mambo wapewe hadhi Fulani kwenye mitaa ili kila mtaa uwe na walinzi wa kushirikiana na Polisi.


Ni hatari sana kuwa na jamii na serikali yenye Polisi na serikali inayoogopa Tishirt iliyoandikwa "Tunataka Katiba Mpya " na kuzisaka mpaka uvungu lakini inashundwa kujua vikundi vya kigaidi vinavyowanyima wananchi usingizi .

Serikali Sasa iache Polisi wafanye kazi yao ya ulinzi na usalama wa watu na Mali zao.
Huyo jamaa uliyemweka kwny Avatar yako ndicho alichokifanya nchini kwake,kaua Sana kwa style hio mpk majambazi na vibaka somo likawaingia barabara.
 
Kwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.

Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..

Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.

Wanaume wa Dar wasaidiwe.
Hivi kuwacharaza risasi watu wa namna hii kuna shida gani? Why should the country keep unproductive group like this? Ondoa hasara kama hii, ubaki kuhudumia watu wa maana wanaolipa kodi na wawajibikaji kwa familia zao na Taifa kwa ujumla.
 
Hivi kuwacharaza risasi watu wa namna hii kuna shida gani? Why should the country keep unproductive group like this? Ondoa hasara kama hii, ubaki kuhudumia watu wa maana wanaolipa kodi na wawajibikaji kwa familia zao na Taifa kwa ujumla.
Magufuri watu kama hawa alikuwa acheki nao, ndio hao walikuwa wanakutwa kwenye roba,watu kama hao wanarudisha maendeleo ya watu nyuma,hawafai kuishi,ukiingia ktk anga lao awachelewi kukumaliza.
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.

Ukweli uliosahaulika ! Kweli?
 
Huko mikoani kila siku mnauana vifo vingine vya aibu,ati baba nae anakuja kulala ulipo lala wewe na mke wako halafu kakumbatia
Laiti ungejua hawa wake zenu mliowaacha huku vijijini tunavyowafanya ungenyamaza tu.
 
Magufuri watu kama hawa alikuwa acheki nao, ndio hao walikuwa wanakutwa kwenye roba,watu kama hao wanarudisha maendeleo ya watu nyuma,hawafai kuishi,ukiingia ktk anga lao awachelewi kukumaliza.
Mimi huwa nashangaa. Nchi inatakiwa kubembeleza watu waadilifu, walipa Kodi, wazalishaji na wazalendo kwa nchi yao lakini inapokuja suala la uhalifu ni lazima kudhibiti kwa namna namna yoyote ile ikiwa kuwafunga jela na mbinu zingine. Hakuna sababu ya kuendekeza uzembe wa namna hii.

Vitoto vinaamuaje kuteka mitaa na bado wanachekewa? How?
 
Mimi huwa nashangaa. Nchi inatakiwa kubembeleza watu waadilifu, walipa Kodi, wazalishaji na wazalendo kwa nchi yao lakini inapokuja suala la uhalifu ni lazima kudhibiti kwa namna namna yoyote ile ikiwa kuwafunga jela na mbinu zingine. Hakuna sababu ya kuendekeza uzembe wa namna hii.

Vitoto vinaamuaje kuteka mitaa na bado wanachekewa? How?
Eti haki za binadamu, wakati yeye akikuwahi anakuachia kifo au kirema cha maisha, wakati mwingine wanaharakati wanatupoteza.
 
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.

Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!

Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.

Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!

Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Watu wanashindia kiepe na pweza nguvu watoe wapi,vitoto vya miaka 18 vinawanyima raha wanalala uvunguni
 
Hivi watz tuna kumbukumbu fupi hivi?
Hawa Panya road walisumbua sana kipindi cha jpm hadi kuna thread humu watu wanapeana taarifa wawahi nyumbani na kufunga maduka. Tena walikuwa wanaambizana kuwa wanaenda kwa kikosi kuanzia saa 12 jioni. Baada ya hapo kabla ya uchaguzi nadhani ndo wakathibitiwa.
JPM alikuwa amewaweka kundi la Machinga kuwanyoosha wenye vihela vya mboga
 
Hivi kuwacharaza risasi watu wa namna hii kuna shida gani? Why should the country keep unproductive group like this? Ondoa hasara kama hii, ubaki kuhudumia watu wa maana wanaolipa kodi na wawajibikaji kwa familia zao na Taifa kwa ujumla.
Ndio Maana nilikuwa napenda Maamuzi ya Magufuli. Watu kama hao weka ndani akitoka na akarudia tena mpoteze tu.
 
Back
Top Bottom