Aizna
JF-Expert Member
- Jan 3, 2022
- 1,348
- 1,652
Wamewahi vamia mbagala sana tu kipindi Cha JPM 2018. Hivi hata issue ya kibiti si ikitokea kipindi Cha JPM? Au vijiji vya Mtwara kuvamiwa na waasi.
Kwanini mnatengeneza picha kuwa hakukuwahi tokea uhalifu enzi zake?
Wewe unajua? Kwanini? Kibiti waliacha kufanya fujo au unaongea tu