Mitaa gani hiyoKwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.
Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..
Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.
Wanaume wa Dar wasaidiwe.
Tereza tu anawatia adabu anawato** bea wale zenu na mmelala ndani ndo mtawaweza panyaroad??,[emoji1787]Waje Arusha hao.... Yaani ni kina mama tuu ndo watapambana nao wawatie adaby
Alafu ni watoto wa miaka 8-12 ndy wanawajambisha watu wazima eti!!
Waje huku Rorya wafanye Kama wanajaribu Tu km hawakujikuta wameaamkia Kwa MUNGU Baba
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mbona teleza anawatesa kila siku anaingia kwenye nyumba na kubaka akina mamaWaje Arusha hao.... Yaani ni kina mama tuu ndo watapambana nao wawatie adaby
Huku Tarime hiyo kazi tunawaachia wanawake dk 2 tu usalama unarudi.Wayafanye hayo huko Tarime......
Wanaume wa Dar maneno meengiπ€£π€£Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Tuwaonee huruma tu wanaume wa Dar na marais wao Steve Nyerere na Ben KinyaiyaMitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Ha haaa nilishangaa Sana hiki kivumishi Cha GU Mara ya kwanza nimeenda Njombe, Nasikia mtu anasema"ana Gunyumba Gukubwa ugo"I was like whaaatπusiseme PANYA,sema GUPANYA
Tereza tu anawatia adabu anawato** bea wale zenu na mmelala ndani ndo mtawaweza panyaroad??,[emoji1787]
Hivi watz tuna kumbukumbu fupi hivi?Kipindi cha MH-JPM hatukusikiaga hizi mambo washaanza kuwachekea tena.
Watu wanakuja kuja tu kuanzisha uzi. Watu kumi wako na mapanga hata john cena hafui dafu.Kabla hamjawalaumu inatakiwa mjue hao panya road wakija huwa wanakuja vipi?
Wakazi wengi wa maeneo hayo ni watu jamii ya kanda ya ziwa,hakuna wanaume walegevu hukoDar inategemea na maeneo,kuna maeneo hao panya Road hawawezi kukanyaga maana wanajua watachinjwa.maeneo kama Ukonga,Kitunda, kimara na kivule hawawezi kutia miguu yao.wanajua mziki wa wanaume wa huko.
Bwana acha mbwembwe haya makundi hata mkoani yapo, mwanza lilikuwepo linaitwa nyamirizo kahama lilikuwepo wanajiita sijui jeshi la nini.Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Ndio maana waasi uwa wanaajiri watoto. Mtoto akiwa na silaha ni hatari sana hajiulizi mara 2 kukuua.Watu wanakuja kuja tu kuanzisha uzi. Watu kumi wako na mapanga hata john cena hafui dafu.
Keyboard warriors wa mchongo
Mbona vibaka wa unga ltd hamjawathibiti mkuu?Waje Arusha hao.... Yaani ni kina mama tuu ndo watapambana nao wawatie adaby
Waje Arusha hao.... Yaani ni kina mama tuu ndo watapambana nao wawatie adaby
Mkuu hizi ni dharau sasa π€£π€£π€£π€£πππSasa huko Rorya panyaroad watakuwepo ili waibe nini? magunia ya unga wa dona?