Magufuli ukimaliza kutumbuwa watumish hewa, uje na huku kwa wanawake hewa kama huyu @jlowassa. Cku zote nasema ni bora kufa ukiwa na mawazo yanayoishi kuliko kuishi na mawazo yaliyokufa kama ya JLowassa. Kwa ufinyi wa akili yake, anaamua kutoa uzi huu kujioyesha kuwa
1. et wanaume weng wa JF wanamtaka kumbe ni kick na kutaka umaarufu.
2. et amiliki hcho kijiusafiri ingawaje cna ila tambua kuna watu humu JF wanamlk zaid ya hlo na hakuna mwenye kujitangaza kama wewe.
3.unataka watu waone kuwa unatongozwa xana kumbe ni akili finyu kwani kutongozwa kwa m'mke ni kawaida
4. Suala la mafuta ni makubaliano yenu, mbon ulivyomkubali hukusema?
5. Ni wanaume wangap jf unawakubali halafu husemi na unatoka nao kmyakmya