Wanaume wa ki-Tanzania wengi wao wanajua majukumu yao nyumbani

hili somo binafsi sijalielewa! ngj wahenga wengn wachangie! sijajua maana ya neno MAJUKUIMU ni package ya aina gani!
Ongea vizuri na sky atakuelewesha ukiisha kuelewa usisite kunielewesha na mimi siku nyingine ila kwa leo sihitaji kuingiza kitu kipya kama hiki
 
Ni kweli kabisa, wanaume wengi hata nguo za kubadili ni shida lakini atahakikisha anajenga na kupeleka watoto shule, hiyo ni good spirit.


bas mnatofautiana! kujenga nyumba sio ishu kwan hatujachangia! hyo ya kusema kubadili nguo kwao ni shida (huenda ni

wewe) kuna wanaume (baadhi) kwa week anakuja na trauza 4,shirt 2,raba kali 1! next week anaweza kuja na mikanda ya

suruali 2! next week akaja na tsht kali 2, (na za wanae ukumbuke hilo) week ya mshahara sasa ndo week za kujitapikia kwa ulevi!bata batani! yuko radhi achome mafuta ya 50000/ akale nyama!
jitahid sana kujitofautisha na hawa mbweha mdogo angu! sasa najiuliza kujali majukumu ya ndani kivipi?Kisa mkeo ana

kakazi kake bas unajisahau wwweeeeeeeeeeeee! upande wa khanga hujawah mnunulia ...! kazi kumsifia tu! shuibaaamitt!

alafu tuje tupate 'pumziko' sehem tulivu muanze kuconclude WANAWAKE SIJUI WANATAKAGA NINI!, HAWAELEWEKI!

na blah blah kibaoo! PUMBAVU ZAO WANAUME DESIGN HII! BAN HYOOOOOOOOOOO!

SAMAHANINI NILIKUA NNAOTAA!
 
Ongea vizuri na sky atakuelewesha ukiisha kuelewa usisite kunielewesha na mimi siku nyingine ila kwa leo sihitaji kuingiza kitu kipya kama hiki


nishachafukwa shoga! ngj nilog out!
 
Vitu muhimu katika mahitaji ya binadamu kama ni mwanaume anaejielewa atahakikisha familia Ina ma hali pa kulala, chakula, elimu ya watoto ikiwezekana na ya mama yao pamoja na huduma za afya
 
Mimi nilishaatukia hii mwanaume wa designer gear atakwepa majukumu ili apate pesa ya viwalo
 
Na heshima ya mwanaume mjini ni watoto wapate akili wakiwa kwenye nyumba yao, si nyumba ya kupanga!
kweli leo tumekumbukwa.
Kinyume chake na wao watazeekea kwenye nyumba za kupanga

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Vitu muhimu katika mahitaji ya binadamu kama ni mwanaume anaejielewa atahakikisha familia Ina ma hali pa kulala, chakula, elimu ya watoto ikiwezekana na ya mama yao pamoja na huduma za afya


atleast ungerekebisha maudhui yaonekane! we mmeshare kujenga alafu unasukumizia ni jukumu la mume?? sijui kwann wanawake tunadharauka namna hii! useme baadhi!(yale mabinafsi uyaweke kando)
 
Mada hadhimu kabisa... binafc yangu nimeona kwa daddy angu mlevi lakin hasahau majukumu yake..R.I.P. my daddy.. pia cjawah kuwaza kuish au kuolewa na Taifa tofaut most of men iz selfish!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Ni hali ya maisha tu lakini nyumba ya kupanga siyo ya kukaa kwa muda mrefu mkuu. Ninakumbuka mshkaji wa karibu alifia na mama yake mwenye nyumba alikataza matanga ilibidi tulilie hospitali

Hatari.

Kuna watu wana roho za korosho hii Dunia.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…