Wanaume wa ki-Tanzania wengi wao wanajua majukumu yao nyumbani

Haya mambo ya kuinvest kwa ki mada sikubukiishiwa kumdai huwezi
 
Limbwata at work[emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
mungu halali...nilipokutongoza ukaniona sifai...leo hii uliyemkubali ana michepuko rundo nzima hata matunzo ameyahamisha hakufai kwa lolote...ya nini kulalamika sijui mwanamme wangu hanijali sijui blah blah...wa kwangu matunzo anapokea tena mshahara wake sitaki kujua ana mipango ipi nao....achangie akitaka ila simpi presha za bure..ng'ang'ana na hali yako wacha kujitia majungu wakati huyo mumeo ulimchagua wewe...
asante mtoa mada kwa kuwakumbuka wanaume halisi
 
50/50

"the highest risk should give maximum profit"
 
Limbwata si mnaendaga kulitafuta wenyewe na kuhangaika kwenu. Mfyuuu zenu
Kuna magroup ya whatsapp yana haribu dada zetu. Huko wanafundishana mbinu za kumkamata mwanaume asitoke awe kama zuzu. Lakini mungu anawaona.





Hakuna mwanaume anaenda kutafuta limbwata. Ila dada zetu wa dangaji ndo chanzo. Unaweza fall in love kwa mtu asie sahihi. Cha muhimu ni kuomba mungu akupe macho ya rohoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…