Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
-
- #81
Sawa mkuu.hii Kwa watu wazimaFirst of all ni nyie wanawake ku provide safe space ambayo mwanaume ataweza kujieleza without being shamed, or taken for granted, or called names. Yaani mwanaume asijisikie negative pale anapotaka kukueleza ya moyoni. Pili wanaume wenyewe wawe na confidence ya kuwa wazi sasa, kwamba na wao ni binadamu wana hisia, wafunguke
Kabisa.Vijana wengi wanalipuka hivyo baadae wanastuka walikuwa wanalima mashamba ya watu
[emoji23]Sema kipenzi, hayo ya kuitana dada unataka kuninyima nini?
Sio wote wanatanguliza pesa..naamini wapo waelewa huko njeWao ukiwaambia hivi wanakwambia yaani hata elfu tano tu nayo nikiomba ni tatizo. Wasichojua hata bakhressa na pesa zake zote vile akiwa anatongoza demu anaangalia namna mwanamke anaheshimu pesa zake na haleti nazo mazoea ya kutumia utadhani alisaidia zitafuta.
Mwanamke anayetumia pesa kama kiingilio cha mahusiano hana tofauti na kahaba.
EnheeSisi vijana wa zamani kwa kweli tulikua vizuri sana unampanga binti anakuja kwenye geto langu nlilolipamba kwa magazeti ukutani
Sio woteShida siku hizi mdada haliki kwa maneno tu kama zamani, maokoto ndo yatafanya mwanaume ajiamini au asijiamini
Binafsi wanaoniita kaka wameshajaa. Niite Baby then uone nitakavyokufungulia Dunia.[emoji23]
Kaka yangu taratibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute demu kanywa na konyagi macho makavu unamtupia mistari mnaanza kutupiana maneno kama vile mnagawana mirathi
[emoji23][emoji23]Binafsi wanaoniita kaka wameshajaa. Niite Baby then uone nitakavyokufungulia Dunia.
😆 😆 😆 😆Hebu huko...utaja paramia wanaume wenzio humu
Competition ni kubwa sana. Afadhali ninunue tuNenda nae live..Kisha namba atatoa labda
Humu jf wakisema tupange list ya watu wanaoweza kupanga hoja na kuzitetea top 3 yangu wewe humoSasa hapo lawama zipo wapi? Kiukweli mambo yamebadilika sana. Wanawake mnatuwekea wanaume vikwazo ambavyo vinatufanya kuwatafsiri kuwa ni viumbe ambao hamtaweza kuishi na sisi bila pesa.
Pesa ni kitu ambacho huwa kinakuja kwenye maisha kidogo kidogo na kinatakiwa kuheshimiwa sana kimatumizi, inayoingia itunzwe inayotumika isiwe kubwa au sawa na ile iliyoingia.
Wanawake hamziheshimu akiba zetu za pesa. Unakutana na mwanamke anakwambia utoe pesa zako ulizohifadhi mwaka mzima kwaajiri ya malengo yako makubwa, yeye anazitaka akatumie kwenye kufurahisha nafsi yake kwa vitu vya mpito, huyo mtu wewe utamuelewa hata kujibizana nae tu, si unapotea kimya kimya?
Hakuna Generation wanawake wanaliwa kama hiiNi waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Sijawahi kupokea jibu la hapana kwa njia ya msg au comment. Fanya mpango tuonane uniambie live[emoji23][emoji23]
Hapana aisee
Njoo mtaani kwetu tukutongoze mtoto.Ni kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga. Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kuwa nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii.
Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara.
Shida ni nyinyi wenyewe. Ukishatongozwa na kikaeleweka unaanza kupata matatizo muda huo huo.Ni waoga kuwaface live wanawake na kuwaeleza hisia zao.
Tofauti na zamani, angalau wengi walikua brave pia tech haikuwa kubwa na Pana kama leo. Upo Dar unaelezea hisia zako kwa binti yupo Iringa au hata Marekani. Lakini zamani unam-face mpaka kieleweke.
Siku hizi kizazi hiki ujasiri Ule hawana tena.
Ishukuruni technology.
Mimi sio mtoto, nishapita 18 mkuuNjoo mtaani kwetu tukutongoze mtoto.