Wanaume wa siku hizi ni waoga kueleza hisia zao

Ni kweli! Vijana wengi wa siku hizi ni waoga. Siku hizi wametuiga wanawake kuonyesha kwa vitendo kuwa nakupenda lakini jiongeze mwenyewe mimi sikuambii.

Wanajipitishapitisha, kucheka hovyo, kutuma msg kila mara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona wengine tunatongozwa live, hadi aibu tunaona sie? Hao unao wazungumzia wee wa wapiii?? LOL
 
Ni wewe tu ndo hatukufati sasa mtu una uzoefu wa kuelezwa hisia na wanaume wa enzi hizo bado tu unataka hadi wanaume wa sasa tukufate kukueleza hisia zetu je kama hazipo
 
Kuna kadada nimejilipua kwake kakaniambia nitakupa jibu. Kesho yake asubuhi naambiwa pasi imeungua nikasaidie hela kanunue. 25K.
Nikasema tayari yamenikuta ya wanajf
 
Kumbe wewe Ni wazamani. Endelea na mapenzi ya kizamani. Siku hizi pesa inamaliza kila kitu. Mabinti wa kileo hawataki longolongo.
 
Poleni
 
Ni wewe tu ndo hatukufati sasa mtu una uzoefu wa kuelezwa hisia na wanaume wa enzi hizo bado tu unataka hadi wanaume wa sasa tukufate kukueleza hisia zetu je kama hazipo
Ni wapi nimeandika nimeomba nifatwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…