Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Sawa mkuu nimeusoma mtazamo wako.
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️Nilivyokuelewa ni kwamba unakazia kuwa kucheat ni jadi ya wanaume. Kwa wanawake sio jadi yao.
Pamoja na hayo kumbuka mwanaume huyo mwenye jadi ya kucheat huwa anapita na wake za watu, hivyo uwiano wa kucheat upo sawa kwa wanaume na wanawake.
Itabidi uniwekee time table ya kucheat 😎Hilo nalijua wanaume wote mnacheat😎
Jishaue..!😂Itabidi uniwekee time table ya kucheat 😎
Nini? 😎Jishaue..!😂
Nitakutumia timetable kama unavyotakaNini? 😎
Nasubiria unipm, maana wewe umefunga 😎Nitakutumia timetable kama unavyotaka
Nitakupm Melo akinifungulia pm yanguNasubiria unipm, maana wewe umefunga 😎
KwendaNitakupm Melo akinifungulia pm yangu
🚮Kwenda
Kuna wanawake wanacheat bila hata waume zao kuwacheat. Kila mmoja afanye kulingana na nafsi yake ilivyomtuma, kesi ikiletwa mezani kila mmoja atajitetea kivyake na atahukumiwa kivyake. Tusihalalishe kosa la mwanamke kwa sababu mwanaume pia amefanya. Mbona kwenye mema hawalipizi iweje kwenye mabaya tu, mbona sisi tunawapa hela lakini wao hawatupi? Kama wanataka twende sambamba kwenye kila kitu na wagharamie cost za ku-mantain mahusiano kama tunavyofanya sisi bwana wako kakununulia IST na wewe mnunulie passo, bwana wako kakununulia iphone pro max 15 na wewe mnunulie samsung s23 ultra., wasiishie kulipiza kwenye ku-cheat tu.Hivi umewahi kujiuliza kwa nini wanaume hukasirika zaidi pale wanapogundua kuwa wanawake zao wanacheat?
Iko hivi...
Watu wengi (hasa wanaume) huamini kuwa wanaume ndio wanaongoza kwa kucheat kuliko wanawake. Kiukweli imani hii ina dosari kitakwimu na haina mantiki. Uwiano wa wanaume na wanawake duniani ni 1:1. Hapo ndipo utagundua kuwa wanaume hawaongozi kwa kucheat kuliko wanawake.
Ukiwa kama mwanaume uliye cheat na mwanamke mwingine huko lodge - ni kipi kinakupa ujasiri wa kuamini kuwa mkeo hajawahi kucheat ama huwa hacheat?
Mzee baba utatulia siku ukielewa kuwa wanawake ni wajanja na wazuri sana katika kujificha kuliko wanaume.
I get shocked kwamba wanaume hutarajia kucheat na kusamehewa - lakini hawawezi kuunga mkono wazo la kwamba wake zao huwa wanacheat. You're living a lie. Hakuna jinsia iliyo na ukiritimba katika kucheat.
If you don't want your wife cheat on you - stop cheating.
Mabadiliko huanzia kwa mimi na wewe . Hatuwezi kutarajia ulimwengu kuwa pahali pazuri wakati sisi ni sehemu ya shida.
Shika hili mwanaume mwenzangu...... "Ikiwa umekuwa ukimcheat mkeo - anajua - hata kama hajakuambia anajua kuwa huwa unamcheat. Mkeo huwa anakuona kila uendako na hao wanawake zako. Kwa majuto mkeo 'hulipiza kisasi' kwa kuliwa bila masharti".
Ukiacha kucheat na mkeo ataacha kucheat.
Ukicheat, mkeo naye atacheat.
Ubarikiwe.
Simply, kuna mambo mengi sana ambayo yanafeli na tunakwama kwa sababu ya nyege zetu.Fafanua kidogo mkuu 🙌🙌🙌🙌
🚮🚮🚮🚮
Kuna wanawake wanacheat bila hata waume zao kuwacheat. Kila mmoja afanye kulingana na nafsi yake ilivyomtuma, kesi ikiletwa mezani kila mmoja atajitetea kivyake na atahukumiwa kivyake. Tusihalalishe kosa la mwanamke kwa sababu mwanaume pia amefanya. Mbona kwenye mema hawalipizi iweje kwenye mabaya tu, mbona sisi tunawapa hela lakini wao hawatupi? Kama wanataka twende sambamba kwenye kila kitu na wagharamie cost za ku-mantain mahusiano kama tunavyofanya sisi bwana wako kakununulia IST na wewe mnunulie passo, bwana wako kakununulia iphone pro max 15 na wewe mnunulie samsung s23 ultra., wasiishie kulipiza kwenye ku-cheat tu.
Kuna wanawake wanacheat bila hata waume zao kuwacheat. Kila mmoja afanye kulingana na nafsi yake ilivyomtuma, kesi ikiletwa mezani kila mmoja atajitetea kivyake na atahukumiwa kivyake. Tusihalalishe kosa la mwanamke kwa sababu mwanaume pia amefanya. Mbona kwenye mema hawalipizi iweje kwenye mabaya tu, mbona sisi tunawapa hela lakini wao hawatupi? Kama wanataka twende sambamba kwenye kila kitu na wagharamie cost za ku-mantain mahusiano kama tunavyofanya sisi bwana wako kakununulia IST na wewe mnunulie passo, bwana wako kakununulia iphone pro max 15 na wewe mnunulie samsung s23 ultra., wasiishie kulipiza kwenye ku-cheat tu.
SomaKuna wanawake wanacheat bila hata waume zao kuwacheat. Kila mmoja afanye kulingana na nafsi yake ilivyomtuma, kesi ikiletwa mezani kila mmoja atajitetea kivyake na atahukumiwa kivyake. Tusihalalishe kosa la mwanamke kwa sababu mwanaume pia amefanya. Mbona kwenye mema hawalipizi iweje kwenye mabaya tu, mbona sisi tunawapa hela lakini wao hawatupi? Kama wanataka twende sambamba kwenye kila kitu na wagharamie cost za ku-mantain mahusiano kama tunavyofanya sisi bwana wako kakununulia IST na wewe mnunulie passo, bwana kakununulia iphone pro max 15 na wewe mnunulie samsung s23 ultra., wasiishie kulipiza kwenye ku-cheat tu.
Sio kweli ila ni tamaa na vishawishiNyege ndo hupelekea watu kucheat. Siyo kuwa na mke au mume.
Hata kwa wanawake, wanaume wana vingi vya kujifunza kwao.Vitu vingi wanawake wanajifunza kwa wanaume.
Anyways; kwa mwanamke it’s not worthy the action. Kuna mengi ya kufanya…….
uuuwiii kumbe uwiano ni 1:1
Basi tuache kucheat aisee nlijua wanawake wapo nyuma sana kwenye kucheat.. Basi ni dhahiri wanawake wanacheat kwa usiri wa hali ya juu sana. Wanawake wabaya sana