SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .
Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.
Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.
Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .
Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.
Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.
Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???