Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .

Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.

Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.

Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
 
WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .

Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.

Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.

Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Niazime laki nakurudishia badae 😅😅😅😅😅😅
 
WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .

Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.

Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.

Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
sawa tuwekewee n ya wanawake wa zamani na wa leo, ikoje tuchakate kwa pamoja
 
WAnaume wakileo.
Mnaanza mahusiano anaanza kusema unafanya nini ??
Mko kwenye maongezi kidogo eti una teni hapo sasa kama mie mwanamke unataka hela yangu yanini kwasababu gani??
Dunia ilipoanza adam aliambiwa atatafuta kwa uchungu. Na hawa atazaa kwa uchungu na vitu vyote hadi kulea mwanaume ndio anahusika .

Sasa yamekuwa hayooo leo wanaume wanapigania kutunzwa imebaki wazae tu . Ndio imebaki.

Sasa wanaume wazamani wanaheshima wanakujali wanakupenda nakukupa muda wake.

Ila waleo ahaaa khali wamezidi wanataka haki sawa ipi???
Pole sana,ila 10K nayo ya kulaamika
 
Back
Top Bottom