Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

1. Wamekulia katika familia zenye migogoro ya ndoa hivyo wana experience mbaya (Adverse Childhood Effect).

2. Ni wachoyo au waoga wa maisha wakiamini wakioa watakua na majukumu, au maisha yatakua magumu hawatayamudu au mke atatumia mali zake.

3. Wanauelewa mdogo wa binadamu, wakiamini ili waoe basi wapate mtu ambae hatakua na dosari hata moja, huu ni ujinga, hakuna aliekamilika.

4. Hawana imani ya dini na wamejihalalishia zinaa.

5. Ni malimbukeni wa kufata mkumbo.

6. Wao wenyewe ni wenye tabia mbovu, hivyo kila wanaemuona wanaamini anatabia mbovu kama za kwao.

7. Wanauwezo mdogo wa ku jaji mambo, wakiona mwenzao anasumbuliwa basi wanamini nao itakua hivyo, au waliumizwa huko mbeleni.

Kwanini ni muhimu mwanaume kuoa?
1. Kupata watoto na kuwatengenezea umoja, kuwa na watoto bara na pwani, kila mtoto na mama yake, ni chanzo cha mgawanyiko wa familia nyingi. Unapooa unatulia na familia yako.

2. Kupata safe sex na halali, unapooa, unasex kwa halali na unakua na uhakika wa uwena wake na usalama, hamsaidii mwanaume kusex na wanawake hivyo hovyo.

3. Kupata mashirika wa karibu, kitu amambacho wanaume hawajui, kadri unavyozeeka ndo unahitaji mtu wa karibu sana kua na wewe, mtoto wako wa kike au wakiume hawezi kukuhudumia ukishazeeka, mke wako atafanya hivyo. Pia ni raha kuwa na mwandani wako mnaeshare mambo yenu mbali mbali.

Kuna mambo nakubali si ya kuvumilia hata kidogo, hasa suala la usaliti, lakini kwa asilimia kubwa mambo mengi ni kuvumiliana, hakuna aliekamilika na hatatokea, cha msingi ni kupata ambae anamapunguvu unayoweza kuyavumilia, pia uamini pia wewe mwenyewe unamambo ambayo mwenzio anakuvumilia.

Ndoa ni raha, ndoa inaleta utulivu.

My dedication to my beloved wife is " One friend" by Dan Seals
Hakuna ulazima wa kuoa. Kuoa ni dalili ya kutokujitambua. Kuwa tegemezi kwa binadamu mwenzio. Hakuna amri ya kuoa popote pale.
 
Shida ni kwamba watu Wanataka wote tuwe makondooo tutembee mstari mmoja... Ukitoka pembeni wanakuona shetani au adui........walio mwenye ndoa wanataka watu woteee waoe wawe kama wao..... Ni kama miaka Ile baba akiwa doctor anataka watoto wote wawe madaktari.
We are not the same...... Na ndio maana wengine WA kaamua kuwa mapadri.....na masista.....
 
Shida ni kwamba watu Wanataka wote tuwe makondooo tutembee mstari mmoja... Ukitoka pembeni wanakuona shetani au adui........walio mwenye ndoa wanataka watu woteee waoe wawe kama wao..... Ni kama miaka Ile baba akiwa doctor anataka watoto wote wawe madaktari.
We are not the same...... Na ndio maana wengine WA kaamua kuwa mapadri.....na masista.....
Hakika
 
Hyo namba 1 hapo iliniathiri tokaa nikiwa na miakaa 5 nilikuwaa namwonaa b mkubwaa akimnyanyasaa mzee mpk mzee aliamua kujinyongaa kuondokana na KERO ya mama yetuu...na mwanamke yule baada ya mzee kujinyongaa hakukaa hata miez miwilii likaolewa na kijana ambayee umri n sawà na kaka ytu wa Kwanzaa nakututelekezaaa Moja kwa mojaa mpk leo,alafuu uniongopee kuhusu wanawakeee na nioee ili nipitiee manyanaso ya mzee aliyopitiaa kwa mama yetuu,,,aiseeeeee hapana ndoa n utumwaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh
 
Utoto raha sana[emoji28][emoji28]

Ila twende mbele turudi nyuma, kijana hutaki kuoa/kuolewa utofauti wako na shoga/lesbian ni upi, tena kuna baadhi ya mashoga/lesbians nawajua wameoa/kuolewa.

Mwanaume hatakiwi kuwa na visingizio, kukabiliana na changamoto ndo uanaume[emoji28][emoji28]

ukigongewa nawewe gonga, usipogonga jua utagongewa[emoji3516]

What else[emoji124]View attachment 2483609
😂😂😂
 
Maisha ni mapambano wacha kila mtu apambane namna anavyo weza lakini ubaya ni kutekeleza baadhi ya mambo ki kasumba ili kufurahisha jamii hasa hasa hili swala la ndoa lina waumiza vijana wengi sana wanao fuata mkumbo na kasumba zisizo na maana yoyote ya msingi.
Halafu sahivi ndoa bila harusi inaonekana ni ya kishamba. Vijana tunaona safari bado! 😀
 
Halafu sahivi ndoa bila harusi inaonekana ni ya kishamba. Vijana tunaona safari bado! 😀
Ubaya ni kuwa Afrika bado ni bara la giza ujinga umetamalaki kwa kiwango kikubwa kuliko elimu.

Watu wapo radhi kugharamia mamilioni ya fedha kwa sherehe ya siku moja huku wakibaki na madeni, wazazi wapo radhi kumuuza binti yao kupitia mahari kwa mamilioni ya fedha haya yote yana onesha namna gani bado watu weusi wa Afrika tulivyo wajinga kupindukia.

Mnafanya sherehe za kagharama huku vijana wenu hawana mbele wa nyuma kimaisha huu ni upumbavu wa sisi watu weusi huku Afrika.
 
Punguzeni umalaya ndo mtaona faida ya kuoa😀😀Mnawaza mtakosa mbususu Kwa wakat mnaotaka mnabanwa
Nikiona wanetu waliooa wakilalamika hapa jf jinsi wanapewa mbususu kama mgawo wa maji nakata tamaa kabisa kuoa

Kabla ya kuolewa mnatoa mbususu safi kabisa mkiingia kwenye ndoa mnaifanya kama silaha ya kuwaadhibu waume zenu 🤔😅
 
Ubaya ni kuwa Afrika bado ni bara la giza ujinga umetamalaki kwa kiwango kikubwa kuliko elimu.

Watu wapo radhi kugharamia mamilioni ya fedha kwa sherehe ya siku moja huku wakibaki na madeni, wazazi wapo radhi kumuuza binti yao kupitia mahari kwa mamilioni ya fedha haya yote yana onesha namna gani bado watu weusi wa Afrika tuliyo wajinga kupindukia.

Mnafanya sherehe za kagharama huku vijana wenu hawana mbele wa nyuma kimaisha huu ni upumbavu wa sisi watu weusi huku Afrika.
Exactly! Niliwahi kuzungumza hii mahali fulani nikaonekana hakuna ninalojua.
 
Back
Top Bottom