Cavill
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 379
- 1,284
Jambo lenye manufaa hata siku moja huwezi kuta linapigiwa promo, wahuni mkiona mnalizimishwa kuoa ujue huo ni mtego, trust me!
Kama Ndoa ingekua inamnufaisha Mwanaume nawahakikishieni hakuna Mwanamke angekua anakubali kuolewa kirahisi. Kikubwa tutafuteni hela kwa Bidii sana, Hakuna Rafiki mzuri kama pesa mazee.. huyo mke sijui wa kua rafiki sijui nini, mambo ya kizamani hayo.. watoto nitalea hata Yatima nikiwa na hela zangu.. kuzeeka kupo tu.. always trust yourself (Forever young by Jay z)
Kama Ndoa ingekua inamnufaisha Mwanaume nawahakikishieni hakuna Mwanamke angekua anakubali kuolewa kirahisi. Kikubwa tutafuteni hela kwa Bidii sana, Hakuna Rafiki mzuri kama pesa mazee.. huyo mke sijui wa kua rafiki sijui nini, mambo ya kizamani hayo.. watoto nitalea hata Yatima nikiwa na hela zangu.. kuzeeka kupo tu.. always trust yourself (Forever young by Jay z)