Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Hyo namba 1 hapo iliniathiri tokaa nikiwa na miakaa 5 nilikuwaa namwonaa b mkubwaa akimnyanyasaa mzee mpk mzee aliamua kujinyongaa kuondokana na KERO ya mama yetuu...na mwanamke yule baada ya mzee kujinyongaa hakukaa hata miez miwilii likaolewa na kijana ambayee umri n sawà na kaka ytu wa Kwanzaa nakututelekezaaa Moja kwa mojaa mpk leo,alafuu uniongopee kuhusu wanawakeee na nioee ili nipitiee manyanaso ya mzee aliyopitiaa kwa mama yetuu,,,aiseeeeee hapana ndoa n utumwaa
I support you Brother usioe, ndoa ni upuuzi mtupu.
 
Hahahaha hio akili ndio inawacost, mke anataka akipata kazi ndio aolewe ili ukiwa unamtuma naye anamtuma mfanyakazi wa ndani. Mletee baba maji ya kunywa. Akibakia mwenyewe ndo yanaanza mashindano.
Kabisaa! 😅
Ila kuna wanawake wengine wakiolewa huwa wanaacha hadi kazi. Hawa wanawake sijui wanapatikana bara gani.. 😁.

Hawa wa sahivi ni mipishano! 🙌
 
Kweli kabisa mkuu familia ni kitu Cha mhimu Sana katika maisha ya binadam,mfano mm familia ilisafiri likizo hii ya krismas yaani maisha yalikua magumu sn linyumba unaona halina maana hata kurudi nyumban unaona uvivu,ukizeeka pia familia yako ndio ya kupambana mpaka mwisho ndugu wanaweza wasionekane ila hauwezi ukamtelekeza mzazi labda unatafuta laana.

Kweli but sio watoto wote watakujali ukizeeka,labda watoto wakike kidgo wanahuruma,,,,kuna mzee kagoma kabisa kurudi kijijin kwa jamaa zake,,,kuhofia watoto watauza nyumba zake,wanamuibia,aliwasomesha wakazingua sasa kila kitu mzee na hawamjali,hosp anaenda mwenyew
 
Ukishakuwa affected kisaikolojia unapoteza ile nafsi yako unakuwa mfu ungali hai. Psychological torture usiombe ikukute.
Hapo kwenye kuwa affected kisaikolojia ndo tunapojiendekeza. Ukiona mahusiano yamekuwa magumu sana kuwa mwepesi kujiweka nayo mbali.
 
Ndoa haina maana ebu waangalie hawa wazee wa michipuko sasa sijui wameoa Nini Ndoa uchwara hizo kwa sisi tunaojitambua hazina maana wake za watu huku mtaani ni zaidi ya Malaya ,
 
Wanaume wa Jf watakuja kukupopoa sasa hivi. Wanajazanaga ujinga hivi hivi😂😂😂 na wengi wanaoanzisha mada za msioe ni wale waliooa na wana familia zao zinaenda vizuri tu. Na mapoyoyo wanaoitikia ni wale ambao vischana vyao vinaliwa na hao waume za watu😂😂akili kumkichwaaa

Kwanini sasa waliwe?
Unataka tuoe visichana VINAVYOLIWA?

#YNW
 
Mama yako ni mhaya biLa shaka 😀
Ndio Mkuu , lakini now my dad has 70 yrs is looking young and heathier than ever nilichogundua ndoa ni chanzo Cha uhakika Cha kukua Mapema

Now naishi naye Mimi mwenyewe my daddy
 
Kwahiyo ndio mnakujaga kuanzisha uzi wa kutukana wanawake kwa experience mlizoona kwa mama zenu?

Basi ndio nimeelewa sasa , nikiona mtu ameanzisha mada ya kutukana mwanamke au kukashfu ntaelewa kayaona kwa mama ake basi anadhani wanawake wote wako hivyo.

Na sisi tuwe tunawa grade wanaume wote sawa. Kwamba baba anabaka mtoto wake wa kumzaa basi wanaume wote ndio wako hivyo. Wababa wangapi wametelekeza wake na watoto kwa ujinga wao. Kwahiyo tuwa group kwamba ni wanaume wote duniani wako hivyo.

Pole kwa yaliyokukuta ila mama yako sio kama wanawake wote.

Hivi tuwe wakweli...

Anzia hapo mtaani kwako na kwa ndugu zako...

NI WANGAPI WANATESEKA NA NDOA?

#YNWA
 
Utaskia eti, yaani mi
Nioe af nije nigawane mali na mwanamke never. Ukimuuliza una mali gani, subwoofer na kitana. Mbafffffff🤣

Binafsi ni Shamba la parachichi Eka 35 + nyumba Dar + ka-IST kangu + Guta linalokodishwa + biashara ya mtaji wa 20 Mil + other things Mungu alivyonibariki

Kwahiyo nione kiumbe wa mtu ambaye hajui hata mia ya kupata hivi imetoka wapi then aje "TUGAWANE MALI, SI TUNAACHANA"

#YNWA
 
Nalumbana sana humu na hilo kundi, hawataki kuoa wanataka kuolewa simpo laiki that,
 
Anayetaka kuoa/kuolewa apambane. Asietaka kuoa/kuolewa freshi...kila.mmoja abaki na msimamo wake. Acheni ndoa zijitetee zenyewe na usingle/ubachelor ujitee wenyewe. Kizuri kijiuze..kibaya kijitembeze...case closed. Next topic 🤸
 
Kwahiyo ukijiwazia mazuri mabaya hayawezi kukufuata?

Unadhani ambao wamekutana na mabaya walikuwa wanajiwazia mabaya au sio.


Tuko hapa kuambiana uhalisia. Kama unachagua kuolewa/kuoa kuwa tayari Kwa consequences zake na kinyume chake. Kama uko tayari kuvumilia consequences za kutokuoa au kuoa ni Uhuru wako .




Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mslazimishe kutuaminisha Kila ndoa ni mbaya nawakati sio hivo mnataka kilamtu aamini mnavosmini nyingi hakuna kitu ambacho hakina misukosuko
 
Binafsi ni Shamba la parachichi Eka 35 + nyumba Dar + ka-IST kangu + Guta linalokodishwa + biashara ya mtaji wa 20 Mil + other things Mungu alivyonibariki

Kwahiyo nione kiumbe wa mtu ambaye hajui hata mia ya kupata hivi imetoka wapi then aje "TUGAWANE MALI, SI TUNAACHANA"

#YNWA
Bwanaeeee usioeee

Kuna mwanamke ana zaidi ya hivyo na hawazi unachowaza wewe.
 
Back
Top Bottom