Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Na tatizo kubwa la wanaume wenye ndoa Ni kugongewa wake zao na akina sisi tusioa😂

Juzi Kati nchini Uganda Kuna jamaa alimfumania mkewe hospitilini akiliwa na dogo mwenye miaka 22.

Ndoa ni ubatili mkubwa Sana jamani.
Ww demu wako hagongwi na wengine hilo la kugongwa ni tabia ya mtu haingii akilin upo hospital unafanya uzinzi hilo ni pepo la ngono
 
Wanaume wa Jf watakuja kukupopoa sasa hivi. Wanajazanaga ujinga hivi hivi😂😂😂 na wengi wanaoanzisha mada za msioe ni wale waliooa na wana familia zao zinaenda vizuri tu. Na mapoyoyo wanaoitikia ni wale ambao vischana vyao vinaliwa na hao waume za watu😂😂akili kumkichwaaa
Rekebisha hapo kwenye "wanaume wa JF"!Wasiopenda,kuogopa na kuepuka kuoa ni wanaume wa sampuli ya peke yao.Wanabishana na nature.
 
Ngoja waje waliokataa ndoa kutupa ushuhuda.

Lady jaydee na Joyce Kiria nao wamo kwenye hizo tafiti?
Jamaa amekarir kuwa kila ndoa Ina Baraka ndani yake hujui kuwa shetani yupo kazini pia kijana anaweza kuwa na mwendo mzuri ila kwasababu shetani apendi akatumia mwanamke kuangamiza ndoto za kijana... Sema ashauri tu namna kijana wanavyopaswa kuwa makini wakati wa uchaguzi....
 
Utaskia eti, yaani mi
Nioe af nije nigawane mali na mwanamke never. Ukimuuliza una mali gani, subwoofer na kitana. Mbafffffff🤣


subwoofer na kitana. Mbafffffff🤣

😂😂😂😂😂na boksa🤣🤣🤣🤣



Wanaume hawa hapa buana wanajua kutafuta na mkiachana wanakuachia kila kitu
Na bado mwanamke anatulia na kuomba msamaha na kubadilika


Much respect kwako bro DeepPond 🙌🙌🙌🙌🙌
 
subwoofer na kitana. Mbafffffff🤣

😂😂😂😂😂na boksa🤣🤣🤣🤣



Wanaume hawa hapa buana wanajua kutafuta na mkiachana wanakuachia kila kitu

Eeh deep bond alitoa fundisho😂 kiburi dawa yake jeuri sasa mtu anakwambia tugawane mali
Ukimuangalia ana miliki kengele zake na boxer tu nachekaga😂
 
Rekebisha hapo kwenye "wanaume wa JF"!Wasiopenda,kuogopa na kuepuka kuoa ni wanaume wa sampuli ya peke yao.Wanabishana na nature.
Tushawachambua kundi gani ni wanaume na kundi gani linasindikiza genge.

Wenye mitazamo tofauti mko wachache sana. Wengi ndo wanakujaga kutukana ooh feminists ooh single mother sasa unakuta thread ina comments elfu tatu wanaume wanaongea sera za kitoto ilibidi kaka zao muwarekebishe maana wanawafanya wote muonekane design hiyo kumbe sio
 
Tushawachambua kundi gani ni wanaume na kundi gani linasindikiza genge.

Wenye mitazamo tofauti mko wachache sana. Wengi ndo wanakujaga kutukana ooh feminists ooh single mother sasa unakuta thread ina comments elfu tatu wanaume wanaongea sera za kitoto ilibidi kaka zao muwarekebishe maana wanawafanya wote muonekane design hiyo kumbe sio
Huwa tunanyamaza ili tuwaone uhalisi wao.Tunafananaje hapo?
 
Back
Top Bottom