Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Vya kukupa raha(pleasure) ya fasta ndio vingi, ila furaha(happiness) ya kudumu inategemea wengine pia.kuna vingi tu vya kukupa furaha tofaut na hyo Ndoa labda uwe una matatzo
Regardless of age, this☝ is so mature.Being single is better than being in a bad relationship.
Being in a good relationship is better than being single.
What is good/bad is subjective depending on one's "make up" i.e
their background (eg. They weren't loved as children, they've had traumatic experiences with the opposite sex etc),
their knowledge (about relationships, human behavior, their bodies, their minds etc),
their genetics (eg. Kuna asexuals etc),
their faith (eg. Promiscuity is wrong etc)
their mindsets (eg. "All men cheat" etc)
etc etc...
For some mental cases nothing will ever be good enough,
they're doomed for a lifetime of demonizing committed relationships and the opposite sex!
?Mwanaume anayeogopa kuoa ni mwanaume wa kuogopwa.....yaani ni mwanaume anayeogopa kuwa mwanaume
Mzee ukiona watu wanaikataa ndoa usianze kusema sijui account nyingi, ndoa ilikuwa zamani tu lakini kwa life style ya sasa ndoa ni aina mpya ya utumwa, asilimia kama 80 ya ndoa za kisasa hazina furaha. Nasisitiza kataa ndoa ni utumwaNi
Ni kama vile kuna watu wana account nyingi ili kupiga debe lao la kukataa ndoa au wengine mnajifanyisha tu humu online ila mnafamilia au mpango huo, haiingii akilini kuwa idadi kubwa na watu humu waikandie ndoa kiasi hiki. Na kama ni kweli idadi ya wahuni ni wengi
Laba anataka aolewe yeyeHutaki ndoa, unataka uishije? Au unataka uwe kitombi?
Hyo namba 1 hapo iliniathiri tokaa nikiwa na miakaa 5 nilikuwaa namwonaa b mkubwaa akimnyanyasaa mzee mpk mzee aliamua kujinyongaa kuondokana na KERO ya mama yetu na mwanamke yule baada ya mzee kujinyongaa hakukaa hata miez miwilii likaolewa na kijana ambayee umri n sawà na kaka ytu wa Kwanzaa nakututelekezaaa Moja kwa mojaa mpk leo,alafuu uniongopee kuhusu wanawakeee na nioee ili nipitiee manyanaso ya mzee aliyopitiaa kwa mama yetu. Aiseeeeee hapana ndoa ni utumwa.
Baba yako alikubalije kunyanyaswa na mke wake? Au Mzee alikuwa mtu wa Pwani akakutana na dada mtu kazi ?Hyo namba 1 hapo iliniathiri tokaa nikiwa na miakaa 5 nilikuwaa namwonaa b mkubwaa akimnyanyasaa mzee mpk mzee aliamua kujinyongaa kuondokana na KERO ya mama yetu na mwanamke yule baada ya mzee kujinyongaa hakukaa hata miez miwilii likaolewa na kijana ambayee umri n sawà na kaka ytu wa Kwanzaa nakututelekezaaa Moja kwa mojaa mpk leo,alafuu uniongopee kuhusu wanawakeee na nioee ili nipitiee manyanaso ya mzee aliyopitiaa kwa mama yetu. Aiseeeeee hapana ndoa ni utumwa.
Utamuoa nani na guta sasa🤭😂
Hujawahi kuwa nao umewaona wapi. Sema tu unawaogopa kwahiyo unajistukia stukia ukiwaona. Unahisi mda wote wana midomo kumbe huna cha kuchangia😄
Nimefanya research jf wanawake huwa mnachukia sana wengine kutukana kabisa hawa jamaa wakiletaga mada za kutoa huwa ni kwa nini ?Kiufupi mwanaume asie taka kuoa hana zana za kufanyia kazi inayompeleka kwenye hiyo ndoa anaogopa kuaibika. Ova[emoji1787]
59 seconds rule [emoji38]
Unadhani sisi tunawakomalia waoe mkuu? Walaaa. Tunapingana na sababu zao eti wanahofia wanawake wanaolewa kwa tamaa. Eti wakiachana watagawana mali. Sasa wewe kama baba wa binti niambie hikiNimefanya research jf wanawake huwa mnachukia sana wengine kutukana kabisa hawa jamaa wakiletaga mada za kutoa huwa ni kwa nini ?
Ina maana mkuu wanawake hamuwezi ishi bila wanaume?
mbona mnatuaibisha mabinti zetu ujue tunawapeleka shule ili wanaume wasiwababaishe ikiwa ni miongoni mwa sababu mojawapo msiwe watumwa
Utakuta mwanamke anateswa bado anan'ga n'gania hiyo ndoa
Anyway I will put his fucking hands on wall any many dare to beat my daughter
You’reHaya.
Your the Winner.
#YNWA
😂😂😂 aii una catch feelings sasa mkuu. Hata uwe na guta au lambo mi ntajuaje🤷🏽♀️ humu tunachangamsha genge tu end of the day people have stable lives out thereUmeachana na mada ya ndoa ukaanza personal attack.
Haya UMESHINDA.
#YNWA
Umekazania kuuana.Hawajaambiwa wakioana wapigane au kuuana.Huo ni ujinga wao.Ndoa ni taasisi ya kufurahia maisha.Kwa hiyo waendelee kuvumiliana wasikimbiane mpaka pale watakapo uana.
Ndoa ni ya wanaume waliojifanya wajingaKama wew umemaliza wadada wote mtaani kwetu nafikir had mitaa ya jirani [emoji23][emoji23][emoji23]Utaoa ugundue Nini ndoa ni za wanaume waliotulia
Ndoa hazifai kwa sasa labda zaman[emoji23][emoji23]Raha ya ngoma uingie ucheze achana na masimuliz ya jf mm mwenyew wanavokataa ndoa jf nawashangaa wakat huku mtaani vijana wanatufata wanatak watupe nusra
Mkuu unaona za kijinga kwa sababu umezeeka , kampeni ya kataa ndoa kuna watu apa wapo ndoani wanaona ni nzuri ya nn kufuga ng'ombe wakati unapata maziwa ? Kma ninaweza kuzaa na mke wa mtu kuna haja gan yakuoa ?Hatari kabisa, bara letu kwa asilimia kubwa tunakosa wingi wa watu wenye mawazo chanya katika mambo mbalimbali mfano ni hapa nchini.
Ukijaribu kukaa katika makundi mbalimbali ya watu utaona ni kwa namna gani watu wanawaza ujinga muda wote.
Mada za kijinga kijinga zimetamalaki humu jf, wattsapp groups, mitaani vitu vya msingi hatutaki kujua wala kujishughulisha navyo.