Ww demu wako hagongwi na wengine hilo la kugongwa ni tabia ya mtu haingii akilin upo hospital unafanya uzinzi hilo ni pepo la ngonoNa tatizo kubwa la wanaume wenye ndoa Ni kugongewa wake zao na akina sisi tusioa😂
Juzi Kati nchini Uganda Kuna jamaa alimfumania mkewe hospitilini akiliwa na dogo mwenye miaka 22.
Ndoa ni ubatili mkubwa Sana jamani.
Rekebisha hapo kwenye "wanaume wa JF"!Wasiopenda,kuogopa na kuepuka kuoa ni wanaume wa sampuli ya peke yao.Wanabishana na nature.Wanaume wa Jf watakuja kukupopoa sasa hivi. Wanajazanaga ujinga hivi hivi😂😂😂 na wengi wanaoanzisha mada za msioe ni wale waliooa na wana familia zao zinaenda vizuri tu. Na mapoyoyo wanaoitikia ni wale ambao vischana vyao vinaliwa na hao waume za watu😂😂akili kumkichwaaa
Zikabili siyo kukimbia.Haujaletwa duniani kucheza kibindankoi!Ndoa changamoto nyingi,
Inabidi uwe na akili ya ziada katika huo uwekezaji kuna faida na hasara Ila hasara ni yingi kuliko faida,Zikabili siyo kukimbia.Haujaletwa duniani kucheza kibindankoi!
Nini hasara? Hasara roho! Oa ujiinjoi maisha!Inabidi uwe na akili ya ziada katika huo uwekezaji kuna faida na hasara Ila hasara ni yingi kuliko faida,
Jamaa amekarir kuwa kila ndoa Ina Baraka ndani yake hujui kuwa shetani yupo kazini pia kijana anaweza kuwa na mwendo mzuri ila kwasababu shetani apendi akatumia mwanamke kuangamiza ndoto za kijana... Sema ashauri tu namna kijana wanavyopaswa kuwa makini wakati wa uchaguzi....Ngoja waje waliokataa ndoa kutupa ushuhuda.
Lady jaydee na Joyce Kiria nao wamo kwenye hizo tafiti?
Sawa mkuu,Nini hasara?Hasara roho!Oa ujiinjoi maisha!
Utaskia eti, yaani mi
Nioe af nije nigawane mali na mwanamke never. Ukimuuliza una mali gani, subwoofer na kitana. Mbafffffff🤣
Eeh deep bond alitoa fundisho😂 kiburi dawa yake jeuri sasa mtu anakwambia tugawane malisubwoofer na kitana. Mbafffffff🤣
😂😂😂😂😂na boksa🤣🤣🤣🤣
Wanaume hawa hapa buana wanajua kutafuta na mkiachana wanakuachia kila kitu
Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena
Habar wakuu, Kwanza niseme TU kisa hiki ni Cha miaka mingi ya nyuma sn ilopita ya ndoa yangu na MKE wangu MAMA G. Kiukweli miongoni mwa ndoa zilizopita misukosuko mingi miaka 5 ya kwanza ya kwangu naweza kusema ilikua mojawapo. Misukosuko hii nashkuru iliweza kutujenga imara mpk Sasa naweza...www.jamiiforums.com
Eeh deep bond alitoa fundisho😂 kiburi dawa yake jeuri sasa mtu anakwambia tugawane mali
Ukimuangalia ana miliki kengele zake na boxer tu nachekaga😂
Tushawachambua kundi gani ni wanaume na kundi gani linasindikiza genge.Rekebisha hapo kwenye "wanaume wa JF"!Wasiopenda,kuogopa na kuepuka kuoa ni wanaume wa sampuli ya peke yao.Wanabishana na nature.
Ya kununulia bando🤣 ili waje kuanzisha thread jf🤣Na f3😂😂😂😂😂😂
Huwa tunanyamaza ili tuwaone uhalisi wao.Tunafananaje hapo?Tushawachambua kundi gani ni wanaume na kundi gani linasindikiza genge.
Wenye mitazamo tofauti mko wachache sana. Wengi ndo wanakujaga kutukana ooh feminists ooh single mother sasa unakuta thread ina comments elfu tatu wanaume wanaongea sera za kitoto ilibidi kaka zao muwarekebishe maana wanawafanya wote muonekane design hiyo kumbe sio
Hili nalo neno. Wanataka wanaume kamili wawaoe wao🤣 wanawamba ngoma upande waoWanataka waolewe wao.Eeee ndiyo maana yake.
Wanawadhalilisha kiukweli. Sasa mtafananaje wakati mna mawazo tofauti.Huwa tunanyamaza ili tuwaone uhalisi wao.Tunafananaje hapo?
🤣🤣🤣kauli mbiu ni ile ile… aluuta kontinywaaaa
Mtu akipotoka unatakiwa umpe muda wa kutafakari labda alienenda kwa jazba tu.Ukiona amekazania ujinga,ndipo unampopoa bila huruma.Sugunyo kama zote.Akichukia kimpango wake.Wanawadhalilisha kiukweli. Sasa mtafananaje wakati mna mawazo tofauti.