Wanaume wanatoa hela sana, hata kabla hajalala na wewe, ni vile unajiweka kwake ndio maana hupewi

Wanaume wanatoa hela sana, hata kabla hajalala na wewe, ni vile unajiweka kwake ndio maana hupewi

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Nyieee

Wanaume viumbe rahisi sana

Alafu wanaume wanatoa sana hela

Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana

Ushauri:

Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa

Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine

2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako

Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao

Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako

3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia

Okoa muda na nguvu na afya yako,

Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
 
Nyieee

Wanaume viumbe rahisi sana

Alafu wanaume wanatoa sana hela

Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana

Ushauri:

Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa

Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine

2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako

Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao

Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako

3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia

Okoa muda na nguvu na afya yako,

Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza

Darasa la feminism linaendelea whatsapp andika namba yako nikuunge kwa grup
Ngoja waje WANAWAKE wenzio 🤣🤣🤣

Me namsikiliza Natafuta Ajira tu
 
Nyieee

Wanaume viumbe rahisi sana

Alafu wanaume wanatoa sana hela

Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana

Ushauri:

Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa

Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine

2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako

Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao

Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako

3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia

Okoa muda na nguvu na afya yako,

Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza

Darasa la feminism linaendelea whatsapp andika namba yako nikuunge kwa grup
Sasa maelekezo yote hayo, pale pale unapotongozwa on the spot si useme tu unauza mkubaliane bei mkamalizane lodge kila mtu apite njia yake
 
Back
Top Bottom