Wanaume wanatoa hela sana, hata kabla hajalala na wewe, ni vile unajiweka kwake ndio maana hupewi

Wanaume wanatoa hela sana, hata kabla hajalala na wewe, ni vile unajiweka kwake ndio maana hupewi

Hivi vijana kwanini mnataka vya Bure, Hamuoi!?.
Mnakwepa gharama za kutunza mke kwahy lazima mpinge mada vikali.

Wanawake wangejielewa wakajizuia na uzinzi vijana wengi wangeoa, maana wangepata wapi Utulivu wa mwili!?.

Wanawake tuache kujirahisisha ndomna ndoa zimekuwa ngumu. Vijana wanakwambia.

"Kama maziwa napata ninunue ng'ombe wa nini"!??.

Kama hakuna uuzwaji wa maziwa koholela ng'ombe zitanunuliwa tu, bila hvyo watapata wapi maziwa!?.
Tatizo ni ukahaba wa wanawake
 
Nyieee

Wanaume viumbe rahisi sana

Alafu wanaume wanatoa sana hela

Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana

Ushauri:

Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa

Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine

2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako

Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao

Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako

3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia

Okoa muda na nguvu na afya yako,

Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
Wanawake huu ukosefu wa ajira umewafanya mgeuze mahusiano ni biashara
 
Ina maana TZ hii wanawake wote ni makahaba!??
Almost wote waliopo kwenye dating pool ni makahaba wametofautiana strategies na terms tu.

Wengine wataita kuhudumiwa, wengine matunzo lakini kwa ujumla mwanamke anafanya mapenzi kuwa transacfional exchange wakati yeye hana output yoyote in return iyo ni biashara ya ukahaba.
 
Nyieee

Wanaume viumbe rahisi sana

Alafu wanaume wanatoa sana hela

Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana

Ushauri:

Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa

Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine

2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako

Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao

Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako

3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia

Okoa muda na nguvu na afya yako,

Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
Wanaume inabidintuwe nankikao...hawa wanawake naoa sasa wanaanza kuchezea mbupuz zetu
 
Almost wote waliopo kwenye dating pool ni makahaba wametofautiana strategies na terms tu.

Wengine wataita kuhudumiwa, wengine matunzo lakini kwa ujumla mwanamke anafanya mapenzi kuwa transacfional exchange wakati yeye hana output yoyote in return iyo ni biashara ya ukahaba.
Oohh waliopo kwenye dating , Lakini kwanini hamuoi ikiwa wanawake wazuri ambao sio makahaba wapo!??
 
Wanawake walio wengi TZ ni omba omba maana yake huo ni ukahaba katika neno la kuhudumiwa
Hapo shida wanawake wameamua kujigawa Bure ndomna wanaitwa Kila majina, wangeamua kukomaa hakuna kuzini mpka ndoa heshima ingekuwepo.
 
Hapo shida wanawake wameamua kujigawa Bure ndomna wanaitwa Kila majina, wangeamua kukomaa hakuna kuzini mpka ndoa heshima ingekuwepo.
Wanawake huwa mnafikiri sex ni favor mnamfanyia mwanaume. Fikra hizi ndizo huzalisha maana ya ukahaba
 
Ndio maana ninatafuta pesa mno kwa sababu ya binti yangu tu🤔 asije kuwa ngoma ya kijiji kwa so called mapedeshee.
Daah! Mkuu umeongea vema sana. Yaan mm pia napambna sana ili binti yangu asije kuwa kituo cha wanaume kupandia daladala kwa sababu ya umaskini wake. Heshima yako mkuu.
 
Sawa Nothing is free, ila iwe win win deals. Maana nimegundua ni hicho kiungo kimekuwa weaponised tool ku control wanaume
Wadogo zangu, ukiombwa hela usikatae, il mwambie aifuate. Kama ni kazi hela aifuate kazini
(Wote mkishakutana mataleli, ishu ni timing), kaa kitaalamu
 
Mchuano ni mkali kati ya UWABATA na beggars section.
Niendelee kuangalia hii mbungi, nani anaibuka mshindi
 
Nyieee

Wanaume viumbe rahisi sana

Alafu wanaume wanatoa sana hela

Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana

Ushauri:

Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa

Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine

2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako

Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao

Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako

3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia

Okoa muda na nguvu na afya yako,

Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
Mapenzi ni ushetani
 
Back
Top Bottom