Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #81
aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee
special kwakoHivi UTI Sugu huwa mnabeba kwenye mikoba na begi zenu, na huwa ni special kwajili ya wawekezaji tu au?🐒
watu wanapata hela za bure we kaa hapo na upwiru wakoKamdangie baba ako, akupe hela *****. Skuiz hamna vya Bure hata utoe mku...n hamna vya Bure pambana na Hali yako
darasa lipo mbona wenzio wanafaidi whatsappFeminism ni nini, labda mwalimu uweke darasa
kama haujitambui wanaume watakutafuna mpaka uozeHivi vijana kwanini mnataka vya Bure, Hamuoi!?.
Mnakwepa gharama za kutunza mke kwahy lazima mpinge mada vikali.
Wanawake wangejielewa wakajizuia na uzinzi vijana wengi wangeoa, maana wangepata wapi Utulivu wa mwili!?.
Wanawake tuache kujirahisisha ndomna ndoa zimekuwa ngumu. Vijana wanakwambia.
"Kama maziwa napata ninunue ng'ombe wa nini"!??.
Kama hakuna uuzwaji wa maziwa koholela ng'ombe zitanunuliwa tu, bila hvyo watapata wapi maziwa!?.
darasa langu ni la feminine sio feminismEehh kumbe , basi nilikuwa Bado nipo gizani
sauwa baki na upwiru wakoHigh value man kama mimi hata mtumie hizo mbinu sitoi pesa zangu kijinga jinga,,,,,!!
ninampa heshima kila siku utamu anapewa na mama yanguMoney Penny Baba yako anaekuhudumia(kawekeza) mpaka unakua nae ushampa utamu?
Nakazia: Mwanaume asie na pesa asiekuhudumia achana nae, Tafuta mwanaume billionaire kama Baba yako.
acha nidhamu ya wogaMipango yenu kuipindua dunia. Haijatosha Adamu kuangushwa na Hawa, bado mna mipango kebe kebe
hamna cha ukahaba watu hawajielewiTatizo ni ukahaba wa wanawake
sio biashara bro we hutaki wanawake waamke unataka uwatumieee mpaka waoze, muda wa kutumika umeisha bruhWanawake huu ukosefu wa ajira umewafanya mgeuze mahusiano ni biashara
Almost wote waliopo kwenye dating pool ni makahaba wametofautiana strategies na terms tu.
Wengine wataita kuhudumiwa, wengine matunzo lakini kwa ujumla mwanamke anafanya mapenzi kuwa transacfional exchange wakati yeye hana output yoyote in return iyo ni biashara ya ukahaba.
Shikamoo Money Pennyacha nidhamu ya woga
Nimeoa, siwezi kufa na upwiru, Hata hivyo wanaoshoboka na Gari hua wanapitiwa tu.sauwa baki na upwiru wako
Hata hao wenye misingi mizuri ya maisha wanajiuza.Cha muhimu sio pesa ni malezi ya kimaadili ili mabinti wajue kwamba wao sio chombo cha kununuliwa.Igweeeeee.!
Mangi leo umeongea kitu muhimu sana.!
KABISADaah! Mkuu umeongea vema sana. Yaan mm pia napambna sana ili binti yangu asije kuwa kituo cha wanaume kupandia daladala kwa sababu ya umaskini wake. Heshima yako mkuu.
utabakia pdiddySiwekezi hadi nigewe utamu