Wanaume warefu watamu sana

Kama sisi tunavyowachukia vimbau mbau kama wewe. Nani anataka mifupa[emoji23]


oya sisi wa f5 na nusu tupo kundi gani la urefu?
 
Sisi wanaume warefu huwa tunawaona wanaume wafupi Kama kundi linalohitaji uangalizi maalum maana vijamaa vinateswa sana vikipata dem vinang'ang'ania hata Kama havipendwi kwasababu huwa hawana uhakika wa kupata dem mwngne
dah kweli mnatupondea
 
Sisi wanaume warefu huwa tunawaona wanaume wafupi Kama kundi linalohitaji uangalizi maalum maana vijamaa vinateswa sana vikipata dem vinang'ang'ania hata Kama havipendwi kwasababu huwa hawana uhakika wa kupata dem mwngne
🤣🤣🤣🤣 mtamezesha watu sumu wakuu. Chezeni chini. Oh sorry!!!! Tukachezeshe juuu uku chini wastambue.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mi mfupi naomba nije nikumwagie kidogo pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…