Wanaume wengi hufa kabla ya wakati wao kwa sababu ya laana kutoka kwa wazazi

Unachekesha,

Ndio ninyi mko dar mkiulizwa kuhusu walipo wazazi wenu mnadai walishafariki,

Kumbe wapo hai na wanapitia moto hatari.

Malipo ni hapa hapa, Wana wenu watawalipeni.
Unijui lakini umeshajua wazazi wangu Kama wapo hai au wamekufa. Hongera sana
 
Wapo matajiri wa mchongo wasiojali wazazi wao,

Ni Kweli msoto maishani una vyanzo vingi, ila ni UKWELI usiopingika kuwa kutowajali wazazi ni chanzo mojawapo kikuu Cha changamoto tunazopitia.

Ubarikiwe.
 
saanyingine nikikaanikifikiria najilaumu sana kuzaliwa aisee.

hadi umuabudu mtu ndio upate baraka☹️☹️?

wengine bado hatakazi zakueleweka hatuna kula yenyewe shida hao wazazi utawasaidiaje sasa?
Muhimu ni kutowasahau,

Washirikishe wakuombee na washirikishe katika Kila Hali.

Pia usisahau Kutoa ZAKA ,sadaka na matoleo Kwa Kila kidogo ukipatacho utabarikiwa.

Amen
 
Wapo matajiri wa mchongo wasiojali wazazi wao,

Ni Kweli msoto maishani una vyanzo vingi, ila ni UKWELI usiopingika kuwa kutowajali wazazi ni chanzo mojawapo kikuu Cha changamoto tunazopitia.

Ubarikiwe.
Ni kweli kabisa kama utaamini hivyo, ila kuwatelekeza wazazi sio jambo la busara na pia sisi kama wazazi tujipangae badae tusije lialia tukitegemea laana, kwa sababu pia laana hutoka kinywani mwa maskini.
 
Ni kweli kabisa kama utaamini hivyo, ila kuwatelekeza wazazi sio jambo la busara na pia sisi kama wazazi tujipangae badae tusije lialia tukitegemea laana, kwa sababu pia laana hutoka kinywani mwa maskini.
Uko sawa kabisa,

Maana pia haiingii akilini mtoto awe tajiri mzazi akose hata sabuni ya kufulia, ilhali upande wa wazazi wa mke wako njema kupitia mkeo!!

Huo nao ni utajiri wa mashaka!!
 
Uko sawa kabisa,

Maana pia haiingii akilini mtoto awe tajiri mzazi akose hata sabuni ya kufulia, ilhali upande wa wazazi wa mke wako njema kupitia mkeo!!

Huo nao ni utajiri wa mashaka!!
Ni sawa mkuu ,ila mkuu hakuna utajiri wa mashaka utajiri ni utajiri tu .
 
Ni sawa mkuu ,ila mkuu hakuna utajiri wa mashaka utajiri ni utajiri tu .
Utajiri wa mashaka upo,

Haiwezekani uwe na nyumba ya ghorofa halafu uwe unalala chooni!!

Pia Kwa kuishi kwangu kwingi, nimeiona matajiri "WAPUMBAVU" wengi Si haba!!
 
saanyingine nikikaanikifikiria najilaumu sana kuzaliwa aisee.

hadi umuabudu mtu ndio upate baraka☹️☹️?

wengine bado hatakazi zakueleweka hatuna kula yenyewe shida hao wazazi utawasaidiaje sasa?
Walimie Shamba au wafulie nguo zao.
 
Rabbon hebu hariri mada yako unganisha na para kutoka eneo hili hapa Mwanzo 2:24 na Marko 10:6-8, then tuendee na mjadara maana nashindwa kureply!.
 
Utajiri wa mashaka upo,

Haiwezekani uwe na nyumba ya ghorofa halafu uwe unalala chooni!!

Pia Kwa kuishi kwangu kwingi, nimeiona matajiri "WAPUMBAVU" wengi Si haba!!
Kama upo utajiri wa mashaka basi pia upo umaskini wa mashaka ,hizi stories za matajiri kulala chooni zipo kwetu Africa tu.

, japo ni fununu tu hazina udhibitisho wa moja kwa moja , ila matajiri wengi wakubwa ukikaa nao hizi stori huwez zisikia.

Habari nyingi za mataji utazipata kwa maskini ,tena waliokithiri.
 
MAISHA hayana laana Binadamu Hana Huwezo wa kumlaani Mtu yoyote wanaume hufa mapema kutokana na Kazi ngumu na stress za wanawake plus Majukumu.
 
Huo ndo. Ukweli matajiri wanapambana Sana wanwekeza Akili Yao katika kutafuta maokoto

Uchawi upo ila hauna Nguvu za kukupa maokoto Kama ya Bakhressa
 
Huo ndo. Ukweli matajiri wanapambana Sana wanwekeza Akili Yao katika kutafuta maokoto

Uchawi upo ila hauna Nguvu za kukupa maokoto Kama ya Bakhressa
Hiyo akili kubwa ya kuona fursa na kuzitendea kazi ndio uchawi wenyewe, ila maswala ya vibuyu na mapembe ya ng'ombe ni danganya toto tu ili uamini upige kazi bila uoga ukiamini kuna vibuyu vinakulinda .
 
Kwann mwanaume ujali mkeo kuliko wazazi wako, huo ni upumbavu na laana kwelikweli
 
Kwann mwanaume ujali mkeo kuliko wazazi wako, huo ni upumbavu na laana kwelikweli
Soma post no 33 ya ndugu TODAYS amequote Mwanzo 2:24 kwamba Mwanaume atamwacha babaye na mamaye na kuambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja!!

Kwake kuwaacha wazazi Ili kuambatana na mke, ni pamoja na kutowahudumia kabisa, kwamba wapambane na Hali zao.
 
Reactions: BRB
Rabbon hebu hariri mada yako unganisha na para kutoka eneo hili hapa Mwanzo 2:24 na Marko 10:6-8, then tuendee na mjadara maana nashindwa kureply!.
(Mwanzo 2:24) na (Marko 10:6-8) says.

Mwanaume atamwacha babaye na mamaye na kuambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Kwamba kwako ulivyoelewa, kuwaacha baba na mamako ndo kutowahudumia, kwamba wapambane na Hali zao?

Mbona hujiulizi kwann mwanamke anachukua Mali zenu na kuwatunza wazazi wake?

Naamini hujalishwa kanyama maarufu Kwa Jina " Limbwata".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…