Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Binti yangu Heaven on the Earth.. msichana anaweza akawa na vyote hivyo lakini kuna vitu hakakosa vikamfanya asiolewe mfano
1.Kutopenda ndugu zako
2.Kuwa na tamaa za kijinga
3.Kuwa cheap mbele ya wanaume
4.Sio mbunifu ktk masuala ya familia
5.Kupenda sana starehe


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Mwanamke nitakae muoa atakuwa na sifa zifuatazo:
1:asiwe mzuri sana(shape na sura)
2:Asiwe mbishi au mjuaji hata kama ananizidi elimu au cheo.
3:Awe mwelewa na mwepesi kuomba au kupokea msamaha
4:Mpenda maendeleo
5:Mwaminifu
6:Asiwe na ukaribu sana na Wanaume
7:Aniheshim mimi pa1 na ndugu zangu:

HUYO NDO MKE WANGU:
 
Umeitendea haki avatar ya Mwalimu,..kula like*1000000.....0000....0000
 
Nakuelewa sana baba paroko na nilikua nahitaji mawazo yako kama hivi.... hapa nayatafakari mara mbili mbili....

Haya mambo haya magumu sana

Unadhani ni magumu basi ...!!??

Wala sio magumu,hii iko hivi..

Kila mwanamke yupo mwanaume wa kumuoa
Kama uko na mwanaume mwaka na hajapropose ndoa huyu sio wako nenda katafute wako

Wanaume kwa tabia ni vigumu sana kumuacha mwanamke huyo kwa mwaka mzima

Take that ...!!
 

Mfano: unamuoa mwanamke mwenye Kiwakilishi cha Lara1, wiki moja tu ndani ya ndoa utapata magojwa yote ya Duniani, na wiki inayofuata utakufa.
 
Awe na sifa zifuatazo;

1. Mcha Mungu (Upendo pia)
2. Mtiifu kwangu
3. Msafi
4. Good at giving head (awe freak in bed)
5. Knows when to shut up and let a nigga be
 
Mkuu Eiyer umeisema kwa urahisi wake.. wasipoelewa na hapa basi wabaki tu hivyo hivyo vijana wawafaidi faidi.

Many thanks Kaka kwa hekima zako
 
Last edited by a moderator:
Si kila mwanamke ana sifa za kuwa mke .......
 
Teh ngoja aje hapa na comment zake ndeeeeeeeefyu utakomaje!
Mfano: unamuoa mwanamke mwenye Kiwakilishi cha Lara1, wiki moja tu ndani ya ndoa utapata magojwa yote ya Duniani, na wiki inayofuata utakufa.
 
Ila kwel jaman sio sawa wanaume wezangu tubadirike bwana kama haupo teyar kuoa usipoteze muda kwa mtu
 
But isikuzuie pale kutakapo kuwa na uhitaji wa lazima hasa ugonjwa kumsaidia..... mambo ya kwenda kila jioni sijui kila weekend kufanya usafi mnajitafutia tu mabalaa... ndo wale wakiolewa mume hakusaidia chochote maana anajua trekta limekuja hilo... yeye miguu juu wakati woote hata kama unaumwa lazima uingie jikoni na kazi nyinginezo.
Siku me atakayoniona namfulia,pika,usafi etc kwake hajanioa atakuwa na ngekewa sana,am over smart at doing them but.sijawahi na sifikirii kufanyia km hajanioa.
 
Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa na mahusihano na binti mmoja ambaye hadi nyumbani tulijua kuwa ndiye mke wake mtarajiwa, ndugu yangu huyo alimpenda sana huyo dada kadhalika na huyo dada alimpenda sana ndugu yangu.
Kuna sababu kadhaa zilizofanya ndugu yangu ampige chini, moja ni jinsi anavyojiweka(uvaaji wa nguo) jamaa alikuwa anaogopa hata kumpeleka kwao. Sababu ya mwisho ni jamaa kudai binti anamfilisi na kwamba akimuoa hatopata maendeleo.
 

anaweza akawa na hivyo vigezo vyote ulivyovitaja but huwa kuna vitu tunaangalia.huwa tuna tabia ya ku-predict future kulingana na tabia na mwonekano wa mtu(sio mwonekano sura,ni mwonekano).huwa tunafanya predictive screening kujua kama mtu atafaa kwa future.ngoja nikupe mfano mdogo,hata wewe hapo kama una mtoto,mdogo wako,mtoto wa ndugu yako unawezakutabiri atafauluje mitihani yake(kama anasoma)kulingana na jinsi unavyomuona.yaani demu anaweza kuwa na kila kitu but ukimkadiria unaona hwezi ku stand the test of timez.mfano unaweza kumkadiria kuwa iko siku ukipata misuko suko ya ukweli anaweza kukukimbia,au kukugeuka,au kukufanyia madudu.hii unampima kulingana na tabia za kila siku.huo uwezo kila mtu anao,nadhani hata wewe ulishawahi kumfikiria mume wako(kama yupo),kwa mazuri au mabaya endapo hali itabadilika kwa baadae.so mtu unaona kwa nini uoe shida?zipo sababu nyingi ila kuna baadhi ya wanawake mazingira wanayojiweka unapokuwa una date nae yanakatisha tamaa.mfano,ni mtu wa kuspend sana,mitoko sana almost kila w/kend etc etc.so ukiimagine that hiyo ni miezi 6 tu umedate nae je kwa maisha yako yote itakuwaje?mama unaachia nyoya taratiiiiiiiiibu unamuacha tazara...
 
Japo sio mwanaume lakini naona nichangie
Kuna muda wanaume kama hawajielewi nao anakuwa na mwanamke mzuri anampenda anajiheshimu mpaka watu wa nje wanamsifu lakini yeye haoni ndio kwanza anauchezea moyo wa mwanamke husika kama danadana
Atakapo oa mwanamke mwingine ambaye yeye ndie alikuwa chaguo lake malalamiko ndipo yanapoanza ogh!mwanamke yule mbabe sana! anajeuri! ana kiburi! hapendi ndugu zangu .Naongea haya kwasababu kakangu yamemkuta wanawake wazuri alikuwa anawapata lakini alichoenda kuoa ni kituko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…