Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

mwanamke kama aunty ezekiel au aunty lulu ndo machaguo langu.
 
unajua sisi wanaume huwa tuna kasumba moja kwamba kama umeweza kunijia juu siku moja basi ni ishara mbaya endapo utakuwa ndani ya ndoa!!!!!
nahitaji hata kama nina kosa niweke chini nikiwa nimetulia kistaarabu sio kukunja mdomo tena kama tunapiga stori niulize "mbona ulifanya hivi mpenzi wangu tena kwa sauti ya upole" sio wewe nimekosea basi ni makelele simu unakata nikikutumia sms hujibu yaan ni vurugu halafu baadae unaniambia samahani aiseee nitakusamehe ila hapo sio mke wangu!!
nitajipunguzia tu nanihiii basi...............!!!

Hahaaa yaani umenichekesha sana hasa pale ulipoanzia kwenye mavazi... mie kusema ukweli napenda nivae visketi flani sio kimini saana ila napenda nguo fupi sio ndefu.. vigauni simple lakin iwe fupi huu ndio sosi ya ugomvi kwenye mahusiano

Nakumbuka niliwahi kumjibu mtu kuwa "ulinikuta hivi hivi na utaniacha hivi... yaani hiyo kauli ilileta mfarakano ajabu
 
Wanawake wanasema kuolewa ni BAHATI, na sisi wanaume tunasema kuoa ni Maamuzi.
Kwa sasa idadi ya manaume wenye mpango wa kufanya maamuzi ya kuoa ni wachache sana, hii inatokana na ndoa kuwa na usaliti mwingi, ukizingatia wanandoa siku hizi wanachepuka hadharani, hii husababisha ambao hawajaoa wafikirie mara 3 kabla ya kuoa.
Pia wanawake siku hizi wamekuwa na ufahamu mkubwa, hii husababisha wanaume wengi kuwagwaya (kuwaogopa) kuwaoa, kwani kiasili mwanaume hupenda kuwa juu ya mwanamke kwa kila kitu.
Kwa kifupi wanaume tunapenda mwanamke asiyejua sana vitu, asiyechepuka, mpole, msafi, anayejua wajibu wa mke na mwenye upendo
.
Kwenye red imekaa safiii sana hapo. Kaukweli fulani.
 
Msituone hatuna akie nyie..,, Hapo tunawatumia tu wala hakuna tunachopima hapo.. yaani hadi unifulie ndio ntajua unajua kufua au hadi unipikie ndio ntajua... Mungu ametupa wanaume akili ya ziada Heaven on Earth ... Vitu vingi hatuhitaji wala kukuona unafanya..

Wanaume nyie waoneni tu.... Sio rahisi kumridhisha mwanaume my friends.... Just be you na fanya kila uwezalo uzidi KUWA MKE MWEMA NA BORA watakuja kukupigia magoti wakuoe... usiseme ntakuja kuwa mke mzuri...KUWA SASA NA ISHI HIVYO na kwamwe msifikiri kwa kujirahisisha kwa mwanaume kunakupa chochote zaidi ya kujiongezea ZEREU
Ningependa Heaven on Earth aisome hii maneno kwa makini sana kwasababu ina kitu kikubwa sana

Fake ni fake siku zote,mwanaume ni kiumbe ambae ana saifa moja kubwa sana [anaejitambua lakini] mwanamke ambae anastahili kuolewa sio yule ambae anafanya mambo kwasababu ya kuolewa,huyu anaonekana kabisa ana fake

Mwanamke ambae anastahili kuolewa huwa yeye na hata pale unapoongea nae tu unaona kabisa huyu ni mke wa kuoa na mengine yanaonekana zaidi kadri ambavyo anaendelea kuwa kwenye uhusiano

W anawake ambao wana sifa ya kuolewa wala hawatumii nguvu nyingi kumshawishi mwanaume kumuoa kwasababu nikishagundua tu wewe ni wife material siwezi kupoteza muda,nakuoa fasta ili wasije kukupeperusha

Sijui kama utakuwa umenielewa!
 
Last edited by a moderator:
Msituone hatuna akie nyie..,, Hapo tunawatumia tu wala hakuna tunachopima hapo.. yaani hadi unifulie ndio ntajua unajua kufua au hadi unipikie ndio ntajua... Mungu ametupa wanaume akili ya ziada Heaven on Earth ... Vitu vingi hatuhitaji wala kukuona unafanya..

Wanaume nyie waoneni tu.... Sio rahisi kumridhisha mwanaume my friends.... Just be you na fanya kila uwezalo uzidi KUWA MKE MWEMA NA BORA watakuja kukupigia magoti wakuoe... usiseme ntakuja kuwa mke mzuri...KUWA SASA NA ISHI HIVYO na kwamwe msifikiri kwa kujirahisisha kwa mwanaume kunakupa chochote zaidi ya kujiongezea ZEREU

Siku me atakayoniona namfulia,pika,usafi etc kwake hajanioa atakuwa na ngekewa sana,am over smart at doing them but.sijawahi na sifikirii kufanyia km hajanioa.
 
Last edited by a moderator:
mimi binafsi nampenda mwenye utii na anipende ,maana wanaume tunapenda kuheshimiwa kwanza tofauti na wanawake ambao wanahitaji sana upendo
utii+upendo lazima weeding bell zilie
ukileta ujuaji mwanamke utamegwaa mwisho utaishi kusema wanaume baba yao mmoja

Hapa katoa jibu sahihi kilamwanaume anapenda kuheshimiwa, ukikosa hilo ndoa utaisikia tu. Pia wanaume hatupendi mwanamke mjuaji hapo lazima utaisi kulogwa maana hutasikia neno ndoa kutoka kinywan mwahuyo mwanaume
 
Hahaaa yaani umenichekesha sana hasa pale ulipoanzia kwenye mavazi... mie kusema ukweli napenda nivae visketi flani sio kimini saana ila napenda nguo fupi sio ndefu.. vigauni simple lakin iwe fupi huu ndio sosi ya ugomvi kwenye mahusiano

Nakumbuka niliwahi kumjibu mtu kuwa "ulinikuta hivi hivi na utaniacha hivi... yaani hiyo kauli ilileta mfarakano ajabu
tehtehh..kama namwona vile....
im-outta-here-bye-bye-smiley-emoticon.gif
 
Mwanaume anapenda kuoa mwanamke atakayempenda kiukweli sio kupenda vitu vyake, mwanamke mwenye heshima., sio yule anayejidai anaheshima, pia mwanaume anapenda kuoa mwanamke mwenye msimamo usio yumba. Sio kila kitu we ni ndio mzee,
 


1.Mweye mapenzi ya kweli
2.Mwenye Tabia nzuri
3.Mwenye uchu na maendeleo
4.Asiyependa makuu
5.Mvumilivu.


Mimi nikipata mwenye hizo sifa naoa fasta sana. Kama yupo aniPM Mia

unamfahamu subiani wewe...???
 
Ningependa Heaven on Earth aisome hii maneno kwa makini sana kwasababu ina kitu kikubwa sana

Fake ni fake siku zote,mwanaume ni kiumbe ambae ana saifa moja kubwa sana [anaejitambua lakini] mwanamke ambae anastahili kuolewa sio yule ambae anafanya mambo kwasababu ya kuolewa,huyu anaonekana kabisa ana fake

Mwanamke ambae anastahili kuolewa huwa yeye na hata pale unapoongea nae tu unaona kabisa huyu ni mke wa kuoa na mengine yanaonekana zaidi kadri ambavyo anaendelea kuwa kwenye uhusiano

W anawake ambao wana sifa ya kuolewa wala hawatumii nguvu nyingi kumshawishi mwanaume kumuoa kwasababu nikishagundua tu wewe ni wife material siwezi kupoteza muda,nakuoa fasta ili wasije kukupeperusha

Sijui kama utakuwa umenielewa!

Nakuelewa sana baba paroko na nilikua nahitaji mawazo yako kama hivi.... hapa nayatafakari mara mbili mbili....

Haya mambo haya magumu sana
 
Last edited by a moderator:
Sifa za kuolewa na MO11

-akubali kuachishwa kazi kama anafanya kazi yaani awe mama wa nyumbani hapa kuna vitu vingi inabeba kwani hatuwezi kuishi pamoja halafu kila mtu ana malengo yake

-Ujuaji wanawake wa siku hizi ni wajuaji kila kitu anajua huyo hanifai hata kama anajua mi nisijue kama anajua hadi atakapoulizwa

-Mwanamke ambaye yupo bize na simu hanifai kila social network yupo huyo akaolewe na google sio mimi

-Utii mwanamke unisikilize sio kila kitu ubishi ubishi kama ulimwengu wa kambale

nb: sura hubadilika umri unapoenda
makalio kuna ya kichina umri kienda madhara yataonekana

hizo ni sifa za mke wangu mtarajiwa sio zako
 
Last edited by a moderator:
Mimi huwa nasema kila siku...wanaume hawasomeki hata kidogo tena hawaeleweki wanataka nini. Unaweza kumfanyia yote unayoona wewe kwamba ni mazuri lakini akaishia kukudharau tu na kukuona hufai kuwa mkewe...ajabu hii mtu anafaa kuwa girlfriend lakini kuwa mke hafai...!!! Aisee mi msimamo wangu....nitafanya lile linalonifurahisha na kunipa amani mimi...maana najua mwanaume hata ungejitahidi kujipendekeza mwisho wa siku mtu wa kumuoa atachagua yeye. Na huenda unafanya hayo ukijua kuwa unamfanyia hayo mume mtarajiwa kumbe maskini ya Mungu mko nane mnashindanishwa.....!!! Mwisho wa siku atakayeolewa ni mmoja tu wengine huko mnabaki na majuto. I'll always be me, doing what makes me happy baaaas....kumridhisha mtu big no....mana najua mwisho wa siku hata nikimwagwa sitojuta kwa ajili ya yale niliyofanya ili kumshawishi.....
Habari ya kujizeesha baadae anakuja kuoa kabinti kabichi inahusu..???

Sifa kuu ya mwanaume ni "hasomeki"..akisomeka ujue ana mapungufu....pili nadhani hujawahi kupenda la sivyo ungeujua uchungu wa kutendwa na kuachwa....tatu nauliza "umeolewa?".
 
Hahaaaaa ukweli mchungu japo umenifanya nicheke....

Sa nisipokipikoa utasema huyu mwanamke hajui lolote.. nikija kwako nikakuta nguo chafu nikaamua kuzifua nakuwa nimejipendekeza...sipaswi kumsaidia mwenza wangu jamani

Ushauri mzuri nimesoma mara mbili mbili aisee hasa hapo uliposema nini kinampa shauku ya kukuoa

Umenikumbusha enzi izo nlipokuwa kwenye mahusiano na uyu alofanikiwa kuuteka moyo.Nlikua hata nikute nguo zmejaa kwenye tenga mpaka zinamwagika chini sifui.

Baadae sana rafiki yangu akaniambia nnavofanya sio vizuri ndo nkaanza kufua mara moja moja.
 
Sifa za kuolewa na MO11

-akubali kuachishwa kazi kama anafanya kazi yaani awe mama wa nyumbani hapa kuna vitu vingi inabeba kwani hatuwezi kuishi pamoja halafu kila mtu ana malengo yake

-Ujuaji wanawake wa siku hizi ni wajuaji kila kitu anajua huyo hanifai hata kama anajua mi nisijue kama anajua hadi atakapoulizwa

-Mwanamke ambaye yupo bize na simu hanifai kila social network yupo huyo akaolewe na google sio mimi

-Utii mwanamke unisikilize sio kila kitu ubishi ubishi kama ulimwengu wa kambale

nb: sura hubadilika umri unapoenda
makalio kuna ya kichina umri kienda madhara yataonekana

hizo ni sifa za mke wangu mtarajiwa sio zako

Kizazi hichi uasubiri sana:what::what:
 
Last edited by a moderator:
Sifa za kuolewa na MO11

-akubali kuachishwa kazi kama anafanya kazi yaani awe mama wa nyumbani hapa kuna vitu vingi inabeba kwani hatuwezi kuishi pamoja halafu kila mtu ana malengo yake

-Ujuaji wanawake wa siku hizi ni wajuaji kila kitu anajua huyo hanifai hata kama anajua mi nisijue kama anajua hadi atakapoulizwa

-Mwanamke ambaye yupo bize na simu hanifai kila social network yupo huyo akaolewe na google sio mimi

-Utii mwanamke unisikilize sio kila kitu ubishi ubishi kama ulimwengu wa kambale

nb: sura hubadilika umri unapoenda
makalio kuna ya kichina umri kienda madhara yataonekana

hizo ni sifa za mke wangu mtarajiwa sio zako

Mmh

Kuacha kazi bado sijaacha aisee........, bora social network naweza quit

Kila la kheri
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom