Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Ukweli ni mchungu lakini lazima usemwe hata kama hamkubaliani nao.

******* Kama unamfanyia yoote hayo kwenye RED kwa nini akuoe, Ni kipi kinachompa hata shauku au muamko wa kukuoa? kwa lugha laini huko ni kujirahisisha.... japo najua wengi hapa watatoa povu. Nadiriki kusema wengi walioolewa baada ya mahusiano ya muda mrefu ya kuhudumiana kwa kila kitu... Mimba ndio ilikua factor kubwa japo wapo WACHACHE waliokaa vizuri na wakaolewa vizuri.... Ni vigumu sana kumfurahisha mwanaume kwa kumkubalia kila atakalo... ukiwa mtu wa ndio ndio unajitafutia matatizo

Hivi mtu kuja kunifulia, kunipikia una anzia wapi? Kwani nimekuoa? Sina mikono kwani kabla sijawa na wewe nilikua nafanyaje? nyie acheni kujipendekeza... Hebu fikiria mtu anataka akufanye kinyume na maumbile unamkubalia... hapo kuna ,mke au mume hapo? vitu vingine muwe mnafikiria... Mwanaume anayetaka kukuharibu hakufai kwa namna yeyote.**********

Hahaaaaa ukweli mchungu japo umenifanya nicheke....

Sa nisipokipikoa utasema huyu mwanamke hajui lolote.. nikija kwako nikakuta nguo chafu nikaamua kuzifua nakuwa nimejipendekeza...sipaswi kumsaidia mwenza wangu jamani

Ushauri mzuri nimesoma mara mbili mbili aisee hasa hapo uliposema nini kinampa shauku ya kukuoa
 
Hio ni SIFA YA MICHEPUKO ya wanaume wengi ... angalia wanaohangaika na makalio wake zao wakoje halafu ulete mrejesho!!! Au mtaani kwako angalia wale wenye makalio makuubwa uone wangapi wameolewa? vry limited sijui kwa nini lkn.
Wanapenda SANA MAKALIO MAKUBWA, kama ndugu yangu huna hiyo mijikalio basi piga kimya usubiri majaaliwa yako
 
Kwanza kile kitendo cha kujirahisi mpaka unafikia hatua ya kumfanyia kazi za nyumbani mpz wako ukitegemea ndo atakuoa mnachemka, wanaume always tunapenda mwanamke mwenyemsimamo na asiyejirahisi, pia heshima, wadada wengi mnapokua karibu na wapenzi wenu ni rahisi mwanaume kukujua madhaifu yako na kukufahamu we ni wa aina gani.ukimchunguza kuku sana huwezi kumla.
 
umeshawahi kumkuta muuza njugu(karanga) akakuonjesha halafu ukaacha kununua..Je kosa ni la nani? muuza karanga au wewe uliepewa kuonja halafu ukaacha kununua?...kikawaida biashara zote ambazo mtu anapewa ruhusa ya Ku test kabla kununua..nafasi ya kufanya biashar huwa 50:50 kwa hio acheni kusikitika....Pia eleweni thamani yenu....Kumbuka wazazi wako walikuzaa na kukulea..walikuvisha nguo muda wote...iweje leo umekua mtu mzima aje mtu aanze kukuvua nguoa bila ya ridhaa ya waliokufundisha kuvaa nguo(wazazi)?...Ni vyema mwaname ukampeleka kwa wazazi kabla hujampa iyo nanihii yako...Vyenginvyo ukimpa karanga kuonja akagundua kumbe uliweka chunvi nyingi...au zinatoa harufu za kuoza...usimlaumu anapoamua kwenda kwenye korosho na kukuacha na karanga zako ukiendelea kuwapa wengine waonje...."Thamani ya mwanamke ni ndoa"
 
Mimi huwa nasema kila siku...wanaume hawasomeki hata kidogo tena hawaeleweki wanataka nini. Unaweza kumfanyia yote unayoona wewe kwamba ni mazuri lakini akaishia kukudharau tu na kukuona hufai kuwa mkewe...ajabu hii mtu anafaa kuwa girlfriend lakini kuwa mke hafai...!!! Aisee mi msimamo wangu....nitafanya lile linalonifurahisha na kunipa amani mimi...maana najua mwanaume hata ungejitahidi kujipendekeza mwisho wa siku mtu wa kumuoa atachagua yeye. Na huenda unafanya hayo ukijua kuwa unamfanyia hayo mume mtarajiwa kumbe maskini ya Mungu mko nane mnashindanishwa.....!!! Mwisho wa siku atakayeolewa ni mmoja tu wengine huko mnabaki na majuto. I'll always be me, doing what makes me happy baaaas....kumridhisha mtu big no....mana najua mwisho wa siku hata nikimwagwa sitojuta kwa ajili ya yale niliyofanya ili kumshawishi.....
Habari ya kujizeesha baadae anakuja kuoa kabinti kabichi inahusu..???

SHOSTI SWALI WAME ULIZWA WANAUME, kwani wewe mwanaume?
 
Mbona sijaliona hilo jibu????

Hili hapa...

Hivi wanaume mnapenda kuoa mwanamke wa aina gani?? maana utakuta msichana ni mzuri ana kazi nzuri, anamfanyia kila kitu mwanaume wake ie kwenda kwake kufanya usafi,anapika anafua...mtu anajituma kupita maelezo ila miaka inaenda inarudi holaa..anaishia fungu la kukosa na kulalamika kupotezewa muda.
 
Mimi huwa nasema kila siku...wanaume hawasomeki hata kidogo tena hawaeleweki wanataka nini. Unaweza kumfanyia yote unayoona wewe kwamba ni mazuri lakini akaishia kukudharau tu na kukuona hufai kuwa mkewe...ajabu hii mtu anafaa kuwa girlfriend lakini kuwa mke hafai...!!! Aisee mi msimamo wangu....nitafanya lile linalonifurahisha na kunipa amani mimi...maana najua mwanaume hata ungejitahidi kujipendekeza mwisho wa siku mtu wa kumuoa atachagua yeye. Na huenda unafanya hayo ukijua kuwa unamfanyia hayo mume mtarajiwa kumbe maskini ya Mungu mko nane mnashindanishwa.....!!! Mwisho wa siku atakayeolewa ni mmoja tu wengine huko mnabaki na majuto. I'll always be me, doing what makes me happy baaaas....kumridhisha mtu big no....mana najua mwisho wa siku hata nikimwagwa sitojuta kwa ajili ya yale niliyofanya ili kumshawishi.....
Habari ya kujizeesha baadae anakuja kuoa kabinti kabichi inahusu..???

Bado hujajua unachokifanya

SIKU UKIJUA UTABADILIKA SANA!
 
Dah!! Nafikiri ni kitu sponteneous. Mimi niwe mkweli bado sijajua nataka nini haswaaaaa kwa mwanamke nitakayemuoa. Ila kuna vitu vya msingi ningependa mwanamke wa kumuoa awe navyo. Lazima awe MZURI kwangu, aniheshimu, ajiheshimu na ASITUMIE NGUVU kunifanya nimpende, ajitambue (majukumu yake kama mke mtarajiwa wa Ki-Afrika) na kwa mimi asiwe na tabia ya kupenda kuchangamkia wanaume hovyo hovyo. Wanaume wengi tuna wivu sana inapokuja kwa mwanamke tunayempenda. Ikiwa nimemsoma kuwa ana tabia ya kuchangamkia wanaume mpaka kutoa signal kwa hao wanaume kuwa ana-approachika, nitakula kona tartiiiibu. Yaani asiwe mcheshi kupitiliza kwa wanaume. Ucheshi ukipitiliza kwa wanaume kwangu nitamuona kama kicheche. Ni mtazamo wangu mie, kila dume na mtazamo wake.
 

.....Wengine hudiriki kutoa hata tigo wakiamin itawafanywa wapendwe zaidi,wengine kubeba mimba wazae basi watafanya yote hayo ilimradi tu mwanaume aridhike lakin pamoja na yote hayoo unakuja kukuta mwanaume anaoa mwanamke mwingine kabisaa...
Hivi hawa wanaume wanataka msichana mwenye vigezo gani hasa vya kumuoa?
Kwa hisani ya Insta.
.....and neither a wife material....

images
 
at least katoa source maana nilitaka muuliza''ina maana hujui?"

Hahahahaaaaaaa ....

Unaweza uletewa barua yenye matusi

Je utamhoji yule aliyekuletea kuhusiana na yale matusi au utamtafuta aliyekuandikia?
 
Heshima nakumpenda mwanaume 100%,usiwe na kiburi au mbisho,vinginevyo mtandao utatumiwa na kuolewa huolewi.

Vipi upo single???
 
Back
Top Bottom